Nzige The Bless
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 990
- 738
Hayo ni majina tu, wewe baki na neno moja Mungu, ndiye alieumba ulimwengu usioonekana na ulimwengu huu unaoonekana.Samahan naomba kujua...ni mungu gani aliyeumba ni Jehovah Au Allah?
Hayo ni majina tu, wewe baki na neno moja Mungu, ndiye alieumba ulimwengu usioonekana na ulimwengu huu unaoonekana.Samahan naomba kujua...ni mungu gani aliyeumba ni Jehovah Au Allah?
Hivi mleta mada unajua TENSES kweli?? Unaweza kweli kusema:Inakuwaje wanajamvi?
Usiku wa kuamkia leo Sayari ya Jupiter na Saturn zitaonekana kwa macho ya kawaida.
Mlioko nyumbani bongo ama Africa kwa jumla mna bahati kwasababu anga liko wazi sky is clear. Tokeni nje sasa hivi mpige picha hata na simu mshare.
Huku Skendinevia tulipo hatuna iyo bahati anga limefunika na pupwe linapuliza.
Kumbukeni hili ni tukio la Kihistoria. Ilirekodiwa na waba anga wa zamani march 14 1200, na baada ya miaka 400 1600. Baada ya miaka 400 tena imetokea leo.
Wanajamvi please mlioko nyumbani Tokeni nje basi mtutumie mapicha ya Jupiter na sayari nayoipenda kuliko zote the gas giant Saturn. Naipenda Saturn kwasababu ya mwezi wake titan inawezekana kuna uhai kwenye iyo Saturn moon titan na labda ndio huko tuaenda tukifa.
Tukio kama hili la leo litatokea tena baada ya miaka 80 2080. Na baada ya hapo litatokea tena baada yya miaka 400 2400.
Ntafurahi sana mwanajamvi yeyote atakayeweka picga aliyopiga ya hizi sayari na nipo tayari kutoa zawadi.
God bless humanity
Achaa uongo. Wakati kwenye kona ya kushoto-chini ya picha kuna copyright ya EPA!!!Dah Saturn na ring yake inavyoonekana juu ya Jupiter. Yani hizi picha zimechukuliwa na simuView attachment 1656455
Hakuna sayari ambayo ni pure gas and omly dust tu bila compact and tangible materials.Mungu yupo wanaosema Mungu hayupo kina Kiranga wanakosea sana. Halafu nimejifunza kitu kipya leo Saturn na Jupiter ni gesi tu hamna ardhi ama solid ground kama Mars. Halafu Jupiter ina miezi 79 dah.
Ukija kwenye Saturn utofauti wake ni ile ring inayoizunguka na mwezi wake mmoja maarufu Titan
Hahahahahaha....mwamba we lazima wa kijani Wallah!!!!Daaah bado unaonekana au tukio limeisha? Pongezi sana kwa awamu ya 5 kutuletea Jupiter na Saturn kwa pamoja.
Uwepo wako mwenyewe tu ni ushahidi in itself.Thibitisha Mungu yupo.
sio majina tu mkuu hao ni mungu tofauti tena wana bifu maana kuna mungu mmoja hapo hapendi wafuasi wa mungu mwingine na aliamuru wachinjwe...Sio hao tu Bado kuna Mungu wengine zaidi ya 5000Hayo ni majina tu, wewe baki na neno moja Mungu, ndiye alieumba ulimwengu usioonekana na ulimwengu huu unaoonekana.
ukifika form 3 utamsoma usihofu.Ngoswe ndo nani kwani..??
mwili gani?Unavyo wapo mwilini au nje ya mwili??
giza na baridi ni ukosefu wa mwanga na joto...Hivyo niliviumba kwanza kabla ya kila kituNa Ili upate giza na baridi umeweka nini na nini vireact ..?
mara ya mwisho nlikuja miaka ya 600 nikakuta watu jangwani uko wanachinjana..Sasa hivi nimekuja nakuta lami na Barabara za hewani...Kongole kwa Magufuli.. tenaUmekuja kula sikukuu na kumpongeza magufuli...??
ndo ujue sasaAah...kumbee,aisee sikujua kabisaaa kama ile hatari hviiii
unaitwa ulimwenguUnaitwaje??
😅😂...ukifika form 3 utamsoma usihofu.
mwili gani?
giza na baridi ni ukosefu wa mwanga na joto...Hivyo niliviumba kwanza kabla ya kila kitu
mara ya mwisho nlikuja miaka ya 600 nikakuta watu jangwani uko wanachinjana..Sasa hivi nimekuja nakuta lami na Barabara za hewani...Kongole kwa Magufuli.. tena
ndo ujue sasa
unaitwa ulimwengu
Ok, unaweza kunitajia huyo mungu ambae hapendi wafuasi wa mungu mwingine?sio majina tu mkuu hao ni mungu tofauti tena wana bifu maana kuna mungu mmoja hapo hapendi wafuasi wa mungu mwingine na aliamuru wachinjwe...Sio hao tu Bado kuna Mungu wengine zaidi ya 5000
sasa ndo nlikuwa naulizia blaza kati ya hao ni yupi aliumba?
Allah hapendi wafuasi wa yehova na YesuOk, unaweza kunitajia huyo mungu ambae hapendi wafuasi wa mungu mwingine?
Nishamasta jana nimekesha kijiweni naliza watu...natumia strategy ya old 14...
Njoo nikufundishe kucheza draft mkuu..
Ok sawa. Hiyo ni mada nyingineAllah hapendi wafuasi wa yehova na Yesu
Sawa ila wewe ndo umeiulizia...Tuendelee sasa Mungu yupi aliumba?Ok sawa. Hiyo ni mada nyingine
Wewe ulijiexist vipi?Ni viumbe ila nilimaanisha viumbe hai...
Galaxy nazoumba ni sawa zingine ni zaidi au Chini lakini zinaendana na hii mnapokaa nyie binadam mnaiita milkyway....
Ninapoishi wewe Hupajui lakini njia ya kuelekea unapitia ukanda wa kati ya nyota ya Orion na Beteleguese...
Nani kasema nina wazazi?
....
Kwa binadam amri ni zilezile Survive and reproduce(Dont hinder other's survival or reproduction)
Kuhusu kufa niliweka pia hiyo Amri ili kuvitofautisha namimi viumbe Hai Vitazaliwa vitapambana kusurvive na kureproduce kisha vitazaa na kufa na vilivyozaliwa vitaendeleza Circle.
Mimi ndiyo mwanzo na mimi ndiyo mwisho hivyo kila unachokiona nilikiumba kina mwisho Hata Jua kila Siku linapotoa mwanga na Joto linachoma Hydrogen ipo siku itaisha...Kwahyo Siku ya mwisho ya maisha hapa Duniani naijua mimi.
Adhabu nitawapa viumbe wakaidi ya kuwachoma moto kisha kuwafanya wasiexist kabisa,,wale viumbe safi nitawapeleka sehemu nyingine Bora zaidi.
Halafu Tuheshimiane Mimi sijasema naitwa Mungu
haya mambo ya mwanzo na mwisho mimi ndo nimeyatengeneza...sina mwanzo niko nje ya time maana mimi ndo niliitengeneza hiyo timeWewe ulijiexist vipi?
kwanini nishindwe kuadhibu viumbe wakaidi niliowaumba?yaani ni sawa umuulize mama kawanini umuadhibu mtoto uliemzaa?Kwanini uwaadhibu hao viumbe ulio viumba?
niliamua tu...na sipangiwi ni sawa na mconga masofa...anayo mazuri ya bei kubwa na mabaya ya bei ndogo sasa yale mabaya hayawezi kulalamika kwanini ulitutengeneza hivi...Ni maamuzi yanguKwanini iliweka upendeleo kwa baadhi ya hao viumbe wako?
I was boredUliwaumba kwa faida gani hao viumbe?
Kwhayo majibu yako sina cha kukuuliza,nilicho kigundua nikama vile natwanga maji kwenye kinuhaya mambo ya mwanzo na mwisho mimi ndo nimeyatengeneza...sina mwanzo niko nje ya time maana mimi ndo niliitengeneza hiyo time
kwanini nishindwe kuadhibu viumbe wakaidi niliowaumba?yaani ni sawa umuulize mama kawanini umuadhibu mtoto uliemzaa?
niliamua tu...na sipangiwi ni sawa na mconga masofa...anayo mazuri ya bei kubwa na mabaya ya bei ndogo sasa yale mabaya hayawezi kulalamika kwanini ulitutengeneza hivi...Ni maamuzi yangu
I was bored
Logical non sequitur.Uwepo wako mwenyewe tu ni ushahidi in itself.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app