miana amor
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 966
- 1,495
Limeisha ilo babu🙅♀️Jioni upite tusaidiane kupanga maeneo ya kutembelea wakati wa hiyo likizo yetu Mjukuu
Babu yako siwezi kitu bila wewe Mjukuu
Limeisha ilo babu🙅♀️Jioni upite tusaidiane kupanga maeneo ya kutembelea wakati wa hiyo likizo yetu Mjukuu
Babu yako siwezi kitu bila wewe Mjukuu
MarahabaaZamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu
Me naona kununua gari kuna umuhim mkubwa kuliko kujenga nyumba kwa maisha ya kijana wa sasaKujenga sio kazi kazi kununua Gari ya ndoto Yako namana ukiagiza au kwenda shop kununua kama ni MILION 25 inahitajika Yote sio kujenga unafanya mishe unapata MILION 3 unainua msingi pole pole mwaka mmoja au miwili unamaliza sema ununue gari uone
Nakusubiri MjukuuLimeisha ilo babu🙅♀️
Muonekano hauvutiiKwani nyumba bila plaster,tiles,rangi inakuwa na madhara gani?
Ivi kwa uzoefu aako milion 3 inaweza fanya finishing ya kwa ida ya vhumba na sebule ambayo inahitaji kila kitu kasoro tiles tu iko dar sehem ambayo vifaa vya finishing vina afadhali ya beiBtw, Mleta mada hapo ulipofikia ni pazuri, pambana utafute not less than 3m urekebishe vitu uhamie
Ukubwa wa chumba na ukubwa wa sebule ni ganiIvi kwa uzoefu aako milion 3 inaweza fanya finishing ya kwa ida ya vhumba na sebule ambayo inahitaji kila kitu kasoro tiles tu iko dar sehem ambayo vifaa vya finishing vina afadhali ya bei
Chumba ni futi 12 kwa 12 na sebule ni 14 kwa 14 sehem zote izo ishapigwa plaster na wiring tayarUkubwa wa chumba na ukubwa wa sebule ni gani
4m inamaliza kila kituChumba ni futi 12 kwa 12 na sebule ni 14 kwa 14 sehem zote izo ishapigwa plaster na wiring tayar