Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Mtoa mada asante kwa tahdhari yako.

Kwa niliyoyashuhudia kwenye ulimwengu huu, siwezi kubisha au kukataa jambo lolote. Kila kitu kinawezekana.

Nitachukua tahadhari kuliko kujifanya mbishi na mwerevu kumbe mpumbavu nisiyejua kitu.

Ubarikiwe. Mjumbe hauwawi.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
 
Ujinga mtupu.

Tuwekeze kwenye sayansi na teknolojia ili tupige hatua kiuchumi na kijamii. Huu ujinga tupa kule.
 
Mimi naweza kupa maelekezo toa hiki eka hiki na sema maneno fulani ukatokea kuzimu!!
But I don't trust you
🤔🤔🤔weeee kumbe mtu ukitaka kwenda kuzimu unaweza kupitia chooni
 
Yaan nmebanwa na haja gafla hapa na comment nipoo choon
 
Kwa hayo uloandika...
Basi nimeishaa!!! Maana choon kwangu nakaa masaa mengi.
With a serious note...me nadhan watu wengi wana anguka chooni, Kwa sababu ventilation sio kubwa, so automatically Kama ukiwa unatatizo ni rahis kupata madhara coz air supply inakuwa ndogo...so it's easy kuanguka chooni kuliko sebuleni...
Scientists watusaidie ....
Mm nafiriki pia na utelezi unaotaokana na sabuni plus majiji
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Umekuja na theories nyingi zisizo na facts
 
Kula chakula ukiwa ndani kunaleta majini. Inashauliwa tule juu ya milima
Comment yangu isiguswe
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Huu ni ushirikina LIVE
 
Hii nchi bado inawajinga wengi sana ndo maana CCM itaendelea kutawala.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Sasa. mbona mimi naenda na simu nakaa kabisa napiga stori au naingia mitandaoni, hii balaa ssa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom