Oktoba 5, Sayari ya Saturn ilionekana kwa ukaribu zaidi

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
Usiku wa kuamkia leo angani kulikuwa na kitu mfano wa nyota yenye muonekano wa mwanga mkali sana katika upande wa mashariki kuja katikati mwa anga kama utakuwa unaangalia juu wengi wamepata maswali na kujiuliza kuwa ni nini?

Kwa majibu ya haraka haraka ile ilikuwa ni sayari ya Saturn ambayo kwa siku ya jana ilikuwa inaelekea kuwa karibu na mwezi wetu, ukaribu ambao ulionekana katika nyakati za usiku wa manane au usiku ule mnene zaidi.

Katika mfumo wa jua Saturn ni sayari ya pili kwa ukubwa baada ya sayari ya Jupiter, ambapo Saturn kwa upande wa ikweta ina mzunguko wa ukubwa wa Km 119,300 ambapo kwa ukubwa huu ni sawa na ukubwa wa mzunguko wa dunia yetu kwa upande wa ikweta mara 9 zaidi

Kwa wale wafuatiliaji matukio ya angani kwa karibu zaidi, siku ya jana na leo ndio siku nzuri ya kufanya tafiti katika sayari hii kwakuwa ipo katika eneo ambalo ni rahisi kupata muonekano wake kama utatumia professional telescope.

#Source By, Moudyswema #Tanzaniascienceyetu #Elimuyaangazambali
FB_IMG_1665087005412.jpg
 
Ni kwann ukitaka kwenda mwezini unapanda kuelekea juu na ukitaka kurudi duniani pia unapanda kwenda juu.?
Naomba nikujbu kam ifuatavyo...

BINADAMU ALIVYOTUA KWENYE MWEZI MWAKA 1969

MWAKA huu 2021 dunia imeadhimisha miaka 52 tangu binadamu wa kwanza aliposafiri kutoka duniani kwenda kwenye mwezi, na kufanikiwa kutua na kutembelea katika ardhi yake.

Binadamu huyo raia wa nchini Marekani, alikwenda huko mwaka 1969 kwa kutumia chombo cha anga za juu cha nchi hiyo kilichoitwa 'Apollo' namba 11.

Safari hiyo licha ya kusisimua mno pia ilifana, na mpaka wakati huu wa sayansi na teknolojia zimekuwepo hoja nyingi zikihoji ni vipi safari hiyo ilifanikiwa miaka hiyo 1960.

Chombo hicho cha Apollo kilikuwa na umbile la mstatili wenye umbo la koni juu yake, ambapo ndo upande wa mbele walipoketi wananga 3.

Kilikuwa na urefu wa mita 110 na upana wa mita 10, ambapo binadamu hao 3 waliketi mbele kabisa ya chombo hicho.

Aidha, chombo hicho cha anga za juu kikiwa na mafuta mengi kiliondoka duniani kikiwa na uzito wa kilo milioni 3 na kasi ya kilomita 40,000 kwa saa.

Kasi hiyo ni sawa kusafiri kilomita 12 kwa kila sekunde moja.

Binadamu waliokwenda kuukabili mwezi ni wanaanga Neil Armstrong (umri miaka 39), Edwin Aldrin (39) na Michael Collins (39), wote raia wa Marekani.

Armstrong ambaye ndiye alikuwa binadamu wa kwanza kushuka chomboni na kutembea kwenye mwezi alikuwa ni mhandisi wa ndege na pia rubani.

Aldrin a.k.a Buzz alikuwa mhandisi wa mitambo na pia rubani, ambapo Collins pia alikuwa mhandisi wa mitambo na rubani wa kuendesha ndege katika mazingira magumu.

Collins pia ndo alikuwa rubani wa Apollo, huku wenzake wawili wakiwa na jukumu la kwenda kutua na kutembea kwenye mwezi.

Wote watatu walikubali kuwa tayari kupoteza maisha huko anga za juu, kwa manufaa ya utafiti wa anga za mbali.

Armstrong hukaririwa kusema kwamba "nakwenda kwa kuwa naamini kuwa binadamu huzaliwa mara moja na hufa mara moja, na hivyo nipo tayari kwa lolote baya au jema huko kwenye mwezi."

Mwezi ambao kila siku huwa tunauona ukipita kwenye anga ya dunia, binadamu hao waliuendea kwa ujasiri huo kutaka kuona kuna nini huko.

Collins katika kitabu chake cha "Carrying the Fire" (kubeba moto), anasimulia jinsi safari ilivyokuwa ya kutisha muda wote.

Na ili msomaji uweze kupata uhondo wa kile kilichojiri, nakusihi ujibanze humo chomboni pembeni mwa wanaanga hao na kushuhudia kilichokuwa kikiendelea katika safari hiyo.

Ameandika hivi:- "Siku ya kuamkia safari tuliamshwa saa 10 alfajiri, tulipata kifungua kinywa, na tukajiandaa kwa safari, ikiwemo kupimwa afya zetu.

"Saa 1 hivi asubuhi tulikwenda kwenye ukumbi uliosheheni wakuu na wataalamu wa NASA, (shirika la anga za juu la Marekani).

"Tuliyajaribu mavazi ambayo tungeyavaa kule kwenye mwezi, na ambayo kila moja lilikuwa na uzito wa kilo 80 hapa duniani.

"Kule kwenye mwezi mavazi hayo yangekuwa na uzito wa kilo 3 kila moja.

"Baada ya msururu wa taratibu nyingi, mkuu wa NASA alitoa nasaha zake za mwisho na kusema:-

"tumejitahidi kukamilisaha majukumu yetu katika safari hii, tumehakikisha usalama wenu, na sasa Wamarekani na dunia nzima tutashuhudia mubashara safari yenu.

"Chombo mtakachotumia kina nguvu kubwa kupita kiasi; jitahidi kukidhibiti ili kiwatii.

"Chungeni muda ili msipishane na mwezi, kwani ikitokea hivyo mtapotelea angani.

"Naweza kusema kuwa kuanzia sasa majaliwa ya safari hii yapo mikononi mwenu. Haya tuanze!

"Tulisimama na kwelekea mlangoni, huku tukiongozwa na msafara wa baadhi ya maofisa husika wa masuala ya safari yetu.

"Tulipotoka nje ya jengo tuliwakuta watu kibao nje wakitupungia mikono.

"Tuliingia kwenye lifti ambayo ilitumia sekunde 40 kutunyanyua kutoka ardhini hadi juu kabisa kwenye ncha ya chombo, ambapo tuliketi.

"Tulifunga milango na kuwa tayari kwa Apollo kuondoka.

"Ofisa aliyetusindikiza hadi kwenye mlango wa chombo alihakikisha tumeketi, tumefunga mikanda, na kufunga mlango sawasawa.

"Alituaga kwa kuwambia kuwa 'Guys, take care! Yaani kwamba kuweni makini.

"Bila kusahau kutaja hapa, ni kwamba kila mara nilikuwa namwangalia Armstrong na kumhurumia mno, kwani nilihofia sana usalama wake atakavyokuwa wa kwanza kushuka chomboni kuukanyaga mwezi.

"Ilipotimu saa 3:32 Apollo ilipaa kwa kasi na kishindo kikubwa, huku sisi wanaanga tukiwa tumetulia kimya kusubiri kuvuka kikwazo cha kwanza cha nguvu ya uvutani yenye joto kali kati ya dunia na anga ya juu (Earth's Atmosphere).

"Nilitarajia chombo hicho kulipuka wakati wowote na sisi kupoteza maisha, ingawa pia haikuwa hivyo.

"Tulivuka kikwazo hicho kikuu, ambapo Apollo iliendelea kupasua anga kwa kasi kubwa kuelekea kwenye anga za juu.

"Kila sekunde kompyuta yetu ilionesha umbali kutoka duniani hadi tulipo, na umbali uliosalia hadi kwenye mwezi.

"Tukiwa juu sana angani kabla ya kuachana na dunia, Apollo ilipunguza mwendo na kusimama hukohuko angani, huku ikielea na pia ikiyumbayumba bila kutulia.

"Hiyo ilikuwa majira ya saa 7 hivi mchana ili tuweze kufanya operesheni moja ya hatari, lakini salama katika safari yetu."

Kabla ya kwendalea na simulizi ya Collins, ngoja nifafanue kuwa Apollo ilikuwa imeundwa katika sehemu kuu 3.

Aidha, sehemu hizo 3 zilikuwa zimendwa na vijisehemu vingi ambavyo baadaye kwa pamoja vililetwa pamoja na kufungamanishwa pamoja na kuwa chombo kamili.

Sehemu hizo 3 ni injini kuu ambayo iliundwa na jumla ya roketi 5 kwa pamoja.

Roketi hizo 5 zilifungwa pamoja na kufanyakazi kama roketi moja, ili kuwezesha Apollo kuwa na nguvu na kasi ya kuondoka duniani ikiwa na uzito wa kilo milioni 3.

Tunaposema roketi, kimsingi ndiyo Injini ya chombo cha anga za juu.

Roketi hiyo maarufu ya Apollo inajukana kwa jina la Saturn V.

Kwa vile katika muonekano wake Apollo iliundwa mfano wa pipa, ina maana, kwa mfano, pipa la kwanza tuseme ndilo hiyo injini ya Saturn V.

Pipa namba 2 ni injini ambayo ilishika hatamu kukiendesha chombo hicho, baada ya injini ya Saturn V kukamilisha kazi yako na kuachana na chombo.

Pipa la 3 ni injini nyingine ambayo ilijiwasha na kuanza kukiendesha chombo hicho, baada ya injini namba 2 kumaliza kazi yake na kujiondoa kutoka kwenye chombo hicho.

Pipa la 4 ni chombo cha safari hiyo, ambacho pia ndicho kilibeba wanaanga hao 3.

Apollo ilikuwa imeunganishwa na vyombo vingine vidogo vitatu ambavyo ni:-

'Command module' (CM), ambacho ni chombo kilichokuwa na jukumu la kuongoza Apollo hadi kule kwenye mwezi na kisha kurejea duniani.

CM ilikuwa ni chumba ambacho kilikuwa na mitambo ya kompyuta, vitanda 3 vya wanaanga, mavazi ya wanaanga, nk.

'Service Module' (SM), kilikuwa ni chombo cha pili baada ya CM, na ambacho kilikuwa kama stoo au chumba cha huduma safarini.

Kilikuwa na mitambo ya mfumo wa umeme, akiba ya maji, stoo ya kuhifadhi vyakula, gesi na hewa zote, ikiwemo oksijeni.

Pia, SM ilikuwa na injini yake ambayo muda wote ilikuwa haifanyi kazi hadi pale muda wake ulipowadia.

Vikorokoro kibao vya kiufundi ambavyo vilibananishwa humo ndani ya SM, vilikuwa vingi kwa ajili kuwezesha safari hiyo kukamilika salama.

'Lunar module' (LM) ni 'kachombo' kadogo ambako kalibebwa mahsusi na Apollo, ili baadaye ikifika kwenye anga ya mwezi kaweze kubeba wananaaga 2 na kushuka nao hadi kutua kwenye mwezi.

Pia, baadaye kachombo hako kangewabeba tena wanaanga hao kutoka kwenye mwezi na kuwarudisha kwenye Apollo, tayari kwa safari ya kurejea duniani.

Hiyo ikiwa na maana kwamba Apollo haikutua kwenye mwezi, isipokuwa ilibaki kwenye anga ya mwezi wakati LM ikishuka na wanaanga na kutua kwenye mwezi.

Sababu ni kwamba Apollo ilikuwa ni nzito, hivyo ingehitaji mtambo mkubwa wa kuifyatua kupaa kutoka kwenye mwezi ili kuanza safari ya kurejea duniani.

Aidha, hebu sasa hapa kuwa makini ili ufahamu kuwa wakati Apollo inaondoka duniani, CM ndiyo ilikuwa mbele ya chombo, ikifuatiwa na SM na baadaye LM.

Vyombo hivyo 3 vilikalishwa juu ya zile injili kubwa za Apollo, na ambazo baada ya kumaliza kazi zilisalia kwenye anga ya dunia wakati Apollo ikichapa mwendo kwenda kwenye mwezi.

Sasa basi wakati Apollo ilipofika eneo la anga iliyopo katikati ya dunia na mwezi, ndipo ilipunguza mwendo na kusimama ili kufanyika operesheni ya kuchomoa LM kutoka katikati ya chombo hicho na kuitanguliza mbele kabisa ya Apollo.

Sababu ni kwamba chombo hicho cha LM kiwe mbele tayari, ili Apollo itakapowasili kwenye anga ya mwezi iwe rahisi kushuka moja kwa moja na kutua.

Hiyo operesheni ilifanyika mchana huko anga za juu kwa kuiachanisha Apollo na kuwa katika sehemu 2 ili kuweza kuichomoa LM kama ilivyoelezwa.

Zoezi hilo lilipokamilika wanaanga walipumzika ndani ya chombo chao cha CM hukohuko angani, na pia kula chakula cha mchana kabla ya safari kwendelea.

Chakula chao kilikuwa katika mpangilio maalumu, na kila mlo ukiwa na muda wake na tarehe ya kutumika.

Vyakula hivyo vilikuwa viliishapikwa duniani na kuwekwa kwenye paketi maalumu, ambapo wanaanga hao walichukua na kuvipasha moto na kuvitumia.

Jambo lingine la kufahamu ni kuwa, asubuhi baada ya kuamka walipiga mswaki ambapo si kama hapa duniani.

Walikuwa na vitu kama 'Big-G' za kutafuna, na kisha kuzitema kwenye mfuko wa uchafu na kuhifadhiwa ndani ya chombo.

Kadhalika, katika suala ya haja kubwa, walijisaidia ndani mifuko ya plastiki, na kuhifadhiwa choo hicho ili baadaye kirejeshwe duniani kuliko kutupwa huko anga za juu na kuchafua mazingira ya anga.

Kwa upande wa haja ndogo, walikojoa kwenye bomba maalumu ambalo liliutoa nje mkojo na kuusambaratisha hukohuko anga za juu.

Pia, wakati wa kusafisha chumba chao kulikuwa na bomba au mipira yenye kutoa hewa ambayo ilivurumishwa ndani ya chumba na kisha kusukuma kwenda nje vumbi na uchafu wote wa chumbani.

Kumbuka kuwa waliaswa kuwa makini dhidi ya uchafu ili wasijeugua huko ughaibuni.

Wakati wa kulala katika siku 8 walizokuwa mbali na dunia, wanaanga 2 walikuwa wakilala wakati mmoja akishika zamu ya kufuatilia safari ya chombo hicho.

Hiyo ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na chumba cha kuongoza chombo hicho kutokea hapa duniani.

Miongoni mwa vitu ambavyo vilichungwa kwa saa zote 24 ni kuzingatia muda, kwani kosa dogo tu lingesababisha chombo kutoka kwenye njia yake na hatimaye kupishana na mwezi.

Kitendo hicho kingesababisha Apollo kupotea huko anga za juu, ambapo hata kama wangeweza kurejea kwenye njia yake tayari mafuta na nishati zingine zingewaishia njiani.

Hiyo pia ikiwa na maana kwamba wanaanga hao wangefariki huko angani kwa kukosa mahitaji muhimu ya kibinadamu, kama vile chakula, maji ya kunywa, hewa ya oksijeni, nk.

Baada ya ufafanuzi huo, ngoja sasa turejee tena kwenye simulizi ya rubani Collins, ambaye alikuwa rubani wa Apollo.

