Amefariki baada ya kukutwa amekufa?
Ela za rushwa ndo zawafanya wawe wanakula mizigo isiyolika!
RIP
Wanabodi,
Hii nimetumiwa kwa SMS kutoa mkoa, fulani, kuwa kuna mkuu wa wilaya fulani, kafia Gest House fulani Vision iliyopo mkoa fulani. Hivi ninavyo post sasa, RC wa mkoa huo, akiandamama na RPC, RCO, OCD, na DCO NA kikundi cha askari na makachero, wameizunguka hoteli hiyo ili kuvunja mlango kuthibitisha tukio hilo!.
Jina la Mkoa, na Mkuu wa wilaya hiyo nimelihifadhi ili kusubiri uthibitisho.
Lengo la kuposti mapema ni kuhakikisha wewe kama mwana jf, "be the first to know".
Pasco.
mi natamani wafie chooni kabisa.