Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Nyie ndiyo mlikua mnatutisha kuingia vyoo vya shule na uzushi wenu wa majini.
 
Fake P nimemuomba shemeji yako nyumba mpya aweke choo kikubwaaa na sink,na Mimi niwe nawasha mishumaa najiloweka na shower gel,sio kuona tu mambo hayo Nungwi!
🤣🤣🤣😂 Hujanifikia mimi niishamwambia nataka ukubwa wa choo uwe nusu ya chumba, 🤣🤣🤣 nikiweka T-Sink zangu na kioo +sehemu ya towel + Candles + na videtergent vingine+toiletry, Nikisema naenda kuoga ni kuoga kweli sio kukoga 🤣🤣🤣😂 tumechoka kutamani Nung... #Mtoa mada aachane na hivi vyoo vya kina maimuna
 
Ami
🤣🤣🤣😂 Hujanifikia mimi niishamwambia nataka ukubwa wa choo uwe nusu ya chumba, 🤣🤣🤣 nikiweka T-Sink zangu na kioo +sehemu ya towel + Candles + na videtergent vingine+toiletry, Nikisema naenda kuoga ni kuoga kweli sio kukoga 🤣🤣🤣😂 tumechoka kutamani Nung... #Mtoa mada aachane na hivi vyoo vya kina maimuna
Amiiiiin!Mwenyezi Mungu atujaalie....na sie tuoge kama kina Rihanna😁😁
 
Wanaopata kiharusi chooni wale wote ambao wana shinikizo la damu liko juu na hawajui,na wanafikia kumwagia kichwa maji,hapo inakuwa km umepigwa na radi au shoti ya umeme!acha kupotosha watu Kwa imani za kizamani.
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Unamzungumziaje huyu?

20240414_002224.jpg
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Waganga siku hizi mmekua ni wengi hadi KARAHAAA.....
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Mahoteli yote duniani sehemu ya kupigia mswaki iko chooni na ndiyo bafuni hukohuko
 
Wanaopata kiharusi chooni wale wote ambao wana shinikizo la damu liko juu na hawajui,na wanafikia kumwagia kichwa maji,hapo inakuwa km umepigwa na radi au shoti ya umeme!acha kupotosha watu Kwa imani za kizamani.
Hapo kifuatacho ni kuanguka,mishipa ya damu inapasuka,damu zinaanza toka masikioni na na puani na mdomoni utasikia,KARUSHIWA JINI
 
🤣🤣🤣😂 Tena ukileta mchezo nitakuachia wewe na huyo jamaa, kuoga na kikopo na ndoo 🤣🤣🤣😂 Yahweh hapana ilitosha
Shindwaaaaa aisee🤣🤣🤣....plan ni kubwa mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom