Ukitaka uelewe vizuri siku moja wewe uwe DC nami niwe OCD alafu fanya alivyofanya huyo jamaa uone mamlaka yako yanapoishia. DC hawezi kuwa OCD lakini OCD anaweza kuwa DC, huo ndio ukweliMkuu hicho kitu ulikisoma wapi? Don't talk amateurish
Ukitaka uelewe vizuri siku moja wewe uwe DC nami niwe OCD alafu fanya alivyofanya huyo jamaa uone mamlaka yako yanapoishia. DC hawezi kuwa OCD lakini OCD anaweza kuwa DC, huo ndio ukweliMkuu hicho kitu ulikisoma wapi? Don't talk amateurish
Hao vilaza tu hawajui hata maandiko ya katiba wanabisha vitu havina fact.subiri JWTZ waje hapa
Ushabiki gani mkuu huoni huyo mkuu wa wilaya ni kilaza.Mkuu unaongea kishabiki au maana unachekesha?
IDARA?kwa kukusaidia tu,POLISI,MAGEREZA NI MAJESHI ILA UHAMIAJI NDO IDARApolisi sio jeshi,polisi ni idara
Ukigoogle maana ya soldier utaambiwa kwa tafsiri ya Kichina, kimarekani, kikorea n.k. kwa tafsiri ya kitanzania Katiba ipo wazi. Zipo nchi ambazo zina Police Services ambazo kwao Polisi ni huduma na sio Jeshi lakini kwetu tuna Police Force. Jitahidi kuuzoeza ubongo wako kukubali hata usichokipenda.Jaribu ku google maana ya soldier
Order ya DC sio direct order. Kwa bahati mbaya hujui maana ya amri na maelekezo. Mkuu wa Wilaya hawezi kuliamuru Jeshi la Polisi kwa kuwa hana rank ya kufanya hilo bali anachoweza kufanya ni kuelekeza ili wenye amri wakikubaliana nae waitoe. Hapo ndio mtajua kwa nini upolisi nao ni taaluma ambayo asiyokuwa nayo hawezi kuielewaMbna umewahi kuwekwa ndanj kwa order ya DC....je hiyo sio direct order? Mkuu sometimes kitu kama hukijui jaribu kunyamaza.
Usipende hisia zikuendeshe.
Soldier ni neno la kingereza kaka lakini pia maana yake polisi hawamoUkigoogle maana ya soldier utaambiwa kwa tafsiri ya Kichina, kimarekani, kikorea n.k. kwa tafsiri ya kitanzania Katiba ipo wazi. Zipo nchi ambazo zina Police Services ambazo kwao Polisi ni huduma na sio Jeshi lakini kwetu tuna Police Force. Jitahidi kuuzoeza ubongo wako kukubali hata usichokipenda.
Unajichanganya labda uje siku moja kituoni uone watu wanapofanya kazi ya kubaini uhalifu, wakakamata na kuanza upelelezi alafu aje mtu aanze kugawa vielelezo atakachofanywa. Nashukuru ustaarabu wa OCD kuzinyang'anya mbolea hizo kwa wananchi maana mwingine Mheshimiwa Rais angesikia DC yupo mahabusuSoldier ni neno la kingereza kaka lakini pia maana yake polisi hawamo
Order ya DC sio direct order. Kwa bahati mbaya hujui maana ya amri na maelekezo. Mkuu wa Wilaya hawezi kuliamuru Jeshi la Polisi kwa kuwa hana rank ya kufanya hilo bali anachoweza kufanya ni kuelekeza ili wenye amri wakikubaliana nae waitoe. Hapo ndio mtajua kwa nini upolisi nao ni taaluma ambayo asiyokuwa nayo hawezi kuielewa
Acha kuongelea ushabiki DC hana mamlaka ya kugawa Mali ikiyokamatwa na wakati watu waliokamatwa wanashikiliwa na polisi anatakiwa asilikilize ushauri kutoka kamati yake ya ulinzi na usalama na ushauri kutoka mamlaka ya juu je aliyafanya hayo?Hapo Polisi wana kosa la nidhamu na wanapaswa kuwajibishwa, Mkuu wa Wilaya ni sawa na raisi katika Wilaya, maamuzi yake OCD hapaswi kuyapinga hata kama kakosea. Huyo ni boss wake na anapaswa kutii pasipo kuhoji. OCD ni Mwakilishi wa IGP na DC ni Rais.