Aidha, "siku ya tatu tukiwa safarini tangu kuondoka duniani, kilijitokeza chombo cha anga cha kigeni chenye umbo kama sahani.

" Tulishtuka mno na kuwaarifu NASA duniani, lakini wao wakatujibu kirahisi kuwa achana na chombo hicho, hiyo ni UFO.

"Muongozaji wetu alitwambia kuwa 'zingatieni safari yenu, achana na UFO.'

"Tulishangaa kuwa licha ya Apollo kuwa katika kasi ya 'transonic speed' (kasi kubwa kuliko kasi ya sauti), chombo hicho cha kigeni kilimudu kuambaa jirani na Apollo kwa muda wa takribani dakika 15, kabla ya kula kona na kupotelea kusikojulikana.

"Usiku wa kuamkia siku ya 4 tangu tuanze safari kompyuta yetu ilitoa ishara ya kututaka kupunguza kasi ya Apollo, kwani tayari tulikwisha wasili kwenye anga ya mwezi na kutakiwa kujiandaa kutua.

"Siku hiyo nilipoingia kulala, niliamka asubuhi na kushangaa kuuona mwezi upo jirani kabisa tukiwa juu yake, kama vile ndege ya abiria inavyokuwa juu ya ardhi ya dunia ikitaka kutua.

"Ardhi yake ilikuwa kama majivu, na ikionekana kuwa tepetepe.

"Ndipo Armstrong na Buzz waliingia kwenye chombo kidogo cha mwezini, yaani LM, na kuiacha Apollo kubwa ikielea katika anga ya mwezi, na pia chini ya udhibiti wangu (rubani Collins).

"Baada ya saa 21 wakiwa kwenye mwezi, hatimaye Armstrong na Buzz walipaa kutoka kwenye mwezi kuja kuungana na mimi tayari kwa safari ya kurejea duniani."

Hapa ngoja pia nitoe ufafanuzi muhimu.

Apollo iliondoka duniani Julai 16, 1969 na kuwasili kwenye anga ya mwezi na kutua salama.

Chombo hicho kiliwasili kwenye anga hiyo na kufanikiwa kuachana na kachombo kadogo maarufu kwa kifupi kama LM, ambako kaliwabeba wanaanga 2 na kushuka nao kutua kwenye mwezi.

Baada ya kutua wanaanga hao walipumzika kwa saa 6 wakiwa ndani ya chombo hicho, wakiwa wanaiangalia ardhi hiyo mwezi.

Baadaye Armstrong alijiandaa na kuteremka kutoka chomboni na kukanyaga mwezi kwa tahadhari.

Husikika akisema kuwa "ardhi hii ni tifutufu na huwezi kuzama kwenda chini."

Baadaye mwanaanga mwenzake, yaani Buzz, alishuka na kuungana naye Armstrong, na wote kuanza kukusanya mchanga na mawe kwa ajili ya kuvileta duniani.

Sampli ya mchanga na mawe hayo vilipoletwa duniani, baadaye viligawiwa kwa baadhi ya nchi rafiki, ikiwemo Tanzania.

Sampli hizo mpaka wakati huu zipo kwenye Jumba la Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam.

Akiendelea kusimulia, rubani Collins anasema:

"Katika safari hiyo nilikuwa na maagizo kwamba endapo Armstrong na Buzz wangekwama kupaa kutoka mwezini kuja kuungana nami kwenye anga ya mwezi, mimi ningelazimika kuondoka kurejea duniani nikiwa peke yangu na kuwaacha wakiangamia huko kwenye mwezi.

"Katika safari hiyo ngumu, tuliondoka duniani Julai 16 1969, tukatua kwenye mwezi Julai 21, na kurejea salama duniani Julai 24, 1969."

Anasema Collins, ambaye April 28 mwaka huu 2021 alifariki akiwa umri wa miaka 90.

Aidha, kukamilika safari hiyo, ndiyo pia ilitoa nafasi kufanyika tafiti mbalimbali ili binadamu ajiandae kwenda kutua kwenye sayari ya Mars.

Maandalizi hayo yanayoendelea sasa, ni kutaka binadamu aende kuishi kwenye sayari hiyo ya Mars mwaka 2030.
 
Naomba nikujbu kam ifuatavyo...

BINADAMU ALIVYOTUA KWENYE MWEZI MWAKA 1969

MWAKA huu 2021 dunia imeadhimisha miaka 52 tangu binadamu wa kwanza aliposafiri kutoka duniani kwenda kwenye mwezi, na kufanikiwa kutua na kutembelea katika ardhi yake.

Binadamu huyo raia wa nchini Marekani, alikwenda huko mwaka 1969 kwa kutumia chombo cha anga za juu cha nchi hiyo kilichoitwa 'Apollo' namba 11.

Safari hiyo licha ya kusisimua mno pia ilifana, na mpaka wakati huu wa sayansi na teknolojia zimekuwepo hoja nyingi zikihoji ni vipi safari hiyo ilifanikiwa miaka hiyo 1960.

Chombo hicho cha Apollo kilikuwa na umbile la mstatili wenye umbo la koni juu yake, ambapo ndo upande wa mbele walipoketi wananga 3.

Kilikuwa na urefu wa mita 110 na upana wa mita 10, ambapo binadamu hao 3 waliketi mbele kabisa ya chombo hicho.

Aidha, chombo hicho cha anga za juu kikiwa na mafuta mengi kiliondoka duniani kikiwa na uzito wa kilo milioni 3 na kasi ya kilomita 40,000 kwa saa.

Kasi hiyo ni sawa kusafiri kilomita 12 kwa kila sekunde moja.

Binadamu waliokwenda kuukabili mwezi ni wanaanga Neil Armstrong (umri miaka 39), Edwin Aldrin (39) na Michael Collins (39), wote raia wa Marekani.

Armstrong ambaye ndiye alikuwa binadamu wa kwanza kushuka chomboni na kutembea kwenye mwezi alikuwa ni mhandisi wa ndege na pia rubani.

Aldrin a.k.a Buzz alikuwa mhandisi wa mitambo na pia rubani, ambapo Collins pia alikuwa mhandisi wa mitambo na rubani wa kuendesha ndege katika mazingira magumu.

Collins pia ndo alikuwa rubani wa Apollo, huku wenzake wawili wakiwa na jukumu la kwenda kutua na kutembea kwenye mwezi.

Wote watatu walikubali kuwa tayari kupoteza maisha huko anga za juu, kwa manufaa ya utafiti wa anga za mbali.

Armstrong hukaririwa kusema kwamba "nakwenda kwa kuwa naamini kuwa binadamu huzaliwa mara moja na hufa mara moja, na hivyo nipo tayari kwa lolote baya au jema huko kwenye mwezi."

Mwezi ambao kila siku huwa tunauona ukipita kwenye anga ya dunia, binadamu hao waliuendea kwa ujasiri huo kutaka kuona kuna nini huko.

Collins katika kitabu chake cha "Carrying the Fire" (kubeba moto), anasimulia jinsi safari ilivyokuwa ya kutisha muda wote.

Na ili msomaji uweze kupata uhondo wa kile kilichojiri, nakusihi ujibanze humo chomboni pembeni mwa wanaanga hao na kushuhudia kilichokuwa kikiendelea katika safari hiyo.

Ameandika hivi:- "Siku ya kuamkia safari tuliamshwa saa 10 alfajiri, tulipata kifungua kinywa, na tukajiandaa kwa safari, ikiwemo kupimwa afya zetu.

"Saa 1 hivi asubuhi tulikwenda kwenye ukumbi uliosheheni wakuu na wataalamu wa NASA, (shirika la anga za juu la Marekani).

"Tuliyajaribu mavazi ambayo tungeyavaa kule kwenye mwezi, na ambayo kila moja lilikuwa na uzito wa kilo 80 hapa duniani.

