mtu wa system
JF-Expert Member
- Mar 30, 2025
- 375
- 603
Ila kweli mwanang ukimilik nyumba hata ukiwa na madeni watu wanakudai ukiangalia nyumba inakupa moyo ya kuyalipa na unakuwa huna wadi snNoma sana. Jasho lazima likutoke lakini ndio maisha. Heshima sana ukimaliza kujenga unapumua na kuna raha fulani amazing kumiliki Home.