Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Nliwahi waambia watu flani Nape wala Makamba hawajawahi kuwa smart. Ila waliokuwa wanadhani hao watu ni smart wao ndo hawakuwa smart.
Ilishangaza sana kuna watu kabisa wakaanza na kumpigia debe Makamba kuwa Rais....nikaona hii nchi mnadhani sisi sote ni MAZUZU so mnataka tuishi kwa akili zenu.
Haya leo hii mnamchagua nani tena awe mteule wa kumwagia sifa za kijinga Jukwaani?
Ilishangaza sana kuna watu kabisa wakaanza na kumpigia debe Makamba kuwa Rais....nikaona hii nchi mnadhani sisi sote ni MAZUZU so mnataka tuishi kwa akili zenu.
Haya leo hii mnamchagua nani tena awe mteule wa kumwagia sifa za kijinga Jukwaani?