"Kule kwenye mwezi mavazi hayo yangekuwa na uzito wa kilo 3 kila moja.

"Baada ya msururu wa taratibu nyingi, mkuu wa NASA alitoa nasaha zake za mwisho na kusema:-

"tumejitahidi kukamilisaha majukumu yetu katika safari hii, tumehakikisha usalama wenu, na sasa Wamarekani na dunia nzima tutashuhudia mubashara safari yenu.

"Chombo mtakachotumia kina nguvu kubwa kupita kiasi; jitahidi kukidhibiti ili kiwatii.

"Chungeni muda ili msipishane na mwezi, kwani ikitokea hivyo mtapotelea angani.

"Naweza kusema kuwa kuanzia sasa majaliwa ya safari hii yapo mikononi mwenu. Haya tuanze!

"Tulisimama na kwelekea mlangoni, huku tukiongozwa na msafara wa baadhi ya maofisa husika wa masuala ya safari yetu.

"Tulipotoka nje ya jengo tuliwakuta watu kibao nje wakitupungia mikono.

"Tuliingia kwenye lifti ambayo ilitumia sekunde 40 kutunyanyua kutoka ardhini hadi juu kabisa kwenye ncha ya chombo, ambapo tuliketi.

"Tulifunga milango na kuwa tayari kwa Apollo kuondoka.

"Ofisa aliyetusindikiza hadi kwenye mlango wa chombo alihakikisha tumeketi, tumefunga mikanda, na kufunga mlango sawasawa.

"Alituaga kwa kuwambia kuwa 'Guys, take care! Yaani kwamba kuweni makini.

"Bila kusahau kutaja hapa, ni kwamba kila mara nilikuwa namwangalia Armstrong na kumhurumia mno, kwani nilihofia sana usalama wake atakavyokuwa wa kwanza kushuka chomboni kuukanyaga mwezi.

"Ilipotimu saa 3:32 Apollo ilipaa kwa kasi na kishindo kikubwa, huku sisi wanaanga tukiwa tumetulia kimya kusubiri kuvuka kikwazo cha kwanza cha nguvu ya uvutani yenye joto kali kati ya dunia na anga ya juu (Earth's Atmosphere).

"Nilitarajia chombo hicho kulipuka wakati wowote na sisi kupoteza maisha, ingawa pia haikuwa hivyo.

"Tulivuka kikwazo hicho kikuu, ambapo Apollo iliendelea kupasua anga kwa kasi kubwa kuelekea kwenye anga za juu.

"Kila sekunde kompyuta yetu ilionesha umbali kutoka duniani hadi tulipo, na umbali uliosalia hadi kwenye mwezi.

"Tukiwa juu sana angani kabla ya kuachana na dunia, Apollo ilipunguza mwendo na kusimama hukohuko angani, huku ikielea na pia ikiyumbayumba bila kutulia.

"Hiyo ilikuwa majira ya saa 7 hivi mchana ili tuweze kufanya operesheni moja ya hatari, lakini salama katika safari yetu."

Kabla ya kwendalea na simulizi ya Collins, ngoja nifafanue kuwa Apollo ilikuwa imeundwa katika sehemu kuu 3.

Aidha, sehemu hizo 3 zilikuwa zimendwa na vijisehemu vingi ambavyo baadaye kwa pamoja vililetwa pamoja na kufungamanishwa pamoja na kuwa chombo kamili.

Sehemu hizo 3 ni injini kuu ambayo iliundwa na jumla ya roketi 5 kwa pamoja.

Roketi hizo 5 zilifungwa pamoja na kufanyakazi kama roketi moja, ili kuwezesha Apollo kuwa na nguvu na kasi ya kuondoka duniani ikiwa na uzito wa kilo milioni 3.

Tunaposema roketi, kimsingi ndiyo Injini ya chombo cha anga za juu.

Roketi hiyo maarufu ya Apollo inajukana kwa jina la Saturn V.

Kwa vile katika muonekano wake Apollo iliundwa mfano wa pipa, ina maana, kwa mfano, pipa la kwanza tuseme ndilo hiyo injini ya Saturn V.

Pipa namba 2 ni injini ambayo ilishika hatamu kukiendesha chombo hicho, baada ya injini ya Saturn V kukamilisha kazi yako na kuachana na chombo.

Pipa la 3 ni injini nyingine ambayo ilijiwasha na kuanza kukiendesha chombo hicho, baada ya injini namba 2 kumaliza kazi yake na kujiondoa kutoka kwenye chombo hicho.

Pipa la 4 ni chombo cha safari hiyo, ambacho pia ndicho kilibeba wanaanga hao 3.

Apollo ilikuwa imeunganishwa na vyombo vingine vidogo vitatu ambavyo ni:-

'Command module' (CM), ambacho ni chombo kilichokuwa na jukumu la kuongoza Apollo hadi kule kwenye mwezi na kisha kurejea duniani.

CM ilikuwa ni chumba ambacho kilikuwa na mitambo ya kompyuta, vitanda 3 vya wanaanga, mavazi ya wanaanga, nk.

'Service Module' (SM), kilikuwa ni chombo cha pili baada ya CM, na ambacho kilikuwa kama stoo au chumba cha huduma safarini.

Kilikuwa na mitambo ya mfumo wa umeme, akiba ya maji, stoo ya kuhifadhi vyakula, gesi na hewa zote, ikiwemo oksijeni.

Pia, SM ilikuwa na injini yake ambayo muda wote ilikuwa haifanyi kazi hadi pale muda wake ulipowadia.

Vikorokoro kibao vya kiufundi ambavyo vilibananishwa humo ndani ya SM, vilikuwa vingi kwa ajili kuwezesha safari hiyo kukamilika salama.

'Lunar module' (LM) ni 'kachombo' kadogo ambako kalibebwa mahsusi na Apollo, ili baadaye ikifika kwenye anga ya mwezi kaweze kubeba wananaaga 2 na kushuka nao hadi kutua kwenye mwezi.

Pia, baadaye kachombo hako kangewabeba tena wanaanga hao kutoka kwenye mwezi na kuwarudisha kwenye Apollo, tayari kwa safari ya kurejea duniani.

Hiyo ikiwa na maana kwamba Apollo haikutua kwenye mwezi, isipokuwa ilibaki kwenye anga ya mwezi wakati LM ikishuka na wanaanga na kutua kwenye mwezi.

Sababu ni kwamba Apollo ilikuwa ni nzito, hivyo ingehitaji mtambo mkubwa wa kuifyatua kupaa kutoka kwenye mwezi ili kuanza safari ya kurejea duniani.

Aidha, hebu sasa hapa kuwa makini ili ufahamu kuwa wakati Apollo inaondoka duniani, CM ndiyo ilikuwa mbele ya chombo, ikifuatiwa na SM na baadaye LM.

Vyombo hivyo 3 vilikalishwa juu ya zile injili kubwa za Apollo, na ambazo baada ya kumaliza kazi zilisalia kwenye anga ya dunia wakati Apollo ikichapa mwendo kwenda kwenye mwezi.

Sasa basi wakati Apollo ilipofika eneo la anga iliyopo katikati ya dunia na mwezi, ndipo ilipunguza mwendo na kusimama ili kufanyika operesheni ya kuchomoa LM kutoka katikati ya chombo hicho na kuitanguliza mbele kabisa ya Apollo.

Sababu ni kwamba chombo hicho cha LM kiwe mbele tayari, ili Apollo itakapowasili kwenye anga ya mwezi iwe rahisi kushuka moja kwa moja na kutua.

Hiyo operesheni ilifanyika mchana huko anga za juu kwa kuiachanisha Apollo na kuwa katika sehemu 2 ili kuweza kuichomoa LM kama ilivyoelezwa.

Zoezi hilo lilipokamilika wanaanga walipumzika ndani ya chombo chao cha CM hukohuko angani, na pia kula chakula cha mchana kabla ya safari kwendelea.

Chakula chao kilikuwa katika mpangilio maalumu, na kila mlo ukiwa na muda wake na tarehe ya kutumika.

Vyakula hivyo vilikuwa viliishapikwa duniani na kuwekwa kwenye paketi maalumu, ambapo wanaanga hao walichukua na kuvipasha moto na kuvitumia.

Jambo lingine la kufahamu ni kuwa, asubuhi baada ya kuamka walipiga mswaki ambapo si kama hapa duniani.

Walikuwa na vitu kama 'Big-G' za kutafuna, na kisha kuzitema kwenye mfuko wa uchafu na kuhifadhiwa ndani ya chombo.

Kadhalika, katika suala ya haja kubwa, walijisaidia ndani mifuko ya plastiki, na kuhifadhiwa choo hicho ili baadaye kirejeshwe duniani kuliko kutupwa huko anga za juu na kuchafua mazingira ya anga.

Kwa upande wa haja ndogo, walikojoa kwenye bomba maalumu ambalo liliutoa nje mkojo na kuusambaratisha hukohuko anga za juu.

Pia, wakati wa kusafisha chumba chao kulikuwa na bomba au mipira yenye kutoa hewa ambayo ilivurumishwa ndani ya chumba na kisha kusukuma kwenda nje vumbi na uchafu wote wa chumbani.

Kumbuka kuwa waliaswa kuwa makini dhidi ya uchafu ili wasijeugua huko ughaibuni.

Wakati wa kulala katika siku 8 walizokuwa mbali na dunia, wanaanga 2 walikuwa wakilala wakati mmoja akishika zamu ya kufuatilia safari ya chombo hicho.

Hiyo ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na chumba cha kuongoza chombo hicho kutokea hapa duniani.

Miongoni mwa vitu ambavyo vilichungwa kwa saa zote 24 ni kuzingatia muda, kwani kosa dogo tu lingesababisha chombo kutoka kwenye njia yake na hatimaye kupishana na mwezi.

Kitendo hicho kingesababisha Apollo kupotea huko anga za juu, ambapo hata kama wangeweza kurejea kwenye njia yake tayari mafuta na nishati zingine zingewaishia njiani.

Hiyo pia ikiwa na maana kwamba wanaanga hao wangefariki huko angani kwa kukosa mahitaji muhimu ya kibinadamu, kama vile chakula, maji ya kunywa, hewa ya oksijeni, nk.

Baada ya ufafanuzi huo, ngoja sasa turejee tena kwenye simulizi ya rubani Collins, ambaye alikuwa rubani wa Apollo.

Aidha, "siku ya tatu tukiwa safarini tangu kuondoka duniani, kilijitokeza chombo cha anga cha kigeni chenye umbo kama sahani.

" Tulishtuka mno na kuwaarifu NASA duniani, lakini wao wakatujibu kirahisi kuwa achana na chombo hicho, hiyo ni UFO.

"Muongozaji wetu alitwambia kuwa 'zingatieni safari yenu, achana na UFO.'

"Tulishangaa kuwa licha ya Apollo kuwa katika kasi ya 'transonic speed' (kasi kubwa kuliko kasi ya sauti), chombo hicho cha kigeni kilimudu kuambaa jirani na Apollo kwa muda wa takribani dakika 15, kabla ya kula kona na kupotelea kusikojulikana.

"Usiku wa kuamkia siku ya 4 tangu tuanze safari kompyuta yetu ilitoa ishara ya kututaka kupunguza kasi ya Apollo, kwani tayari tulikwisha wasili kwenye anga ya mwezi na kutakiwa kujiandaa kutua.

"Siku hiyo nilipoingia kulala, niliamka asubuhi na kushangaa kuuona mwezi upo jirani kabisa tukiwa juu yake, kama vile ndege ya abiria inavyokuwa juu ya ardhi ya dunia ikitaka kutua.

"Ardhi yake ilikuwa kama majivu, na ikionekana kuwa tepetepe.

"Ndipo Armstrong na Buzz waliingia kwenye chombo kidogo cha mwezini, yaani LM, na kuiacha Apollo kubwa ikielea katika anga ya mwezi, na pia chini ya udhibiti wangu (rubani Collins).

"Baada ya saa 21 wakiwa kwenye mwezi, hatimaye Armstrong na Buzz walipaa kutoka kwenye mwezi kuja kuungana na mimi tayari kwa safari ya kurejea duniani."

Hapa ngoja pia nitoe ufafanuzi muhimu.

Apollo iliondoka duniani Julai 16, 1969 na kuwasili kwenye anga ya mwezi na kutua salama.

Chombo hicho kiliwasili kwenye anga hiyo na kufanikiwa kuachana na kachombo kadogo maarufu kwa kifupi kama LM, ambako kaliwabeba wanaanga 2 na kushuka nao kutua kwenye mwezi.

Baada ya kutua wanaanga hao walipumzika kwa saa 6 wakiwa ndani ya chombo hicho, wakiwa wanaiangalia ardhi hiyo mwezi.

Baadaye Armstrong alijiandaa na kuteremka kutoka chomboni na kukanyaga mwezi kwa tahadhari.

Husikika akisema kuwa "ardhi hii ni tifutufu na huwezi kuzama kwenda chini."

Baadaye mwanaanga mwenzake, yaani Buzz, alishuka na kuungana naye Armstrong, na wote kuanza kukusanya mchanga na mawe kwa ajili ya kuvileta duniani.

Sampli ya mchanga na mawe hayo vilipoletwa duniani, baadaye viligawiwa kwa baadhi ya nchi rafiki, ikiwemo Tanzania.

Sampli hizo mpaka wakati huu zipo kwenye Jumba la Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam.

Akiendelea kusimulia, rubani Collins anasema:

"Katika safari hiyo nilikuwa na maagizo kwamba endapo Armstrong na Buzz wangekwama kupaa kutoka mwezini kuja kuungana nami kwenye anga ya mwezi, mimi ningelazimika kuondoka kurejea duniani nikiwa peke yangu na kuwaacha wakiangamia huko kwenye mwezi.

"Katika safari hiyo ngumu, tuliondoka duniani Julai 16 1969, tukatua kwenye mwezi Julai 21, na kurejea salama duniani Julai 24, 1969."

Anasema Collins, ambaye April 28 mwaka huu 2021 alifariki akiwa umri wa miaka 90.

Aidha, kukamilika safari hiyo, ndiyo pia ilitoa nafasi kufanyika tafiti mbalimbali ili binadamu ajiandae kwenda kutua kwenye sayari ya Mars.

Maandalizi hayo yanayoendelea sasa, ni kutaka binadamu aende kuishi kwenye sayari hiyo ya Mars mwaka 2030.
Japokuwa bado hujajibu swali langu lkn ngoja nikuongezee maswali mengine.
1: kwann roketi zinaachana zikiwa huko angani (pipa la 1 2 3 &).?
2: je hilo pipa la mwisho ambalo ndilo limewabeba marubani halikuwa na uwezo wa kutoka duniani lenyewe mpaka huko mwezini, mbona limeweza kurudi duniani likiwa pekee yake bila yake mapipa mengine yaliyojitoa.?
3: hayo mapipa yanayojiachia angani yanaelekea wapi, si ndio kuchafua anga huko au.?
4: hv n kwel jamaa alisikia maneno fln ya kiarabu, na aliporudi akabadili dini na kuwa mwislamu.? Kama n kweli, je sauti ilitoka wapi wakat kwenye mwezi hakuna upepo wa kusafirisha sauti.?
Dah, nna maswali mengi sana ila tuanze na hayo
 
Japokuwa bado hujajibu swali langu lkn ngoja nikuongezee maswali mengine.
1: kwann roketi zinaachana zikiwa huko angani (pipa la 1 2 3 &).?
2: je hilo pipa la mwisho ambalo ndilo limewabeba marubani halikuwa na uwezo wa kutoka duniani lenyewe mpaka huko mwezini, mbona limeweza kurudi duniani likiwa pekee yake bila yake mapipa mengine yaliyojitoa.?
3: hayo mapipa yanayojiachia angani yanaelekea wapi, si ndio kuchafua anga huko au.?
4: hv n kwel jamaa alisikia maneno fln ya kiarabu, na aliporudi akabadili dini na kuwa mwislamu.? Kama n kweli, je sauti ilitoka wapi wakat kwenye mwezi hakuna upepo wa kusafirisha sauti.?
Dah, nna maswali mengi sana ila tuanze na hayo
Sawa , upo vzur mkuu
 
Japokuwa bado hujajibu swali langu lkn ngoja nikuongezee maswali mengine.
1: kwann roketi zinaachana zikiwa huko angani (pipa la 1 2 3 &).?
2: je hilo pipa la mwisho ambalo ndilo limewabeba marubani halikuwa na uwezo wa kutoka duniani lenyewe mpaka huko mwezini, mbona limeweza kurudi duniani likiwa pekee yake bila yake mapipa mengine yaliyojitoa.?
3: hayo mapipa yanayojiachia angani yanaelekea wapi, si ndio kuchafua anga huko au.?
4: hv n kwel jamaa alisikia maneno fln ya kiarabu, na aliporudi akabadili dini na kuwa mwislamu.? Kama n kweli, je sauti ilitoka wapi wakat kwenye mwezi hakuna upepo wa kusafirisha sauti.?
Dah, nna maswali mengi sana ila tuanze na hayo
1*) roket kazi yake ni kupandisha mzigo kutoka duniani kwenda nje ya dunia.

hayo mapipa ni matanki ya mafuta na kila tanki linakuwa na injini kwaiyo mafuta yakiisha kwenye naki moja manake injini yake inazima na kufyatuka hapo hapo inawaka injini iliyopo kwenye tanki linalofata,

lengo la kutenganisha haya matanki ninkupunguza mzigo usio wa lazima kwa maana unaeza kukuta roketi kubwa kama mnara ila lengo ni kupandisha kitu kidogo kama bajaji.

lakini pia matanki yote yanaachia yakiwa ndani ya himaya ya dunia so huwa yanarudi duniani kwani kazi yake inakiwa imeshmaliza.
 
Naomba nikujbu kam ifuatavyo...

BINADAMU ALIVYOTUA KWENYE MWEZI MWAKA 1969

MWAKA huu 2021 dunia imeadhimisha miaka 52 tangu binadamu wa kwanza aliposafiri kutoka duniani kwenda kwenye mwezi, na kufanikiwa kutua na kutembelea katika ardhi yake.

Binadamu huyo raia wa nchini Marekani, alikwenda huko mwaka 1969 kwa kutumia chombo cha anga za juu cha nchi hiyo kilichoitwa 'Apollo' namba 11.

Safari hiyo licha ya kusisimua mno pia ilifana, na mpaka wakati huu wa sayansi na teknolojia zimekuwepo hoja nyingi zikihoji ni vipi safari hiyo ilifanikiwa miaka hiyo 1960.

Chombo hicho cha Apollo kilikuwa na umbile la mstatili wenye umbo la koni juu yake, ambapo ndo upande wa mbele walipoketi wananga 3.

Kilikuwa na urefu wa mita 110 na upana wa mita 10, ambapo binadamu hao 3 waliketi mbele kabisa ya chombo hicho.

Aidha, chombo hicho cha anga za juu kikiwa na mafuta mengi kiliondoka duniani kikiwa na uzito wa kilo milioni 3 na kasi ya kilomita 40,000 kwa saa.

Kasi hiyo ni sawa kusafiri kilomita 12 kwa kila sekunde moja.

Binadamu waliokwenda kuukabili mwezi ni wanaanga Neil Armstrong (umri miaka 39), Edwin Aldrin (39) na Michael Collins (39), wote raia wa Marekani.

Armstrong ambaye ndiye alikuwa binadamu wa kwanza kushuka chomboni na kutembea kwenye mwezi alikuwa ni mhandisi wa ndege na pia rubani.

Aldrin a.k.a Buzz alikuwa mhandisi wa mitambo na pia rubani, ambapo Collins pia alikuwa mhandisi wa mitambo na rubani wa kuendesha ndege katika mazingira magumu.

Collins pia ndo alikuwa rubani wa Apollo, huku wenzake wawili wakiwa na jukumu la kwenda kutua na kutembea kwenye mwezi.

Wote watatu walikubali kuwa tayari kupoteza maisha huko anga za juu, kwa manufaa ya utafiti wa anga za mbali.

Armstrong hukaririwa kusema kwamba "nakwenda kwa kuwa naamini kuwa binadamu huzaliwa mara moja na hufa mara moja, na hivyo nipo tayari kwa lolote baya au jema huko kwenye mwezi."

Mwezi ambao kila siku huwa tunauona ukipita kwenye anga ya dunia, binadamu hao waliuendea kwa ujasiri huo kutaka kuona kuna nini huko.

Collins katika kitabu chake cha "Carrying the Fire" (kubeba moto), anasimulia jinsi safari ilivyokuwa ya kutisha muda wote.

Na ili msomaji uweze kupata uhondo wa kile kilichojiri, nakusihi ujibanze humo chomboni pembeni mwa wanaanga hao na kushuhudia kilichokuwa kikiendelea katika safari hiyo.

Ameandika hivi:- "Siku ya kuamkia safari tuliamshwa saa 10 alfajiri, tulipata kifungua kinywa, na tukajiandaa kwa safari, ikiwemo kupimwa afya zetu.

"Saa 1 hivi asubuhi tulikwenda kwenye ukumbi uliosheheni wakuu na wataalamu wa NASA, (shirika la anga za juu la Marekani).

"Tuliyajaribu mavazi ambayo tungeyavaa kule kwenye mwezi, na ambayo kila moja lilikuwa na uzito wa kilo 80 hapa duniani.

"Kule kwenye mwezi mavazi hayo yangekuwa na uzito wa kilo 3 kila moja.

"Baada ya msururu wa taratibu nyingi, mkuu wa NASA alitoa nasaha zake za mwisho na kusema:-

"tumejitahidi kukamilisaha majukumu yetu katika safari hii, tumehakikisha usalama wenu, na sasa Wamarekani na dunia nzima tutashuhudia mubashara safari yenu.

"Chombo mtakachotumia kina nguvu kubwa kupita kiasi; jitahidi kukidhibiti ili kiwatii.

"Chungeni muda ili msipishane na mwezi, kwani ikitokea hivyo mtapotelea angani.

"Naweza kusema kuwa kuanzia sasa majaliwa ya safari hii yapo mikononi mwenu. Haya tuanze!

"Tulisimama na kwelekea mlangoni, huku tukiongozwa na msafara wa baadhi ya maofisa husika wa masuala ya safari yetu.

"Tulipotoka nje ya jengo tuliwakuta watu kibao nje wakitupungia mikono.

"Tuliingia kwenye lifti ambayo ilitumia sekunde 40 kutunyanyua kutoka ardhini hadi juu kabisa kwenye ncha ya chombo, ambapo tuliketi.

"Tulifunga milango na kuwa tayari kwa Apollo kuondoka.

"Ofisa aliyetusindikiza hadi kwenye mlango wa chombo alihakikisha tumeketi, tumefunga mikanda, na kufunga mlango sawasawa.

"Alituaga kwa kuwambia kuwa 'Guys, take care! Yaani kwamba kuweni makini.

"Bila kusahau kutaja hapa, ni kwamba kila mara nilikuwa namwangalia Armstrong na kumhurumia mno, kwani nilihofia sana usalama wake atakavyokuwa wa kwanza kushuka chomboni kuukanyaga mwezi.

"Ilipotimu saa 3:32 Apollo ilipaa kwa kasi na kishindo kikubwa, huku sisi wanaanga tukiwa tumetulia kimya kusubiri kuvuka kikwazo cha kwanza cha nguvu ya uvutani yenye joto kali kati ya dunia na anga ya juu (Earth's Atmosphere).

"Nilitarajia chombo hicho kulipuka wakati wowote na sisi kupoteza maisha, ingawa pia haikuwa hivyo.

"Tulivuka kikwazo hicho kikuu, ambapo Apollo iliendelea kupasua anga kwa kasi kubwa kuelekea kwenye anga za juu.

"Kila sekunde kompyuta yetu ilionesha umbali kutoka duniani hadi tulipo, na umbali uliosalia hadi kwenye mwezi.

"Tukiwa juu sana angani kabla ya kuachana na dunia, Apollo ilipunguza mwendo na kusimama hukohuko angani, huku ikielea na pia ikiyumbayumba bila kutulia.

"Hiyo ilikuwa majira ya saa 7 hivi mchana ili tuweze kufanya operesheni moja ya hatari, lakini salama katika safari yetu."

Kabla ya kwendalea na simulizi ya Collins, ngoja nifafanue kuwa Apollo ilikuwa imeundwa katika sehemu kuu 3.

Aidha, sehemu hizo 3 zilikuwa zimendwa na vijisehemu vingi ambavyo baadaye kwa pamoja vililetwa pamoja na kufungamanishwa pamoja na kuwa chombo kamili.

Sehemu hizo 3 ni injini kuu ambayo iliundwa na jumla ya roketi 5 kwa pamoja.

Roketi hizo 5 zilifungwa pamoja na kufanyakazi kama roketi moja, ili kuwezesha Apollo kuwa na nguvu na kasi ya kuondoka duniani ikiwa na uzito wa kilo milioni 3.

Tunaposema roketi, kimsingi ndiyo Injini ya chombo cha anga za juu.

Roketi hiyo maarufu ya Apollo inajukana kwa jina la Saturn V.

Kwa vile katika muonekano wake Apollo iliundwa mfano wa pipa, ina maana, kwa mfano, pipa la kwanza tuseme ndilo hiyo injini ya Saturn V.

Pipa namba 2 ni injini ambayo ilishika hatamu kukiendesha chombo hicho, baada ya injini ya Saturn V kukamilisha kazi yako na kuachana na chombo.

Pipa la 3 ni injini nyingine ambayo ilijiwasha na kuanza kukiendesha chombo hicho, baada ya injini namba 2 kumaliza kazi yake na kujiondoa kutoka kwenye chombo hicho.

Pipa la 4 ni chombo cha safari hiyo, ambacho pia ndicho kilibeba wanaanga hao 3.

Apollo ilikuwa imeunganishwa na vyombo vingine vidogo vitatu ambavyo ni:-

'Command module' (CM), ambacho ni chombo kilichokuwa na jukumu la kuongoza Apollo hadi kule kwenye mwezi na kisha kurejea duniani.

CM ilikuwa ni chumba ambacho kilikuwa na mitambo ya kompyuta, vitanda 3 vya wanaanga, mavazi ya wanaanga, nk.

'Service Module' (SM), kilikuwa ni chombo cha pili baada ya CM, na ambacho kilikuwa kama stoo au chumba cha huduma safarini.

Kilikuwa na mitambo ya mfumo wa umeme, akiba ya maji, stoo ya kuhifadhi vyakula, gesi na hewa zote, ikiwemo oksijeni.

Pia, SM ilikuwa na injini yake ambayo muda wote ilikuwa haifanyi kazi hadi pale muda wake ulipowadia.

Vikorokoro kibao vya kiufundi ambavyo vilibananishwa humo ndani ya SM, vilikuwa vingi kwa ajili kuwezesha safari hiyo kukamilika salama.

'Lunar module' (LM) ni 'kachombo' kadogo ambako kalibebwa mahsusi na Apollo, ili baadaye ikifika kwenye anga ya mwezi kaweze kubeba wananaaga 2 na kushuka nao hadi kutua kwenye mwezi.

Pia, baadaye kachombo hako kangewabeba tena wanaanga hao kutoka kwenye mwezi na kuwarudisha kwenye Apollo, tayari kwa safari ya kurejea duniani.

Hiyo ikiwa na maana kwamba Apollo haikutua kwenye mwezi, isipokuwa ilibaki kwenye anga ya mwezi wakati LM ikishuka na wanaanga na kutua kwenye mwezi.

Sababu ni kwamba Apollo ilikuwa ni nzito, hivyo ingehitaji mtambo mkubwa wa kuifyatua kupaa kutoka kwenye mwezi ili kuanza safari ya kurejea duniani.

Aidha, hebu sasa hapa kuwa makini ili ufahamu kuwa wakati Apollo inaondoka duniani, CM ndiyo ilikuwa mbele ya chombo, ikifuatiwa na SM na baadaye LM.

Vyombo hivyo 3 vilikalishwa juu ya zile injili kubwa za Apollo, na ambazo baada ya kumaliza kazi zilisalia kwenye anga ya dunia wakati Apollo ikichapa mwendo kwenda kwenye mwezi.

Sasa basi wakati Apollo ilipofika eneo la anga iliyopo katikati ya dunia na mwezi, ndipo ilipunguza mwendo na kusimama ili kufanyika operesheni ya kuchomoa LM kutoka katikati ya chombo hicho na kuitanguliza mbele kabisa ya Apollo.

Sababu ni kwamba chombo hicho cha LM kiwe mbele tayari, ili Apollo itakapowasili kwenye anga ya mwezi iwe rahisi kushuka moja kwa moja na kutua.

Hiyo operesheni ilifanyika mchana huko anga za juu kwa kuiachanisha Apollo na kuwa katika sehemu 2 ili kuweza kuichomoa LM kama ilivyoelezwa.

Zoezi hilo lilipokamilika wanaanga walipumzika ndani ya chombo chao cha CM hukohuko angani, na pia kula chakula cha mchana kabla ya safari kwendelea.

Chakula chao kilikuwa katika mpangilio maalumu, na kila mlo ukiwa na muda wake na tarehe ya kutumika.

Vyakula hivyo vilikuwa viliishapikwa duniani na kuwekwa kwenye paketi maalumu, ambapo wanaanga hao walichukua na kuvipasha moto na kuvitumia.

Jambo lingine la kufahamu ni kuwa, asubuhi baada ya kuamka walipiga mswaki ambapo si kama hapa duniani.

Walikuwa na vitu kama 'Big-G' za kutafuna, na kisha kuzitema kwenye mfuko wa uchafu na kuhifadhiwa ndani ya chombo.

Kadhalika, katika suala ya haja kubwa, walijisaidia ndani mifuko ya plastiki, na kuhifadhiwa choo hicho ili baadaye kirejeshwe duniani kuliko kutupwa huko anga za juu na kuchafua mazingira ya anga.

Kwa upande wa haja ndogo, walikojoa kwenye bomba maalumu ambalo liliutoa nje mkojo na kuusambaratisha hukohuko anga za juu.

Pia, wakati wa kusafisha chumba chao kulikuwa na bomba au mipira yenye kutoa hewa ambayo ilivurumishwa ndani ya chumba na kisha kusukuma kwenda nje vumbi na uchafu wote wa chumbani.

Kumbuka kuwa waliaswa kuwa makini dhidi ya uchafu ili wasijeugua huko ughaibuni.

Wakati wa kulala katika siku 8 walizokuwa mbali na dunia, wanaanga 2 walikuwa wakilala wakati mmoja akishika zamu ya kufuatilia safari ya chombo hicho.

