Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

Hii imani niliikuta wilaya ya mkinga kwa Wadigo mpakani na horohoro huko, watu hawachimbi choo, wanaamini ukichimba na kujenga choo unakuwa umewajengea majini sehemu ya kuishi, hivyo hawana uatamaduni wa kujenga nyumba na choo, watu wanaenda kujisadia porini au baharini, kuna maeneno wametnga kwa ajili ya kina baba na kwa ajili ya kina mama, wenyewe wanaita Wangwani. Kipindi cha mfungo baada ya kufuturu utaona makundi ya watu wanaongozana kwenda kukata gogo porini
😂😂
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Kutiana,
HOFU na WOGA kwa mwafrika utakuta huyu mwandishi Ni mfuasi wa MUDI for sure kwa MAWAZO KAMA YA MWANDISHI TUPO MWAKA 1685-1815(ENLIGHTIMENT ERA)
 
Achana nalo litatuongezea stress tu!nakumbuka nikiwa na 9yrs nilisafiri kwenda Namtumbo,kuingia chooni nakuta vigunzi kibao,halafu shimo lenyewe limejengwa na miti miti halafu limekaa Kuna mafinyofinyo nilitoka ndukiii sana,nilishindwa kujisaidia
Sina lengo la kumtishia ninaongea ukweli from my experience maana kuloga nimeloga na kuagua nimeagua
 
Kuna wakati unapiga code, af full of syntax errors, unaingia chooni unajimwagia maji unawaza ghafra unapata jibu.

I solve much of my computer issue there,
 
Nimesoma hadi nimeogopa ila comments za waja zimenipa moyo kidogo
 
Labda vyoo vyenu ila sisi wala kitimoto..hilo fukuto la mdudu jini hakai...
 
Kwa hayo uloandika...
Basi nimeishaa!!! Maana choon kwangu nakaa masaa mengi.
With a serious note...me nadhan watu wengi wana anguka chooni, Kwa sababu ventilation sio kubwa, so automatically Kama ukiwa unatatizo ni rahis kupata madhara coz air supply inakuwa ndogo...so it's easy kuanguka chooni kuliko sebuleni...
Scientists watusaidie ....
Hapana choo ni mlango wa kuzimu
I speak from my experience
 
Miafrika inahangaika na ujinga mwingi sana ndo maana imedumaa kikakili. Mtu mwenye akili timamu huwezi chagua mguu wa kuingilia chooni. Mimi mpaka tv nmeweka chooni. Ni pasafi kinyama.
Hilo kuchangua mguu hizo ni imani tyu za kislamu
Unapofanya chochote sali sana
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Tafuta hela hakuna Majini Duniani.
 
Nimekuelewa vizuri brother,ila achana na mambo ya tundu la choo,Kuna wachina kama goodwill au twiford siku hizi wanauza vitu bei poa sana ..tupambane aisee
Wewe hujanielewa alafu unasema umenielewa!!
Siongelei technology za kisasa za choo na ongelea choo kiima zaidi
 
Epuka kutema mate ovyo ovyo kwenye tundu la choo.

Hata ukipiga msuaki epuka sana kutema mate kwenye tundu la choo/bafuni.

Usipende kuongea chooni/bafuni.

Usipende kukaa mda mrefu choo/bafuni.

Usichezee nyeti zako chooni/bafuni.

Ni heri kufuata lililo kupeleka bafuni/chooni kisha ukatoka.

Ina madhara mengi na imearibia watu wengi maisha yao sio kinyota bali hata kiafya.

Madhara yake nikama...

-maneno yako hayatasikilizwa na yeyote yule hata awe mtu wa karibu nawe utashangaa kukuepuka.

-hutokuwa na uwezo wa kumshawishi mtu yeyote yule kwa jambo lolote.

-kinywa chako kitakuwa kama choo kila usemalo litakuwa chafu na la kuchukiza kwa waja.

-hutezwa sikilizwa haja zako wala kupata usaidizi.


Chooni kuna viumbe wabaya walio fanya chooni/ bafuni kama makaazi yao na ndiyo maana kuna adabu za kuingiliwa chooni.

Kwaiyo ni vizuri kuto tema tema mate, kutoongea ovyo ovyo. Na kuchezea nyeti zako chooni/ bafuni unatamanisha majini kama vile jini mahaba, na wengi walio na jini hili eidha ni kutupiwa ama kusababishwa na kuchezea nyeti ovyo ovyo chooni/ bafuni.

Jiulize kwa nini wagonjwa wengi wa kupooza wengi wao wanaanguka chooni?

Pamoja nakuwa kuna mambo ya kichawi ila asilimia kubwa ya wanao anguka chooni na kupooza ama wengine kufikia chanzo cha kifo chao ni sababu ya majini wabaya chooni/ bafuni.

Kaa ukijua bafuni sio sehemu ya kuchezea haswa kama umzazi mchunge sana mtoto wako kwenda chooni pekee maana hujui ni majini gani yanayo mgonjea humo.

Usiteme mate hovyo !!!
Kuna sala/dua za kusema wkt unaingia washroom ilikukuepusha na hayo madhara if it’s true,kingine km ni choo cha nyumbani usafi ni jambo muhimu sn tena mno,jini mahaba ndio linalofarakanisha ndoa nyingi kwakua watu wanatafuta utajiri and wanaume wenye hela so ni mwendo wakirushiana yanayoweza,be cautious with friends or enemies within your normal life.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom