Dunia na Mwezi vikionekana katika sayari ya Saturn

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Magimba yote angani huwa na mtindo wa kuwaka kama utayatazama kutokea katika anga hewa ya magimba mengine au kama utakuwa katika uso wa gimba lolote lile

Chombo cha Cassini kilifanikiwa kupiga picha unayoiyona hapo chini ambapo tuliweza kuona kwa pamoja Mwezi na Dunia yetu vikiwa vinamuonekana wa kuwaka kwa mng'ao mkubwa sana kwaa umbali wa takribani 1.5 B km kutoka katika orbit ya saturn hadi duniani kwetu

Magimba mengi yanawaka kutokana na uwepo wa nyota nyingi angani ambazo huweza kutawanya mwanga na kugonga katika magimba hayo na magimba kuanza kureflect mianga yote katika anga hewa zake na kupelekea kuonekana zikiwa zinawaka kwa mng'ao mkubwa sana

2013 Chombo cha Cassini kilikuwa bado kinaendelea na mission yake kubwa ya kufanya utafiti katika sayari ya saturn na miezi yake mbalimbali ambapo kiliweza kuhudumu katika mission hiyo kwa zaidi ya miaka 20 kabla ya wanasayansi kuamua kukidumbukiza katika matabaka ya hewa ya sayari ya saturn ambapo kiliweza kuchanwa chanwa na hewa zilizokuwa korofi katika matabaka ya sayari hiyo

Moudyswema
Gerald
FB_IMG_1673278521533.jpg
 
Magimba yote angani huwa na mtindo wa kuwaka kama utayatazama kutokea katika anga hewa ya magimba mengine au kama utakuwa katika uso wa gimba lolote lile

Chombo cha Cassini kilifanikiwa kupiga picha unayoiyona hapo chini ambapo tuliweza kuona kwa pamoja Mwezi na Dunia yetu vikiwa vinamuonekana wa kuwaka kwa mng'ao mkubwa sana kwaa umbali wa takribani 1.5 B km kutoka katika orbit ya saturn hadi duniani kwetu

Magimba mengi yanawaka kutokana na uwepo wa nyota nyingi angani ambazo huweza kutawanya mwanga na kugonga katika magimba hayo na magimba kuanza kureflect mianga yote katika anga hewa zake na kupelekea kuonekana zikiwa zinawaka kwa mng'ao mkubwa sana

2013 Chombo cha Cassini kilikuwa bado kinaendelea na mission yake kubwa ya kufanya utafiti katika sayari ya saturn na miezi yake mbalimbali ambapo kiliweza kuhudumu katika mission hiyo kwa zaidi ya miaka 20 kabla ya wanasayansi kuamua kukidumbukiza katika matabaka ya hewa ya sayari ya saturn ambapo kiliweza kuchanwa chanwa na hewa zilizokuwa korofi katika matabaka ya sayari hiyo

Moudyswema
GeraldView attachment 2475244

Hiki kiswahili cha magimba ni kwa mujibu wa BAKITA?
 
Tunashukuru sana kwa taarifa juu mleta mada.
Binafsi huwa nasikitika sana wanasayansi wanapo fikia uamuzi wa kusitisha mission za hivyo vyombo vya anga, mathalani chombo cha anga kwa jina voyege 1 kama nitakua sahihi, kilivyo zimwa kamera zake miaka ya 90 kwa sasa hakijulikani kama kipo ama la!
 
Tunashukuru sana kwa taarifa juu mleta mada.
Binafsi huwa nasikitika sana wanasayansi wanapo fikia uamuzi wa kusitisha mission za hivyo vyombo vya anga, mathalani chombo cha anga kwa jina voyege 1 kama nitakua sahihi, kilivyo zimwa kamera zake miaka ya 90 kwa sasa hakijulikani kama kipo ama la!
Zimezimwa kwasababu fuel yake imeisha sasa hivi kinaelea tuu chenyewe
 
Tinb hiyo ya asili si kwa gonjwa hili walahi:

China Covid: More than 88 million people in Henan infected, official says

Zingatia gonjwa hili halikuwa la asili.

Wapumzike kwa amani ndugu zetu walioingizwa chaka na kulipa gharama taslimu.
You are brainwashed by the system.Covid 19 was over hyped disease.

I remember many of your threads and comments about covid 19. U were among of those ambao mlikuwa mna...na kumtupia lawama nyingi jiwe. Alichokifanya jiwe kuhusu covid hakiendani kinyume na sayansi ya afya. Dakatri yoyote hawezi kushangaa ule uamuzi. Vinginevyo,siasa ya dunia iliingizwa,ikaonekana Ni Jambo jipya na la kiwehu kuwahi kutokea..Kila kinachotokea hapa duniani hakitokei isivyo bahati. Again covid 19 was an illusion disease,take it from me,achana na hizo stori za China na magharibi. Ni za kimkakati.
 
You are brainwashed by the system.Covid 19 was over hyped disease.

I remember many of your threads and comments about covid 19. U were among of those ambao mlikuwa mna...na kumtupia lawama nyingi jiwe. Alichokifanya jiwe kuhusu covid hakiendani kinyume na sayansi ya afya. Dakatri yoyote hawezi kushangaa ule uamuzi. Vinginevyo,siasa ya dunia iliingizwa,ikaonekana Ni Jambo jipya na la kiwehu kuwahi kutokea..Kila kinachotokea hapa duniani hakitokei isivyo bahati. Again covid 19 was an illision disease,take it from me,achana na hizo stori za China na magharibi. Ni za kimkakati.
And where's jiwe himself?

Waonesha wewe ndiyo ulikuwa kinara wa yale maombi ya kukemea corona.

Watu kama nyie ni hasara Kwa karne ya 21.
 
And where's jiwe himself?

Waonesha wewe ndiyo ulikuwa kinara wa yale maombi ya kukemea corona.

Watu kama nyie ni hasara Kwa karne ya 21.
Achana kwanza na hii conclusion ya Aya ya mwisho uliyokuja nayo. Una ufahamu wowote wa maswala ya afya? Au umebobea kwenye siasa pekee,so ulipelekwa na ule upepo wa Corona?

Tatizo binadamu wengi wanadhani duniani hapa tunaishi Kama freestyle za wachana hip hop Kumbe kila kitu kimeshaandikiwa script.

System inaweza kuwaaminisha kitu kikaonekana ni kweli coz they control everything,media ikiwemo. Ni Kama mlivyoaminishwa ulaji wa chumvi ni mbaya na hatari ila sukari haina shida wakati kinyume chake ndiyo ukweli.

Anyways,let's stick to the lane. Mada ni picha ya Dunia na mwezi kutokea sayari ya Saturn.
 
Achana kwanza na hii conclusion ya Aya ya mwisho uliyokuja nayo. Una ufahamu wowote wa maswala ya afya? Au umebobea kwenye siasa pekee,so ulipelekwa na ule upepo wa Corona?

Tatizo binadamu wengi wanadhani duniani hapa tunaishi Kama freestyle za wachana hip hop Kumbe kila kitu kimeshaandikiwa script.

System inaweza kuwaaminisha kitu kikaonekana ni kweli coz they control everything,media ikiwemo. Ni Kama mlivyoaminishwa ulaji wa chumvi ni mbaya na hatari ila sukari haina shida wakati kinyume chake ndiyo ukweli.

Anyways,let's stick to the lane. Mada ni picha ya Dunia na mwezi kutokea sayari ya Saturn.

Mkuu wewe ungeendelea tu na kukemea pepo. Corona siyo ya kukemewa kwa maombi.

Haikufikirishi wenye viimani uchwara ya vita vya kiuchumi ni nyie tu si wachina Wala mnaowaita mabeberu?

Nipo sana kwenye mada. Waliostaarabika wanapotupa yaliyoko kutokea Saturn sisi na tuendelee kukemea pepo.

"Pepo pepo,
Kemea pepo!"🎵🎵
 
Mkuu wewe ungeendelea tu na kukemea pepo. Corona siyo ya kukemewa kwa maombi.

Haikufikirishi wenye viimani uchwara ya vita vya kiuchumi ni nyie tu si wachina Wala mnaowaita mabeberu?

Nipo sana kwenye mada. Waliostaarabika wanapotupa yaliyoko kutokea Saturn sisi na tuendelee kukemea pepo.

"Pepo pepo,
Kemea pepo!"🎵🎵
Kwani hiyo corona ipo au imeisha?

Kama ipo mbona hatusikii tena watu kufa?

Na Kama jibu imeisha/imepungua na chanjo ndiyo imesaidia,why zile nchi zilizokataa kwenda sambamba na system ilivyotaka (yaani lockdown Kisha chanjo)Tanzania tukiwa Ni moja ya vichwa ngumu ambao Hadi Leo zaidi ya nusu hatujachanjwa mbona hatujafa na hiyo corona?

Imetusamehe? Imetuogopa?

Naomba majibu Kisha tuendelee.
 
Back
Top Bottom