Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,555
- 113,739
Wanabodi,
Mkuu wa wilaya ya Liwale, Paul Chiwile amefariki usiku wa kuamkia leo katika nyumba ya kulala wageni ya Vission aliyofikia mjini Lindi.
Mkuu huyo wa wilaya alikuwa Lindi kuhudhuria mkutano uliokuwa unatarajiwa kuanza leo wa utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa magonjwa yasiyokuwa na kipaumbele.
Kwa mujibu wa Radio One mwili wa marehemu upo katika hospitali ya mkoa ya Sokoine ukisubiri kufanyiwa uchunguzi.
Imefahamika kwamba atazikwa kwao Kibaha.
RIP DC Paul Chiwile!.
Mkuu wa wilaya ya Liwale, Paul Chiwile amefariki usiku wa kuamkia leo katika nyumba ya kulala wageni ya Vission aliyofikia mjini Lindi.
Mkuu huyo wa wilaya alikuwa Lindi kuhudhuria mkutano uliokuwa unatarajiwa kuanza leo wa utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa magonjwa yasiyokuwa na kipaumbele.
Kwa mujibu wa Radio One mwili wa marehemu upo katika hospitali ya mkoa ya Sokoine ukisubiri kufanyiwa uchunguzi.
Imefahamika kwamba atazikwa kwao Kibaha.
RIP DC Paul Chiwile!.