Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,643
Reaction score
43,957
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana jipya, leo ilikuwa afikishwe Mahakamani lakini Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1. Jeremiah Yoram Katuma
2. Emmanuel Malisa,
3. Edith Mbogo

Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa
nakumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026, baada ya kikao waliitwa na Msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na Majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5 Bilioni ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka Ikulu kwamba Lissu asipelekwe Mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake na Serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGP kwamba awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapendekezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulani) kama wangeshiriki ningewataja ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndio maana siwapi tuhuma yoyote TUWAKAUSHIE KWANZA, hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama isingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B.

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyoendesha mambo! Wengine wamefika hatua mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, wengine wamebadilisha hadi walinzi.

Umoja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaani hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa.

Tuna orodha ya Wanasiasa zaidi ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizonazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje.

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia.

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita mhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mamba na hawana choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa waone

Nitarudi

Britanicca
 
Hata Maria Sarungi naona ka-post habari ya house arrest kwenye mtandao wa X.

Maria amegusia pia habari ya Nchimbi na Kombo kwenda IS.

Kama habari hii ni ya kweli, basi wahusika wajiandae kulipuliwa siku Lissu akitoka gerezani kwani sitegemei Lissu ataficha kitu.

CCM wanaweza kuondoka madarakani kwa shinikizo la kimataifa kama ilivyokuwa kwa Makaburu wa Afrika ya Kusini watapolazimishwa kuheshimu demokrasia.
 
Serikali imepoteza mwelekeo kabisa, inachezea sana pesa za walipa kodi pasipokuwa na maana yoyote.

Kama ni kweli wana mpango huo, kwanini wanataka kutumia bilioni 5 ili kumuachia huru mtu asiyekuwa na kosa lolote?

- Ok fine, Lissu amezihurumia, je, ingekuwa kwa wengine nao wangekuwa na huruma ya pesa zetu kama alivyo Lissu?

Hizi pesa wanazochezea hovyo namna hii wakati huko vijijini hakuna madawa, raia wanakunywa maji sehemu moja na n'gombe, na shule zisizokuwa hata na matundu ya vyoo!

Wakati ambao wanaenda kuwekewa vikwazo kwa ujinga wao wa kujitakia, ningetegemea waanze kubana matumizi, lakini wapuuzi ndio wanazidi kuchezea pesa zetu wapendavyo.

Huyu Samia mpaka aondoke atatuacha kwenye wakati mgumu sana, unless tumuondoe mapema kwa usalama wetu, anatukomoa makusudi hajali chochote!.

Wanachojua ni kuua, kuteka, poteza, chezea pesa, na hawajali hata kidogo. Inasikitisha kuona kila siku wakipanga mipango ya hovyo isiyo na matokeo chanya, lakini ajabu hata hawaachi, ndio kwanza wanaendelea kupanga ujinga wao tu.

Nasi bado tunaendelea kuwaacha wajinga wakusanye na wasimamie pesa zetu, ili waendelee kututeka na kutuua!.
 
Serikali imepoteza mwelekeo kabisa, inachezea sana pesa za walipa kodi pasipokuwa na maana yoyote.

Kama ni kweli wana mpango huo, kwanini wanataka kutumia bilioni 5 ili kumuachia huru mtu asiyekuwa na kosa lolote?

Hizi pesa wanazochezea hovyo namna hii wakati huko vijijini hakuna madawa, raia wanakunywa maji sehemu moja na n'gombe, na shule zisizokuwa hata na matundu ya vyoo!
Na leo deni la Taifa limekuwa 115 trillion
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umeja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna list ya wanasiasa zaid ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
Mtaalam wa nyeti za ndani, haujawahi kukosea.
 
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia

Lissu amekaba hoja zote hawana, leo ilikuwa afikishwe mahakamani Lakin Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza

1.Jeremiah Yoram Katuma
2.Emmanuel Malisa,
3.Edith Mbogo
Ndani ya ukumbi wa Lugimbana waliitwa na

kumbuka ilikuwa siku ya kufungua mafunzo kwa maafisa tarehe 10, June ,2026,
Baada ya kikao waliitwa na msaidizi wa Dawati Ikulu akiwa na majaji wawili ambao sasa sitawataja maana wameonekana kutokuwa upande wao kwa kusema Lissu apewe 5Bilion ashawishiwe aachane na siasa, mambo yakagonga mwamba!

Kwanza taarifa ilianza kutoka ikulu kwamba Lissu asipelekwe mahakamani kuna jambo la kuweka sawa baina yake ma serikali

Option ya Pili ikatoka kwa Mjeshi na IGp kwamba Awekwe under arrest kwa Mwaka mmoja na wammalize taratibu akiwa nje ya gereza ili isionekane kuwa kafia gerezani (this is serious allegations na Nina ushahidi ila natunza now)

Jinsi ya kumshawishi wamependekeza Majina matatu Ila wakasema wasiwe Heche, Nshala wala Lema (hao waliopendekezwa hawakuhusishwa wala hawajui bali ilikuwa ni mapenkezo kuwa wahusishwe akiwemo na mstaafu maarufu wa chama fulan) kama wangeshiriki ningewataja Ila Kwakuwa hawakuambiwa chochote ndo maana siwapi tuhuma yeyote TUWAKAUSHIE KWANZA ,hatujui kama wangekubali au lah,

Kwanini wlipendekeza wapinzani hao wahusike ionekane Lissu na wenzake wameridhika na jinsi alivyoachiwa hata kama insingewekwa sababu public, japo suala kuna mmoja kavujisha Siri kwa wanaharakati kwamba Lissu will be under arrest! Though hawakujua kama ameandaliwa na option ya 5B,

Kumekuwa na mgongani ndani ya Serikali ngazi ya juu kabisa kuhusu suala la Lissu linavyopelekwa, hata wengine wanavyo endesha mambo! Wengine wamefika hatua Mpaka wanatuhumiana mambo mazito mno hadi kuuana, Wengine wamebadilisha hadi walinzi ,

Umeja wa Ulaya, na Marekani wamebana sana kuna barua wamelimwa Tanzania nazisubiri nitumiwe niweke! Kuhusu mienendo ya Haki za binadamu Tanzania, nchi kama Sweden na Ubalozi wake pia wanataka kupunguza msaada kwa Serikali ya Tanzania kwa zaidi ya Asilimia 80 yaan hii imezidi hata ambavyo Magufuli alipinguziwa,
Tuna list ya wanasiasa zaid ya 120 ambao ni CCM nao wameshapokea barua kutokanyaga nchi zao na pili ka option kanakoumiza wao ni watoto wao wanaosoma kule kufutiwa visa, mali walizo nazo kukamatwa ikiwemo fedha walizoweka nje,

Mbaya zaidi Samia kajichanganya kaenda Urusi ambao wao wakikupa zawadi au msaada zaidi ni kukurithisha vikwazo vyao! Hapa tunaongea USA imeendelea kuiweka Tanzania under surveillance kwa huyu mama kujichanganya na anaenda kusema taarifa za uongo Russia,

Tanzania imekuwa blacklisted sasa hapo juu ndo wanakaangana

Mmoja analaumiwa kutosema chochote kuhusu wanayemuita muhaini Lissu ye yuko kimya tu

Mwingine mkubwa zaidi yeye anatafuta legitimacy ya anachomfanyia Lissu gerezani

Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!

Ntarudi tena acha machawa wajichanganye hapa wa one

Nitarudi

Britanicca
Hii kesi ya Lissu ni kama kijiji kilichokula nyama na supu ya Mambo na hawa choo cha kudumu uharo utaonekana tu!🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom