Mkuu wa Wilaya Vs Kamanda wa Polisi

Mkuu wa Wilaya Vs Kamanda wa Polisi

Polisi siyo jeshi kama unavyoota ndoto,polisi ni raia kabisa kama raia wengne tofauti ni kwamba yeye anajua guu pande guu sawa ,

Polisi ni nanga tena wa demo ,mbona huyo mkuu wa wilaya hakumuita kamanda wa kikosi cha kambi ya jeshi hapo kwake atoe maelezo fooolish sana huyo mkuu wa wilaya na polisi wake
Amuite kwa lipi kamanda wa kikosi? Je anahusikaje kwenye issue za kikamata hiyo mbolea? Rudi shule
 
Labda uniambie ULINZI maana yake nini kwa tafsiri yako....tofautisha kusimamia na kutekeleza DC anamuamuru OCD na OCD anatii amri bila swali...issue ya kukusanya ushahidi na mwndelzo wa kesi watafanya wanaohusika...DC anaweza kutangaza hali ya hatari katika mamlaka yake...issue ya vita hata Kwa mujibu wa katiba ya nchi hii hata Rais peke yake hawezi kutangaza...vitu vingine siwezi kukujibu ni kama nakusaidia kufikiri its not fair..wilaya nyingi zina captain wa Jeshi la wananchi ambaye nae yupo chini ya Dc pia ....majanga yoyote yanayotokea ndani ya wilaya au matatizo ya kiulinzi DC anahusika moja kwa moja na maana yake ni kwamba anaviamuru vikosi husika kutatua tatizo
Naomba uelewe kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ipo kwenye Sheria ya Tamisemi ambayo Polisi wanaingia kama washauri kupitia Polisi Jamii na sio vinginevyo. Polisi hawatakiwi kupewa amri za moja kwa moja au maelekezo toka kwa viongozi wasio askari wa Polisi. JESHI LA POLISI LINAONGOZWA NA POLICE GENERAL ORDERS AMBAZO HAITOI MAMLAKA YEYOTE OVER POLISI KWA MWANASIASA YOYOTE ZAIDI YA AMIRI JESHI MKUU. Ukiona Polisi wanapokea maelekezo ya wanasiasa wanafanya hivyo kistaarabu tu.
 
Labda uniambie ULINZI maana yake nini kwa tafsiri yako....tofautisha kusimamia na kutekeleza DC anamuamuru OCD na OCD anatii amri bila swali...issue ya kukusanya ushahidi na mwndelzo wa kesi watafanya wanaohusika...DC anaweza kutangaza hali ya hatari katika mamlaka yake...issue ya vita hata Kwa mujibu wa katiba ya nchi hii hata Rais peke yake hawezi kutangaza...vitu vingine siwezi kukujibu ni kama nakusaidia kufikiri its not fair..wilaya nyingi zina captain wa Jeshi la wananchi ambaye nae yupo chini ya Dc pia ....majanga yoyote yanayotokea ndani ya wilaya au matatizo ya kiulinzi DC anahusika moja kwa moja na maana yake ni kwamba anaviamuru vikosi husika kutatua tatizo
Upelelezi ni pamoja na vielelezo. Aliyegawa vielelezo alitakiwa awe amekamatwa sasa hivi na anaandikwa maelezo chini ya usimamizi mkali sana
 
Stori ni hivi?
Baada ya jeshi la polisi kukamata mbolea ya ruzuku iliyokuwa inatoroshwa na wafanya biashara kwenda Malawi..Mkuu wa Wilaya akaamua kuzigawa kwa wananchi..
Kumbuka hyo mbolea ni kielelezo au ushahidi mahakamani unaohitajika kwenye kesi..Kikosi cha polisi kikatumwa kuzikamata tena hizo mbolea..Mkuu wa wilaya amekasirika ameamua kumuita kamanda wa polisi ofisini ajieleze..
Wajuzi hapa nani anakosa?
Bongo Radios – Applications Android sur Google Play
 
Upelelezi ni pamoja na vielelezo. Aliyegawa vielelezo alitakiwa awe amekamatwa sasa hivi na anaandikwa maelezo chini ya usimamizi mkali sana
Iwavyo na iwe DC ni boss kwa jeshi la polisi ngazi ya wilaya....jiulize ile amri ya kuweka kizuizini 24 hrs huwa upelelezi unafanyika au lah.....kwa kifupi tu hapo hamna kesi hakuna cha vielelezo wala nini? kama upo eneo la tukio fatilia mpaka mwisho .....PGO za jeshi la polisi ni za kizamani sana wakati ma dc kila siku wanapokea nyaraka za mabadiliko na ubosi...refence makonda akiwa DC na Mwenzake Happi sijui Hapy wanavyowakimbiza polisi na RPCs
 
Iwavyo na iwe DC ni boss kwa jeshi la polisi ngazi ya wilaya....jiulize ile amri ya kuweka kizuizini 24 hrs huwa upelelezi unafanyika au lah.....kwa kifupi tu hapo hamna kesi hakuna cha vielelezo wala nini? kama upo eneo la tukio fatilia mpaka mwisho .....PGO za jeshi la polisi ni za kizamani sana wakati ma dc kila siku wanapokea nyaraka za mabadiliko na ubosi...refence makonda akiwa DC na Mwenzake Happi sijui Hapy wanavyowakimbiza polisi na RPCs
Naomba nikueleweshe hili, DC sio bosi wa Jeshi la Polisi. Kwa mujibu wa taratibu za kijeshi, OCD ndio mkuu wa Jeshi kwa ngazi ya Wilaya na hana bosi. Nenda kawaulize wanaohusika. Sheria za kizuizini kwa saa 24 inatumika kwenye mazingira ambayo hakuna askari Polisi na inasema wazi kuwa awakabidhi Polisi ndani ya muda huo ili wafungue kosa la Jinai vinginevyo sio sheria ya kujiamuria hata DC akisikia demu wake anatembea na mtu amuweke kizuizini. Soma sheria hiyo, usiisikilize tu.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
Hapo Polisi wana kosa la nidhamu na wanapaswa kuwajibishwa, Mkuu wa Wilaya ni sawa na raisi katika Wilaya, maamuzi yake OCD hapaswi kuyapinga hata kama kakosea. Huyo ni boss wake na anapaswa kutii pasipo kuhoji. OCD ni Mwakilishi wa IGP na DC ni Rais.