Kaka usiongee kwa jazba kiswahili hakipo sawa soldier haima maana ya polisi soldier ni sehemu ya armed forces ambapo polosi sio armed forcesUnajichanganya labda uje siku moja kituoni uone watu wanapofanya kazi ya kubaini uhalifu, wakakamata na kuanza upelelezi alafu aje mtu aanze kugawa vielelezo atakachofanywa. Nashukuru ustaarabu wa OCD kuzinyang'anya mbolea hizo kwa wananchi maana mwingine Mheshimiwa Rais angesikia DC yupo mahabusu
Uanajeshi na uaskari kiingereza tafadhaliKaka usiongee kwa jazba kiswahili hakipo sawa soldier haima maana ya polisi soldier ni sehemu ya armed forces ambapo polosi sio armed forces
Polisi kwa kingereza anaitwa policeman mwanajeshi ni soldier katika kingereza military ambayo ndio jeshi ni tofauti kabisa na Police angalia ata katika dictionary police sio sehemu ya military ila soldier anatoka katika militaryUanajeshi na uaskari kiingereza tafadhali
Bahati mbaya uaskari sio uniform, uanajeshi either wa JW au Police ndio unaoonekana. Kiingereza Jeshi linaitwa Force, soldier kwa kiswahili ni askari. Sasa kwako wewe unaamini Polisi sio askari?Polisi kwa kingereza anaitwa policeman mwanajeshi ni soldier katika kingereza military ambayo ndio jeshi ni tofauti kabisa na Police angalia ata katika dictionary police sio sehemu ya military ila soldier anatoka katika military
Ha ha ha ha ha soma katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wewe!! Unatia aibu!polisi sio jeshi,polisi ni idara
Kama sio Jeshi ni nini na unapata wapi authority ya kusema sio Jeshi? Katiba kipengele gani kinasema polisi sio Jeshi?Nanikakudanganya polisi ni jenshi??? Rufi shule wewe ungekuwa unawaonawakati wakumuapisha Rais
Busara na sheria vitu viwili tofauti. Nimeangalia video nimesikitishwa na uelewa mdogo wa DC uliopelekea OCD ampige mabomu yeye na watu wake. Hivi hujiongezi tu kuona Polisi wanalinda vielelezo kwa nguvu hizo? Kazi ya Polisi haiwezi kukwamishwa na umaarufu wa kisiasa mwisho wa siku OCD angeharibu kesi angewajibika peke yake. Kuna tofauti gani ya wezi waliokamatwa na mali na Mkuu wa Wilaya aliyeiba kielelezo???? Eti twende ofisini, akaambiwa tunakwenda lakini hakuna mbolea kutoka hapa!!! Hajiongezi tu bado anataka sifa tu????Kuna kesi miaka ya nyuma ilitokea kuhusu wizi wa mbolea,watu walibomoa ghara la mbolea na kuiba,wakaenda kuweka hiyo mbolea kwenye mashamba yao,baadae upelelezi ukafanyika na wakagundulika na kukamatwa woote na kutiwa ndani, baadae mwl nyerere akawa ziarani hilo eneo,akaisikia hiyo hbr,alichokifanya ni kuamuru watolewa ndani hao wezi mala moja,na mabwana shamba waliokuwa wakihusika na kugawa hiyo mbolea woote akaamuru watiwe ndani kw kuchelewesha kuigawa hiyo mbolea wkt wakulima wanaihitaji,
Nyerere hakuwa DC, alikuwa Rais!!! Mwenye nguvu za kusamehe hata wafungwaKuna kesi miaka ya nyuma ilitokea kuhusu wizi wa mbolea,watu walibomoa ghara la mbolea na kuiba,wakaenda kuweka hiyo mbolea kwenye mashamba yao,baadae upelelezi ukafanyika na wakagundulika na kukamatwa woote na kutiwa ndani, baadae mwl nyerere akawa ziarani hilo eneo,akaisikia hiyo hbr,alichokifanya ni kuamuru watolewa ndani hao wezi mala moja,na mabwana shamba waliokuwa wakihusika na kugawa hiyo mbolea woote akaamuru watiwe ndani kw kuchelewesha kuigawa hiyo mbolea wkt wakulima wanaihitaji,