Taarifa zinadokeza kwamba hii ishu ya Doto James ni kaa la moto huko ccm , noma ! Unaambiwa hata Mkapa yule mzee wa lugha chafu kapigwa ganzi !Acha kumsingizia Mh Raisi. Ina maana haujui kama Doto James ni mjomba wake?
Halafu hata mwaka haujafika !Uzuri mnafiki hawezi kujificha. Hata Mtume alishatufahamisha miaka zaidi ya 1,400 iliyopita
Acha unafiki sema ukweliAlipata kura milioni 8 dhidi ya milioni 4 za chadema!
Vijana wa kileo hata kupambanua mambo hawawez!Kwani 2015 kulikua na mgombea wa upinzani toka CDM tu?Mbona kulikua na Rungwe na mama ACT na walikua na hoja nzur hata kwenye midahalo walihudhuria.Kwa iyo kwa hisia zako tungekua na chadema hali ingekua nzuri zaidi ya hii
Moja ya sababu, ni kuwa alijinadi vizuri kwenye kampeni zake wakati wa kuomba kura kwa wananchi.Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
Ukweli bado haujabadilika 2018 na unazidi kujiweka bayana.Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
Asante mkuukufukua makaburi on fleek
Ni kweli walikuwa na hoja nzuri LAKINI Magufuli alionekana kuwa na hoja nzuri zaidi kuliko hoja za Rungwe na mama wa ACT.Vijana wa kileo hata kupambanua mambo hawawez!Kwani 2015 kulikua na mgombea wa upinzani toka CDM tu?Mbona kulikua na Rungwe na mama ACT na walikua na hoja nzur hata kwenye midahalo walihudhuria.
May Allah bless Me and You
Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
poa poa mkuu hapa nawanyoosha wale wanafiki wasioweka akiba ya manenoAsante mkuu
hapa ndugu uliruhusu mwenye akili atumie account yako kuandika haya madini au alivamia bila ruksa?Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.