🤣🤣🤣😂 huyu sijui anatuambia vyoo wa wapi huko alipokutana na kina maimunaHapana kaka,choo Cha kisasa hakikai jini!imagine una choo kimoja matata sana huyo jini atakaa wapi?achana na Hizo Imani.........
Hata mimi ndicho nilichowaza baada ya kusoma uzi huu.Bila shaka wewe ni muislamu.
Alafu?A
Chaa hizo wewe, Adam mwenyewe alikuwa mweusi.
Na wewe ukajikuta umekuwa rangi hiyo.Alafu?
Weeeeeeeeeeee, usiniambie?! Kweli kabisa?!Mimi naweza kupa maelekezo toa hiki eka hiki na sema maneno fulani ukatokea kuzimu!!
But I don't trust you
Anatuvuruga tu vichwa!Angejua siku hizi vyooni ndio tunatolea stress angetuacha tu🤣🤣🤣😂 huyu sijui anatuambia vyoo wa wapi huko alipokutana na kina maimuna
My friend,angalia vizuri hiyo afya ya akili ni nani achekiwe either you or I....Achana na imani potofu bro.....watu wanaumwa pressure,wanaingia bafuni wanainama na kujimwagia maji ya baridi mwili unapata mstuko,wanaanguka,Kwa ajili ya high blood pressure anatoka damu masikioni na puani mishipa imepasuka nyie mnasema katupiwa jini!acha Hizo mambo....Wewe sema huamini sio kwamba hakikai?
Ety atakaa wapi? Yaani hili swali linanipa mashaka na afya yako ya akili?
Vile ni viumbe vya kiroho
Usijibu kwa mihemko kuchekesha !!
Asante sanaMy friend,angalia vizuri hiyo afya ya akili ni nani achekiwe either you or I....Achana na imani potofu bro.....watu wanaumwa pressure,wanaingia bafuni wanainama na kujimwagia maji ya baridi mwili unapata mstuko,wanaanguka,Kwa ajili ya high blood pressure anatoka damu masikioni na puani mishipa imepasuka nyie mnasema katupiwa jini!acha Hizo mambo....
Asante pia...take ur time kujifunza utaelewa kitu.Asante sana
Ila usiseme imani potofu wakati ni kitu kipo
Asante ni suala la muda tyuAsante pia...take ur time kujifunza utaelewa kitu.
Sawa tumekusikia ila haya ni mambo ya Waislam, si rahisi kumkuta Mkristu anafuga na kuendekeza majini.Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.
Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.
Usipende kuongea chooni/bafuni.
Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.
Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.
Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.
Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.
Madhara yake nikama...
-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.
-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.
-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.
-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.
Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.
Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.
Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?
Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.
Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.
Usiteme mate hovyo !!!
Mbona sisi christian mnaongoza Kwa hirizi?hapa tatizo sio uislam Wala ukristo!tatizo ni uelewaSawa tumekusikia ila haya ni mambo ya Waislam, si rahisi kumkuta Mkristu anafuga na kuendekeza majini.