mtu wa system
JF-Expert Member
- Mar 30, 2025
- 375
- 603
We umejenga wapi kwani 😆😀😁😄Yaani unaenda kupoteza Mil 10 kujenga Bukoba? Are u serious🤣
We umejenga wapi kwani 😆😀😁😄Yaani unaenda kupoteza Mil 10 kujenga Bukoba? Are u serious🤣
Mshamba weweUlitaka ajenge wapi?
Mliokulia Kwa shemeji mna tabu sana
PabayaaaDah 😂😂kwamba sio eneo la kuishi au
Mwanza jijiniWe umejenga wapi kwani 😆😀😁😄
Sasa mwanza ndo sehem ya kujitapa ivo kumuona mwenzako kajenga pabayaMwanza jijini
Wewe ulikuwepoooooooWewe!pole million kumi zote hizo vyumba viwili!?
Unajengaje comrade !!?
😅😅😅😅Marahabaaa hujambo?View attachment 3457207
Akina Mushambaaa wanalijua hilii?Kila kitu na matumizi yake, kLuger huwezi tumia kama nyumba na nyumba huwezi tumia kama kluger.
Kama una viwanja huko ulipotaja basi una akili🤣Kweli huna akili sio kila mtu anashobokea dar uko dar dodoma nina viwanja ila acha nianze kujenga home kwanza nayajua maisha yangu kuliko huo mtazamo wako
Sasaa🤣Sasa mwanza ndo sehem ya kujitapa ivo kumuona mwenzako kajenga pabaya
Utakuwa umefanya jambo zuri kuniongoza Babu yakoBabu kwenye ako kalikizo nichukue mm niwe nakuongoza njia zakupita😊
😅😅 Ukija kunisalimia Babu yako unikumbushe nikupatie gawio lako MjukuuBabu sie wajukuu mgao wetu ukwapi kwenye hiyo 10 uipatayo
Hakuna madhara labda mbwembwe za ki binadam mbona mtaani watu tunawaona wanaisji vixuri tuKwani nyumba bila plaster,tiles,rangi inakuwa na madhara gani?
Usijal ya mwaka huu utakua na mm mjukuu wako kipenzi😊🥰 hautapotea na wala hakuna atakaye kusumbua😎Utakuwa umefanya jambo zuri kuniongoza Babu yako
Likizo yangu ya Mwezi December Mwaka Jana, ilibaki kidogo nipotee hotel niliyofikia
Isingekuwa kuiuliza gugo, mngeona Tangazo hapa nikitafutwa kwa kupotea 🤗
Kujenga sio kazi kazi kununua Gari ya ndoto Yako namana ukiagiza au kwenda shop kununua kama ni MILION 25 inahitajika Yote sio kujenga unafanya mishe unapata MILION 3 unainua msingi pole pole mwaka mmoja au miwili unamaliza sema ununue gari uoneZamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu
Jioni upite tusaidiane kupanga maeneo ya kutembelea wakati wa hiyo likizo yetu MjukuuUsijal ya mwaka huu utakua na mm mjukuu wako kipenzi😊🥰 hautapotea na wala hakuna atakaye kusumbua😎