Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Hongera Kwa hatua uliyofikia

Kusema kweli, suala la kujenga linahitaji kujipanga pamoja na kujinyima ili uweze kufanikiwa lengo lako la Ujenzi

Kinyume cha hapo, unaweza kuzeeka na kufikia umri wetu Babu zenu pasipo kumiliki kibanda hata cha milioni 30

Binafsi napenda kujenga

Japo nafanya Kwa kujinyima mno

Kwenye shilingi 10,000 niipatayo basi shilingi 7,000 naipeleka kwenye Ujenzi na kuishia kula 3,000 iliyobaki 🙌
Na maisha yalivyo nyoko mtu hutangulia na nyumba ikabaki kufaidiwa na wengine!
Tena sisi wanaume majukumu yalivyo na mbanano hata kukaa kwenye hio nyumba ni kwa masaa machache mno.

Endelea kujibana mkuu!
 
Na maisha yalivyo nyoko mtu hutangulia na nyumba ikabaki kufaidiwa na wengine!
Tena sisi wanaume majukumu yalivyo na mbanano hata kukaa kwenye hio nyumba ni kwa masaa machache mno.

Endelea kujibana mkuu!
Kweli Mkuu

Kuna Mzee mmoja nilikuwa naongea naye, akashauri tupunguze kuwekeza kwaajili ya watoto

Inafikia kipindi hujavaa shati jipya Wala kiatu kipya Mwaka mzima, kisa unajibana kwaajili ya kujenga majumba ambayo utakufa na kuyaacha Vijana wakigombania tu 🙌
 
Kwaning una

Unasema nimepingwa zingatia tofali la block bukoba ni tsh 1600 cement ni sh 26,000 mfuko
Watu wengi hawajui kuna tofauti ndogo sana kati ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala sebule choo,jiko na nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala sebule jiko na choo. Kimeongezeka chumba kimoja tu tofali kama 400 tu.
 
Kweli Mkuu

Kuna Mzee mmoja nilikuwa naongea naye, akashauri tupunguze kuwekeza kwaajili ya watoto

Inafikia kipindi hujavaa shata jipya Wala kiatu kipya Mwaka mzima, kisa unajibana kwaajili ya kujenga majumba ambayo utakufa na kuyaacha Vijana wakigombania tu 🙌
Inafikirisha sana , ila hamna namna.
 
Watu wengi hawajui kuna tofauti ndogo sana kati ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala sebule choo,jiko na nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala sebule jiko na choo. Kimeongezeka chumba kimoja tu tofali kama 400 tu.
Hakika kama una budget ya vyumba 2 , vitatu havitaushinda
 
Karibu kyakairabwa
Anhaa basi ni karibu na stendi mpya ya kwenda sijui mtukula ,walipokuwa wachina zamani .
Basi pamoja Kaka ,Mimi nipo karibu na wanapokaa matrafiki ndiyo nafikia nikitoka kupiga mishindo huku mikoani nakuja mitaa hiyo nakaa huku nakula maisha taratibu .

Vipi kwa uenyeji wako ni rahisi kupata gari la kukodi walau kwa majuma mawili ikiwa nitahitaji ndugu ?
 
Anhaa basi ni karibu na stendi mpya ya kwenda sijui mtukula ,walipokuwa wachina zamani .
Basi pamoja Kaka ,Mimi nipo karibu na wanapokaa matrafiki ndiyo nafikia nikitoka kupiga mishindo huku mikoani nakuja mitaa hiyo nakaa huku nakula maisha taratibu .

Vipi kwa uenyeji wako ni rahisi kupata gari la kukodi walau kwa majuma mawili ikiwa nitahitaji ndugu ?
yes mimi niko mlimani kiasi fulani kyakailabwa nakua napaona kwa mbali kdg
 
Tatizo ni bei za materials za kujenga zimeflactuate vibaya mnoo.

Ssasa hivi watakaojenga ni wale walio na vipato imara tofauti na hapo unafirisika vibaya mnoo
kabisa na mikoa ambayo ni mbali na dar kiukweli ni changamoto sana
 
Back
Top Bottom