February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,116
- 2,820
Mechanism nayotumia kuendesha ni amri yangu...niliviamri viumbe vyangu vifate sheria mpaka leo vinafuata...Sheria kama dunia izunguke jua,mwezi uzunguke dunia,Bahari zitembee,miti ioteane,Viumbe hai vyote nilivipa amri mbili Survive and Reproduce.Kati ya hvyo vyote kipi ulianza kuumba na kipi ulimalizia??
Mechanism gani unatumia kuendesha hvyo ulivyoviumba..??
Hv kati ya wewe na ulivyoviumba kipi kimeanza kuexist..??
Kwahyo kila kitu unachoona kinafanywa na kiumbe hai(Siasa,Dini,Uchumi,Elimu,Ndoa,Mahusiano nk. nk.) kinaangukia Survival and reproduction
Kinyume na hapo ujue ni ukaidi na mwisho wa siku nitakuja kuwaadhibu wanaoharibu Survival au reproduction yao/ya wenzao.