Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.


una maanisha nini unaposema mabaya yake ni mengi mno kuliko Mazuri yake????
 
Chagua mtu na si chama. Ina maana upinzani wakisimamisha mtu unaona kabisa hafai utamchagua tu kwasababu ni mpinzani wa ccm.
Ukishabikia chama utapata stress tu, bora kuwa mzalendo uchague yule ambae unaona anafaa kwa manufaa ya taifa regardless chama chake
2020 sipigi kura
 
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.



amepambana na mafisadi pamoja na kutetea rasilimali za taifa letu la tanzania, pia a mejitahidi kurudisha nidham makazini, hasa kwa watumishi wa umma, kitendo ambacho hapo awali hakikufanywa kwa asilimia zote na watangulizi wake.
 
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
sudden u turn,what happened to this post...ahaaa ha ha ha(le mutu's style)
 
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
Aisee hii thread tamu kwelikweli, na huu ndio wakati wakati wake muhafaka.
 
Swali zuri ...hivi kati ya EL na JPM yupi Chadema ilitusaidia kumjua vizuri zaidi? In short Chadema ilifanikiwa sana kumbomoa EL na mwisho kushindwa hadi kupitia chama chao. Labda nikuulize ....hivi unamtemaje Dr Slaa miezi michache kabla ya uchaguzi (ingawa wengine watasema alitoka mwenyewe bila kujua steps). Tumevurugwa na Chadema sana ....kama akili zako zipo sawa unahitaji PHD ya kumuelewa EL ili kumpa kura badala ya JP ambaye humjui kivileee ...
Swali bado liko palepale. Tarakimu ndio hizo sasa.
 
Thread za bavicha za kumkashifu Rais wa mioyoni mwao zikifukuliwa hutawaona tena.
 
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.

Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].

Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?

Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?

Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.

Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.

Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
JPM ni jembe .....ukatae au ukubali......mimi binafsi namuunga mkono 100%
 
sudden u turn,what happened to this post...ahaaa ha ha ha(le mutu's style)

Nope.

Nothing done changed.

If he fucks up I'll tear him up.

If he does good I'll give him credit.

Same goes for the opposition.

I'm an equal opportunity basher. Something you and your ilk can't understand because you lack the requisite intellectual wherewithal.
 
haa haa acheni kufukua makaburi bhana

Hakuna makaburi hapo.

Msimamo bado ni uleule.

Nikuonyeshe mada zingine ambazo nimemchana Magufuli?

Nikuonyeshe pia ambazo nimemuunga mkono kwa sababu alichofanya nakikubali?

Tatizo ni huo uwezo wenu mdogo wa kiakili.

Hamuelewi kuwa mtu unaweza ukakubaliana na mtu kuhusu jambo fulani na ukatofautiana naye kuhusu jingine.

Kwenu, kwa sababu ya uduni wa akili zenu, mnadhani kuna mawili tu....kukubaliana kwa asilimia 100 na kutofautiana kwa asilimia 100.

Poleni.
 
84 Reactions
Reply
Back
Top Bottom