Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

me nadhani hii ni kwa ajili ya vile vyoo vya kulenga vyenye mabanda ya nyasi ndo shetani anaweza kuwa humo..
 
Hili la kufa bafuni au chooni pamoja na la kiroho hata kisayansi lipo pia.
Ukiwa na pressure ukigusa TU maji ya baridi ni sawa na chupa yenye kitu Cha moto uweke cha baridi mda huo huo itapasuka.
Thus inashauriwa usianze kujimwagia maji kichwani anzia miguuni kwanza hili mwili uzoee,na sio kichwani kwanza unakuwa una ustua mwili kwa sababu kichwani Pana misuli yenye high sensitive.
Nakubaliana na wewe chooni ni mlango wa kuingilia kuzimu hii ni kiroho sasa.
 
sawa tufanye ni kweli, Je mtu ambaye tayari alishafanya hayo yote chooni afanyeje kujiondoa kwenye hiyo mibalaa na mikosi
 
Achana nalo litatuongezea stress tu!nakumbuka nikiwa na 9yrs nilisafiri kwenda Namtumbo,kuingia chooni nakuta vigunzi kibao,halafu shimo lenyewe limejengwa na miti miti halafu limekaa Kuna mafinyofinyo nilitoka ndukiii sana,nilishindwa kujisaidia
hivo ndo vyoo shetani wanaishi humo!
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Siku hizi Hatutumii Matundu ya Choo mzee..
🤣🤣
 
Kama hizi ndo aina ya akili za kiafrika tusahau chochote kizuri toka kwetu.
 
My friend,angalia vizuri hiyo afya ya akili ni nani achekiwe either you or I....Achana na imani potofu bro.....watu wanaumwa pressure,wanaingia bafuni wanainama na kujimwagia maji ya baridi mwili unapata mstuko,wanaanguka,Kwa ajili ya high blood pressure anatoka damu masikioni na puani mishipa imepasuka nyie mnasema katupiwa jini!acha Hizo mambo....
Asipokuelewa hapa ,atafute Mwanasaikolojia
 
Hilo la kuanguka chooni au kupooza mara nyingi ni process tu za kuoga unapaswa maji ya kwanza uanzie miguuni na siyo kichwani kama wengi wanavyofanya na hii inatokana na sababu za kimwili zaidi
 
Kuna wakati unapiga code, af full of syntax errors, unaingia chooni unajimwagia maji unawaza ghafra unapata jibu.

I solve much of my computer issue there,

Tupo wengi! Mie menyewe napata suluhisho la mambo mengi yanayonisumbua nikiwa chooni au bafuni na nafanikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom