Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Zamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu

Nyumba nyingi za town, hii pesa ni gharama ya msingi tu...
 
Mil 10 vyumba viwili labda ukiweka na hela ya kununua kiwanja..lasivyoo umepigwaa parefuuu sanaaaa.
 
Tatizo ni bei za materials za kujenga zimeflactuate vibaya mnoo.

Ssasa hivi watakaojenga ni wale walio na vipato imara tofauti na hapo unafirisika vibaya mnoo
Shimoni mkuu
 
Mil 10 vyumba viwili labda ukiweka na hela ya kununua kiwanja..lasivyoo umepigwaa parefuuu sanaaaa.
vyumba viwili sebule open stoo choo public toilet na pia chumba kimoja master
 
ujenzi wa dar na mkoani ni tofauti kidogo dar viwanja vingi tambarale na materials ni very cheap ukilinganisha na mkoani
Tofauti ya bei ipo lakini sio kubwa kivile,kujenga nyumba ikaisha sio jambo la kubeza,ni safari kwelikweli.Cha muhimu ni kuanzia hapa,tunapozungumzia nyumba imeisha tunamaanisha kuisha kitu gani...?
 
Naombeni approximation za kujenga nyumba ya vyumba viwili (master kimoja), sebule na choo cha ndani kimoja public.
Eneo Dsm
 
Kuna nyumba hapa jirani, milangoni na madirishani kuna mavyuma tu. Matofali yako uchii (haijapigwa plaster). Ukiangalia kibaraza kina zege tu (dalili ya kuwa ndani kuko na zege pia). Kila nipitapo jioni ama usiku nikirudi home nakuta nje imepaki Klugger namba E. Huwa nacheka tu!
Moyoni najisema, mwamba alipunguza hela akabeba Klugger akiamini iliyobaki itamtosha kwenye ujenzi!
Wengi wanajenga nyumba ila hawajaamua kusettle ; wafanyakazi wanaohama hama kila siku .


Mtu akiamua ataendeleza ilq hizi kazi za kuajiriwa na kuhamishwa ni damu...Bora hata anunue gari ,nyumba anaweza kuuza kwa hasara.
 
Ila kijana sikupingi kwa iyo hela ss ivi haina thaman na sikufichii mama akilita vitu vitapanda bei iyo milion 10 hata kupaua utashindwa so cha kukushauri mdogo wangu pambana mapema hali kabla haijawa tata sana huko mbeleni
 
Milioni 11 nimejenga vyumba viwili 11 kwa 11 sebule kubwa 12*12 bila kusahau vyoo viwili vya ndani na jiko kubwa 6*6 .
Milango, madirisha ila sijagrill na nishahamia kibishi.
Nb. Nimeijenga nyumba hiyo Dodoma 2024.
Nashangaa m10 umejengaje vyumba viwili
Dodoma material bei rahisi ndiomana umejenga kwa hiyo pesa..!!

Dom mpk malaya wanajenga bila shida..!! 😹
 
Mil 10 vyumba viwili labda ukiweka na hela ya kununua kiwanja..lasivyoo umepigwaa parefuuu sanaaaa.

Mm nadhan kajitahidi.

Mm msingi + kibanda cha kuwekea material (cha mabati) + tank la maji +kijaza kifusi ilikata 10 Mill.

Eneo lilikuwa haliko tambarare.
Zege ya msolwa mwanzo kabla ya kuweka tofali.
+ mikanda.
Na Kuna sehem mikanda imekaa miwili(yote kokoto za msolwa) Na kuna sehem kozi ya matofali zililala 14.

Wakat budget niliandaa 7 mill.
Ujenzi sio poa kabisa.
 
Zamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu
Bado tafuta zingine 15M ndio itaanza kuonekana kama ni nyumba
 
Hongera Kwa hatua uliyofikia

Kusema kweli, suala la kujenga linahitaji kujipanga pamoja na kujinyima ili uweze kufanikiwa lengo lako la Ujenzi

Kinyume cha hapo, unaweza kuzeeka na kufikia umri wetu Babu zenu pasipo kumiliki kibanda hata cha milioni 30

Binafsi napenda kujenga

Japo nafanya Kwa kujinyima mno

Kwenye shilingi 10,000 niipatayo basi shilingi 7,000 naipeleka kwenye Ujenzi na kuishia kula 3,000 iliyobaki 🙌
Babu sie wajukuu mgao wetu ukwapi kwenye hiyo 10 uipatayo
 
Mm nadhan kajitahidi.

Mm msingi + kibanda cha kuwekea material (cha mabati) + tank la maji +kijaza kifusi ilikata 10 Mill.

Eneo lilikuwa haliko tambarare.
Zege ya msolwa mwanzo kabla ya kuweka tofali.
+ mikanda.
Na Kuna sehem mikanda imekaa miwili(yote kokoto za msolwa) Na kuna sehem kozi ya matofali zililala 14.

Wakat budget niliandaa 7 mill.
Ujenzi sio poa kabisa.
Noma sana. Jasho lazima likutoke lakini ndio maisha. Heshima sana ukimaliza kujenga unapumua na kuna raha fulani amazing kumiliki Home.
 
Back
Top Bottom