Hiyo ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na chumba cha kuongoza chombo hicho kutokea hapa duniani.

Miongoni mwa vitu ambavyo vilichungwa kwa saa zote 24 ni kuzingatia muda, kwani kosa dogo tu lingesababisha chombo kutoka kwenye njia yake na hatimaye kupishana na mwezi.

Kitendo hicho kingesababisha Apollo kupotea huko anga za juu, ambapo hata kama wangeweza kurejea kwenye njia yake tayari mafuta na nishati zingine zingewaishia njiani.

Hiyo pia ikiwa na maana kwamba wanaanga hao wangefariki huko angani kwa kukosa mahitaji muhimu ya kibinadamu, kama vile chakula, maji ya kunywa, hewa ya oksijeni, nk.

Baada ya ufafanuzi huo, ngoja sasa turejee tena kwenye simulizi ya rubani Collins, ambaye alikuwa rubani wa Apollo.

Aidha, "siku ya tatu tukiwa safarini tangu kuondoka duniani, kilijitokeza chombo cha anga cha kigeni chenye umbo kama sahani.

" Tulishtuka mno na kuwaarifu NASA duniani, lakini wao wakatujibu kirahisi kuwa achana na chombo hicho, hiyo ni UFO.

"Muongozaji wetu alitwambia kuwa 'zingatieni safari yenu, achana na UFO.'

"Tulishangaa kuwa licha ya Apollo kuwa katika kasi ya 'transonic speed' (kasi kubwa kuliko kasi ya sauti), chombo hicho cha kigeni kilimudu kuambaa jirani na Apollo kwa muda wa takribani dakika 15, kabla ya kula kona na kupotelea kusikojulikana.

"Usiku wa kuamkia siku ya 4 tangu tuanze safari kompyuta yetu ilitoa ishara ya kututaka kupunguza kasi ya Apollo, kwani tayari tulikwisha wasili kwenye anga ya mwezi na kutakiwa kujiandaa kutua.

"Siku hiyo nilipoingia kulala, niliamka asubuhi na kushangaa kuuona mwezi upo jirani kabisa tukiwa juu yake, kama vile ndege ya abiria inavyokuwa juu ya ardhi ya dunia ikitaka kutua.

"Ardhi yake ilikuwa kama majivu, na ikionekana kuwa tepetepe.

"Ndipo Armstrong na Buzz waliingia kwenye chombo kidogo cha mwezini, yaani LM, na kuiacha Apollo kubwa ikielea katika anga ya mwezi, na pia chini ya udhibiti wangu (rubani Collins).

"Baada ya saa 21 wakiwa kwenye mwezi, hatimaye Armstrong na Buzz walipaa kutoka kwenye mwezi kuja kuungana na mimi tayari kwa safari ya kurejea duniani."

Hapa ngoja pia nitoe ufafanuzi muhimu.

Apollo iliondoka duniani Julai 16, 1969 na kuwasili kwenye anga ya mwezi na kutua salama.

Chombo hicho kiliwasili kwenye anga hiyo na kufanikiwa kuachana na kachombo kadogo maarufu kwa kifupi kama LM, ambako kaliwabeba wanaanga 2 na kushuka nao kutua kwenye mwezi.

Baada ya kutua wanaanga hao walipumzika kwa saa 6 wakiwa ndani ya chombo hicho, wakiwa wanaiangalia ardhi hiyo mwezi.

Baadaye Armstrong alijiandaa na kuteremka kutoka chomboni na kukanyaga mwezi kwa tahadhari.

Husikika akisema kuwa "ardhi hii ni tifutufu na huwezi kuzama kwenda chini."

Baadaye mwanaanga mwenzake, yaani Buzz, alishuka na kuungana naye Armstrong, na wote kuanza kukusanya mchanga na mawe kwa ajili ya kuvileta duniani.

Sampli ya mchanga na mawe hayo vilipoletwa duniani, baadaye viligawiwa kwa baadhi ya nchi rafiki, ikiwemo Tanzania.

Sampli hizo mpaka wakati huu zipo kwenye Jumba la Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam.

Akiendelea kusimulia, rubani Collins anasema:

"Katika safari hiyo nilikuwa na maagizo kwamba endapo Armstrong na Buzz wangekwama kupaa kutoka mwezini kuja kuungana nami kwenye anga ya mwezi, mimi ningelazimika kuondoka kurejea duniani nikiwa peke yangu na kuwaacha wakiangamia huko kwenye mwezi.

"Katika safari hiyo ngumu, tuliondoka duniani Julai 16 1969, tukatua kwenye mwezi Julai 21, na kurejea salama duniani Julai 24, 1969."

Anasema Collins, ambaye April 28 mwaka huu 2021 alifariki akiwa umri wa miaka 90.

Aidha, kukamilika safari hiyo, ndiyo pia ilitoa nafasi kufanyika tafiti mbalimbali ili binadamu ajiandae kwenda kutua kwenye sayari ya Mars.

Maandalizi hayo yanayoendelea sasa, ni kutaka binadamu aende kuishi kwenye sayari hiyo ya Mars mwaka 2030.
Dah, Interesting!
Nitakitafuta hiki kitabu.
Umepanga hoja vizuri hongera sana.
 
Japokuwa bado hujajibu swali langu lkn ngoja nikuongezee maswali mengine.
1: kwann roketi zinaachana zikiwa huko angani (pipa la 1 2 3 &).?
2: je hilo pipa la mwisho ambalo ndilo limewabeba marubani halikuwa na uwezo wa kutoka duniani lenyewe mpaka huko mwezini, mbona limeweza kurudi duniani likiwa pekee yake bila yake mapipa mengine yaliyojitoa.?
3: hayo mapipa yanayojiachia angani yanaelekea wapi, si ndio kuchafua anga huko au.?
4: hv n kwel jamaa alisikia maneno fln ya kiarabu, na aliporudi akabadili dini na kuwa mwislamu.? Kama n kweli, je sauti ilitoka wapi wakat kwenye mwezi hakuna upepo wa kusafirisha sauti.?
Dah, nna maswali mengi sana ila tuanze na hayo
2*) kutoa mzigo duniani kunahitaji nguvu kubwa sababu grafity force ya dunia ni kubwa so kupandisha iyo CM (comand module) wewe umeita pipa ni kazi inayohitaji injini zenye ufanisi mkubwa ambao unatumia kiasi kikubwa cha mafuta ambacho hakiwezi kuwekwa kwenye CM pekeake unahitaji mamilioni ya lita za mafuta kupandisha mzigo huo kwa injini kubwa. kwa maana iyo kile kidude kinawekwa zutu la kwenda kuelea huko juu na kurudia chini baasi.
 
1*) roket kazi yake ni kupandisha mzigo kutoka duniani kwenda nje ya dunia.

hayo mapipa ni matanki ya mafuta na kila tanki linakuwa na injini kwaiyo mafuta yakiisha kwenye naki moja manake injini yake inazima na kufyatuka hapo hapo inawaka injini iliyopo kwenye tanki linalofata,

lengo la kutenganisha haya matanki ninkupunguza mzigo usio wa lazima kwa maana unaeza kukuta roketi kubwa kama mnara ila lengo ni kupandisha kitu kidogo kama bajaji.

lakini pia matanki yote yanaachia yakiwa ndani ya himaya ya dunia so huwa yanarudi duniani kwani kazi yake inakiwa imeshmaliza.
Nmekuelewa sana huko mwanzoni, ila hapo mwishoni sijaelewa. Yn matank yanaachiwa kwenye himaya ya dunia.? Hayo matank yanakuwa out of the control Sasa yanaangukia wapi.? Nlwahi kuona video YouTube hayo matank yanatoka yakiwa nje kabisa ya uso wa dunia
 
Back
Top Bottom