mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 185
Serikali ya JK/CCM bana, juzi tu hapa waziri kalizwa na mudada guest house, leo mkuu wa wilaya anafia kifuani mwa mudada guest house.
Sasa ndugu wananchi maendeleo yatatoka wapi wakati serikali nzima inawaza "hii kitu hii"?!
Nchi haina umeme, maji, barabara, reli, viwanda, shule, vyuo, hospitali za uhakika; tuliowaamini watuongoze wao wanatongoza tuuuuu!
Poleni mliofiwa..
Sasa ndugu wananchi maendeleo yatatoka wapi wakati serikali nzima inawaza "hii kitu hii"?!
Nchi haina umeme, maji, barabara, reli, viwanda, shule, vyuo, hospitali za uhakika; tuliowaamini watuongoze wao wanatongoza tuuuuu!
Poleni mliofiwa..