Record Man
Member
- May 25, 2023
- 77
- 343
Kuna Kaka yangu mmoja kutoka kwa Baba mkubwa alizaa na mwanamke mmoja miaka kama 12 hivi iliyopita. Ila hawakufanikiwa kuwa pamoja baada ya mtoto kufikisha miaka 4 mama yake alimleta kwa Baba yake na kumpa na kumwambia yeye anaolewa kapata Bwana mpya.
Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.
Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.
Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.
Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.
Basi kaka yangu huyu akamchukua mtoto wake. Na yeye akaoa baadae.
Sasa ishu ni hii sasa yafika miaka 8 dogo hajawahi kumuona mama yake tangu anamika 4. Kwa sasa anamika 12 yupo darasa la 6. Kuna kipindi dogo alikuwa anahitaji kuwa karibu na mama yake. Maana viashiria alikuwa anaonyesha anamuitaji mama yake.
Ila jamaa yangu akimpigia mama yake simu wanaishia kuongea tuu na mtoto. Wazazi wake wakamwambia ongea na mzazi mwenzio awe anamtembelea hata 1 wiki moja, ila mwezie wala hana time kabisa.
Sasa msaada jamani hii ishu kama ni wewe ilikukuta au ndugu au rafiki uliisolve vipi ishu kama hii. Msaada jamani.