Mlemavu msomi

na wewe umezidi ubahili. Utampaje mlemavu kaelfu kumi kako? Hizo ni bia ngapi?

Unaona ungempa laki angefaiiiiidi au?

Bahili Msomi.

Asprin mie TAJIRI MSOMI bana.. Nilikuwa kwenye harakati ya kumuandikia Cheque ya Dolari, ila jamaa alireact mapema..
Angesubiri kidogo tu bila jazba, angedondoka kwa mshtuko wa hiyo amount ya kwenye Cheque.........
 
Last edited by a moderator:
Nawasalimu wanaJF kwa upendo ..

Leo mida ya saa nne hivi asubuhi, tumepata mgeni wa kushtukiza ofisini (BUBU).. Mgeni huyu kwa njia anazojua yeye,alibahatika kumdanganya mlinzi(mzembe) na kuruhusiwa kuingia moja kwa moja mjengoni.
Huyu jamaa ni pande la mtu, kavaa smart sana na ni mtu anayejiamnini ..

Aliingia na kuanza kumsalimia mmoja wetu kwa kumpa mkono, na kukabidhi makaratasi aliyokuwa nayo... Zilikuwa ni barua za kuomba msaada.. Kwa vile hatuna utaratibu wa kampuni kama kampuni kutoa msaada, watu waliokuwa na huruma walianza kujisearch angalau kumsaidia kwa chochote.. Mmoja alitoa Tshs 5,000/=, mwingine akaingiza mkono mfukoni ikatoka Tshs 1000/= huku wengine wakiendelea kutafuta walichonacho...

Jamaa alikuwa pembeni akiangalia zoezi zima kwa dharau fulani, akasimama na kukusanya makaratasi yake na kuondoka akionyesha ishara kwamba haitaji hizo fedha.... Hatukuamini macho yetu pale alipoziacha kweli na kuchapa mwendo... Kufika eneo la gate, akatuachia hii barua fupi (ATTACHED)ambayo imetuachia sisi maswali mengi sana..

1.Hivi msaada ni lazima au hiari?
2.Mtu anapangiliaje matumizi ya fedha za mwenzake?

Au alikuwa mwanga?

Chukueni tahadhari. Madame B, PakaJimmy , Filipo , Erickb52 , Preta , Mungi Kaizer Babu DC , Arushaone , Mzee wa Rula , St. Paka Mweusi , majany Nicas Mtei Boflo LiverpoolFC , Mr Rocky , Blaki Womani and MANY OTHERS
Namfahamu sana huyo jamaa!
Last week alikuja Ofisini kwetu na akaondoka na mafao ya kutosha...(Attn: marejesho, aliwafuata akina Nayoma, Sagaf na wengine kule ndani, wakammwagia fao la kushiba, ndio maana amezowea kuwa akija hadi hapo kwenu ataendelea kuzoa chuzi!).

Actually docs zake zinaonyesha ni Dr. wa phd, na anachangisha ili kwenda ughaibuni kurekebishwa masikio yake ili aweze kusikia.
Binafsi nilimpa buku 5 akaniponda mbaya kuwa kwanini nimpe kiasi hicho wakati nina kitambi!..lol!
Huyu mtu ni wa kumwogopa, na ambao bado hajawapitia,tafadhali 'Shake before Use!'
 
Namfahamu sana huyo jamaa!
Last week alikuja Ofisini kwetu na akaondoka na mafao ya kutosha...(Attn: marejesho, aliwafuata akina Nayoma, Sagaf na wengine kule ndani, wakammwagia fao la kushiba, ndio maana amezowea kuwa akija hadi hapo kwenu ataendelea kuzoa chuzi!).

Actually docs zake zinaonyesha ni Dr. wa phd, na anachangisha ili kwenda ughaibuni kurekebishwa masikio yake ili aweze kusikia.
Binafsi nilimpa buku 5 akaniponda mbaya kuwa kwanini nimpe kiasi hicho wakati nina kitambi!..lol!
Huyu mtu ni wa kumwogopa, na ambao bado hajawapitia,tafadhali 'Shake before Use!'
Hahahahahaaaaa kumbe ukiwa na kitambi lazma na mfuko nao uwe km kitambi
 
pole sana mamito... hata ofisini kwetu aliwahi kuja mtu kuomba msaada.. alipofika nikamkaribisha ila akanionesha ishara ya kuwa hasikii. Aliniomba karatasi na kalamu akaindika kuwa anaitea Dr. fulani anatoka sehemu fulani katika mabano akaandika Deaf.. na anahitaji kuonana na manager... wakati anasubiri alikuwa anasoma Daily news (wakati huo ndo kulikuwa na msiba wa RPC MWANZA) Akaniomba tena kalamu na karatasi akaandika "RPC anatakiwa kuwa na walinzi muda wote ilikuwaje awe pekeyake kwa wakati ule na usiku sana?) me sikuwa na jibu zaidi ya kutabasamu make lugha gongana mwe!! aliingia kwa manager akapewa sh. 10,000 ila alishukuru na kuondoka.

kuna wengine wana shukrani wengine hawana..
 
pole sana mamito... hata ofisini kwetu aliwahi kuja mtu kuomba msaada.. alipofika nikamkaribisha ila akanionesha ishara ya kuwa hasikii. Aliniomba karatasi na kalamu akaindika kuwa anaitea Dr. fulani anatoka sehemu fulani katika mabano akaandika Deaf.. na anahitaji kuonana na manager... wakati anasubiri alikuwa anasoma Daily news (wakati huo ndo kulikuwa na msiba wa RPC MWANZA) Akaniomba tena kalamu na karatasi akaandika "RPC anatakiwa kuwa na walinzi muda wote ilikuwaje awe pekeyake kwa wakati ule na usiku sana?) me sikuwa na jibu zaidi ya kutabasamu make lugha gongana mwe!! aliingia kwa manager akapewa sh. 10,000 ila alishukuru na kuondoka.

kuna wengine wana shukrani wengine hawana..

charminglady bora huyo alikuwa na shukrani!!!
 
Last edited by a moderator:
charminglady bora huyo alikuwa na shukrani!!!

mamie kama unataka kumsaidia mtu msaidie kwa roho moja. Wahenga walinena "tenda wema nenda zako usingoje shukrani" kwa Mwenyezi Mungu utakuwa na thawabu hata kama atakuwa kakutapeli as long as umempa kwa moyo mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Namfahamu sana huyo jamaa!
Last week alikuja Ofisini kwetu na akaondoka na mafao ya kutosha...(Attn: marejesho, aliwafuata akina Nayoma, Sagaf na wengine kule ndani, wakammwagia fao la kushiba, ndio maana amezowea kuwa akija hadi hapo kwenu ataendelea kuzoa chuzi!).

Actually docs zake zinaonyesha ni Dr. wa phd, na anachangisha ili kwenda ughaibuni kurekebishwa masikio yake ili aweze kusikia.
Binafsi nilimpa buku 5 akaniponda mbaya kuwa kwanini nimpe kiasi hicho wakati nina kitambi!..lol!
Huyu mtu ni wa kumwogopa, na ambao bado hajawapitia,tafadhali 'Shake before Use!'


Mbavu zangu mie na uzee huu!!!

Kwa nini hukubadili mawazo ukamwomba upe kipande kidogo toka kwenye kitambi chako?
 
Namfahamu sana huyo jamaa!
Last week alikuja Ofisini kwetu na akaondoka na mafao ya kutosha...(Attn: marejesho, aliwafuata akina Nayoma, Sagaf na wengine kule ndani, wakammwagia fao la kushiba, ndio maana amezowea kuwa akija hadi hapo kwenu ataendelea kuzoa chuzi!).

Actually docs zake zinaonyesha ni Dr. wa phd, na anachangisha ili kwenda ughaibuni kurekebishwa masikio yake ili aweze kusikia.
Binafsi nilimpa buku 5 akaniponda mbaya kuwa kwanini nimpe kiasi hicho wakati nina kitambi!..lol!
Huyu mtu ni wa kumwogopa, na ambao bado hajawapitia,tafadhali 'Shake before Use!'

Sijui kama ni huyo But I have a story.

Kuna bubu mmoja anapita maofisini anachangisha pesa kuwa anaenda maosomoni nje. This guy anaishi hotelini na ni mzinzi ambaye sijawahi kumuona katika kizazi hiki na hatumii mpira kabisa.

Nilikuaga nasiamamia hoteli fulani kipindi nipo chuo like say a manager, huyu bwana akaja pale hotelini na akachukua chumba akawa anaishi pale ambapo aliishi kama miezi mitatu paying 20,000/= a day.

Hoteli yenyewe ipo uswahilini. so alikua anachukua watoto wa uswahilini na akimpenda anaenda kujitambuslisha kabisa nyumbani kwao, anakaa naye but not more than a week. halafu sometimes kama huyo aliyenaye hayupo analeta mwingine kijanja.

Matumizi ya Condom kwake ni ndoto as in miezi yote hiyo mitatu hakuna siku limeonekana hata pakiti ya hicho kifaa kwenye chumba chake.

If he is the guys take care.

Anatembea nchi nzima sasa. nilikutana naye Iringa alikuja kwenye ofisi moja nilikua nafanya part time, kuniona akaniomba nikaushe, watu walitoa michango lakini mimi sikutoa kwasababu nilikua najua matumizi yake tayari.
pakajimmy kama ulitoa 5,000/= umemuongezea probability ya kufa haraka na HIV
 
Back
Top Bottom