Waga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 322
- 14
tiGO for life....
Jamani kwa nini mnaumiza vichwa na kupigizana kelele na watu ambao kwa namna moja au nyingine wanausika na hao watuhumiwa wa ufisadi??
Mimi niwaambie kitu kimoja.. hao wote wanaong'ang'ania kutumia voda ni mafisadi kwa namna moja au nyingine.. Kwa nini nasema hivi...
Hebu ajitokeze mtu mwenye ushahidi hapa Jf kama kuna kampuni yoyote ya simu yenye viwango vilivyo juu kama VODACOM, utume msg utakatwa pesa nyingi upige simu utakatwa pesa nyingi yaani ni kufilisiana kwa kwenda mbele hakuna kingine zaidi ya kuchuma pesa ya mvuja jasho kiulainii alafu mnaenda kudanganya walalahoi kwa udhamini wenu feki ambao hata pesa ya kumsajili kaseja imepita huo udhamini wenu si aibu hiyo??
Naungana na mkuu LUNYUNGU kuwasihi woote mnaotumia VODA ni vyema mkaachana na hiyo kampuni maana ni wanyonyaji wakubwa..... lasivyo tutabakia kusema kama ningejua ningesikiliza ushauri wana wana JF ....
Kumbuka LIFE IS A FULL OF IF
Jamani kwa nini mnaumiza vichwa na kupigizana kelele na watu ambao kwa namna moja au nyingine wanausika na hao watuhumiwa wa ufisadi??
Mimi niwaambie kitu kimoja.. hao wote wanaong'ang'ania kutumia voda ni mafisadi kwa namna moja au nyingine.. Kwa nini nasema hivi...
Hebu ajitokeze mtu mwenye ushahidi hapa Jf kama kuna kampuni yoyote ya simu yenye viwango vilivyo juu kama VODACOM, utume msg utakatwa pesa nyingi upige simu utakatwa pesa nyingi yaani ni kufilisiana kwa kwenda mbele hakuna kingine zaidi ya kuchuma pesa ya mvuja jasho kiulainii alafu mnaenda kudanganya walalahoi kwa udhamini wenu feki ambao hata pesa ya kumsajili kaseja imepita huo udhamini wenu si aibu hiyo??
Naungana na mkuu LUNYUNGU kuwasihi woote mnaotumia VODA ni vyema mkaachana na hiyo kampuni maana ni wanyonyaji wakubwa..... lasivyo tutabakia kusema kama ningejua ningesikiliza ushauri wana wana JF ....
Kumbuka LIFE IS A FULL OF IF