Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Wanawake mnakausemi kenu kwa sisi wababa "WANAUME WOTE NI MANG'OMBE KASORO BABA YANGU "

Sasa mwanao akiwa mbele ya wanawake atawaambie wenzie maneno haya

WANAWAKE WOTE NI MANG'OMBE HADI MAMA YANGU MZAZI"

Unadhani mwanao atakuwa na hamu ya kuoa ikiwa amemkuta Hadi mtu aliyemuamini na kumthamini akiliwa mbele yake

Au wewe unapat wapi ujasiri wa kumshuri mwanao mambo ya ndoa?

BI MKUBWA HAPO UMEHARIBU SANA KATUBU MBELE YA MUUMBA WAKO NA TOBA IWE YA KWELI TOKA ROHONI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aise

Umenikumbusha nikiwa darasa la tatu

Mchana ndo tumerudia shule ,mara paapu mkuu ,kaingia class kaniita kinakirefu ,uje ofisini

Mkuu ,shikamoo ,hebu kimbia wahi nenda Kwa mwl x ,mwambie tunasumsubiria yeye hapa kikao kiaze


Bwana wewe

Ujuavyo ,sipidi yakutumwa na mwl mkuu ,nilikimbia mbio hizo zakufa mtu Break sebuleni kwake ,mlango haujafungwa ,nakuta mratibu Kata elimu ,kakamatia yule mwalimu kwenye kochi ,mkunjo ule mama umri mtu mzima wakati ,haaaa uchi wamnyama ,Ile geuza yangu nilijikuta Niko nyumbani ,badala nipeleke jibu kwamkuu ikabidi nitamke unaitwa na mkuu wanakusubiria kikao

Mbio nyumbani wiki Zima sikwenda shule Kila nikiulizwa naumwa,nasababu naogopa kwenda mwl na walimu watanipiga nimechungilia mwl ,nikipelekwa hospito malaria hakuna ,baadae inaonesha mwl aliniulizia Sana shule hanipati na mratibu ,ikabidi madam aje nyumbani ,ghafla huu hapa


Akaita mwanangu hujambo Kwa uchangamfu mkubwa ,sijui waliongea Nini na Maza ,nikaona naitwa napewa ,Kumi alfu ya blue ,nikanunue nachotaka na jumatatu niende shule bila kukosa ,niliishi maisha mazuri shule sijawahi ona tokea pale mpaka namalizipa ,LY yangu
 
Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?

Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Ninachukia sana thread za kucheat, zinanifanya nikose imani na wanawake wote.
Nashauri zikome zinatuwekea sumu mbaya
 
Sina chakushauri mshirikishe Mungu , kabisa , maana kwanza lazima wanawake wawe na michepuko Yako ila wewe ni mama mtu mzima sana usingefanya dukani nadhani hivyo tu.

Maana kama una mchepuko mwenye hela lazima uwe na backup kwenye maisha haya ngoja aoe atajua tu .

Wala usimshirikishe mtu wanafiki Kaa kimya alisema basi ndio imefikia hiyo siku . Wala usiwaze wewe ni mama na unalea asikuzingue Bora unge fumaniwa na age yake au Mario Sasa nikifaru why achana naye mpende , mjali basi .. ....

Asikuzingue hujafanya powa ila ndio maisha atake asitake . Backups lazima unadhani akihitaji kazi ni nani atampa kama sio michepuko ya maana mjini hapa . Halafu anaanza majungu mie Wala nisingehangaika na Maza , maana najua hapa backup ziwepo , akae Kwa kutulia usiwaze usiwe karibu naye gari uza weka hizo hela
 
Ninachukia sana thread za kucheat, zinanifanya nikose imani na wanawake wote.
Nashauri zikome zinatuwekea sumu mbaya
Rafiki hili ndio lengo la waset-trend, katika hii dunia ya Mungu tujifunze sana kuwa na mawazo independent na si kuchukuliwa na kila upepo, tutembee na akili zetu kila mahala.

Mimi kiukweli namshukuru Mungu, huwa nina uwezo wa ku-do, kure-do, na ku-undo mimi na halmashauri yangu ya kichwa, toka enzi za shule hunikuti kwenye makosa ya watu wengi hata siku moja, siku zote nina makosa yangu binafsi ambayo sitaki kufa na mtu.
 
Habari za jioni.
Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.
Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume(my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu nilikutananae kwenye kikao vya ofisini.
Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wanawivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana , so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani , nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka mda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani , sasa kwenye duka **** ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja ujarudishiwa mpaka chini kabisa so akajua kuna mtu ndani.
Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga , nilishituka sana mpaka kumtuja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale , isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje , japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.
Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho , nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha.
Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote .

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atajamaza tuu , yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu niliasiseme nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa aninichukia sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio.
Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana.
Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital.
Mara nyingi tukiwa pekeetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisahame nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana.
Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu hanasema tuu mimi nipo sawa mama.
Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake uwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake anagari , na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu , kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari , nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu Asante akachukua ,
Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani ajariendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tuu.
Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa anaumri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia mda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu hajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado anahasira nami.

SASA JAMANI Naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kinywa , mume wangu atajua tuu **** something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tuu.
Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke , tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tuu.
Msaada wa mawazo . Nahitaji.
Muozeshe haraka Sana huyo kijana. Akishaoa hatokusumbua tena.
 
Back
Top Bottom