!
!
Sio kweli aisee. DC sio kama raisi wilayani.
 
Naomba nikueleweshe hili, DC sio bosi wa Jeshi la Polisi. Kwa mujibu wa taratibu za kijeshi, OCD ndio mkuu wa Jeshi kwa ngazi ya Wilaya na hana bosi. Nenda kawaulize wanaohusika. Sheria za kizuizini kwa saa 24 inatumika kwenye mazingira ambayo hakuna askari Polisi na inasema wazi kuwa awakabidhi Polisi ndani ya muda huo ili wafungue kosa la Jinai vinginevyo sio sheria ya kujiamuria hata DC akisikia demu wake anatembea na mtu amuweke kizuizini. Soma sheria hiyo, usiisikilize tu.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
siwezi kusema sana.....unachokizungumzia hakipo ingawa kina fanana na ukweli mara ngapi? RCs na DCs kwenye vikao na mikutano wanawaamrisha polisi kukamata watu mbali mbali..walimu..maafisa na wengine wa serikali na wanatii.....kama wanavunja sheria kwa nini hawawajibishwi...mkuu wa wilaya anapokea taarifa za kiusalama kutoka kwa OCd ,pccb na dso ..huo utaratibu unaosema wewe haupo ...kama hakuna askri sasa huyo mtu ataweka kizuizini na nani? 24 hr haina kufunguliwa mashtaka ni amri ya dc au rc tu na hakuna atayehoji...that is why unasikia malalamiko kua hayo mamlaka wanyanganywe
 
siwezi kusema sana.....unachokizungumzia hakipo ingawa kina fanana na ukweli mara ngapi? RCs na DCs kwenye vikao na mikutano wanawaamrisha polisi kukamata watu mbali mbali..walimu..maafisa na wengine wa serikali na wanatii.....kama wanavunja sheria kwa nini hawawajibishwi...mkuu wa wilaya anapokea taarifa za kiusalama kutoka kwa OCd ,pccb na dso ..huo utaratibu unaosema wewe haupo ...kama hakuna askri sasa huyo mtu ataweka kizuizini na nani? 24 hr haina kufunguliwa mashtaka ni amri ya dc au rc tu na hakuna atayehoji...that is why unasikia malalamiko kua hayo mamlaka wanyanganywe
Ni ustaarabu tu wa Polisi hasa viongozi hao wanapotaka kuchukua kiki za kuonyesha nguvu zao, ila kisheria akikataliwa sio kosa.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
siwezi kusema sana.....unachokizungumzia hakipo ingawa kina fanana na ukweli mara ngapi? RCs na DCs kwenye vikao na mikutano wanawaamrisha polisi kukamata watu mbali mbali..walimu..maafisa na wengine wa serikali na wanatii.....kama wanavunja sheria kwa nini hawawajibishwi...mkuu wa wilaya anapokea taarifa za kiusalama kutoka kwa OCd ,pccb na dso ..huo utaratibu unaosema wewe haupo ...kama hakuna askri sasa huyo mtu ataweka kizuizini na nani? 24 hr haina kufunguliwa mashtaka ni amri ya dc au rc tu na hakuna atayehoji...that is why unasikia malalamiko kua hayo mamlaka wanyanganywe
DC anakamata mahali ambapo hakuna Polisi pale anapoona kosa la jinai, zipo taratibu za Serikali za vijiji za namna ya kukamata kwa kutumia Mgambo au Sungusungu ambao Ibara ya 28 ya Katiba imeweka wazi utaratibu wa Ulinzi na Usalama.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
DC anakamata mahali ambapo hakuna Polisi pale anapoona kosa la jinai, zipo taratibu za Serikali za vijiji za namna ya kukamata kwa kutumia Mgambo au Sungusungu ambao Ibara ya 28 ya Katiba imeweka wazi utaratibu wa Ulinzi na Usalama.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
Mkuu hapa ndio nasema DC anamamlaka juu ya OCD ....polisi wana utaratibu wa kutekeleza majukumu yao sasa swala la ustaarabu na utaratibu wa kisheria especially kwenye uhuru wa mtu linatokea wapi...why ocd ajipendekeze kwa dc....kuna nini? ...tusibishane sana kuna WPRPC na OCD mmoja mwaka jana walipanda vyeo kupitia RC na DC ...its not safe kuwataja ni wa mkoa gani na wilaya gani hapa ..lakini kwa sasa niseme huo utaratibu unaouelezea upo in papers kama zile posho 17 za askari police zilivyo kwenye PGOs lakini hawajawahi kuziona kwenye wallet
 
Mkuu hapa ndio nasema DC anamamlaka juu ya OCD ....polisi wana utaratibu wa kutekeleza majukumu yao sasa swala la ustaarabu na utaratibu wa kisheria especially kwenye uhuru wa mtu linatokea wapi...why ocd ajipendekeze kwa dc....kuna nini? ...tusibishane sana kuna WPRPC na OCD mmoja mwaka jana walipanda vyeo kupitia RC na DC ...its not safe kuwataja ni wa mkoa gani na wilaya gani hapa ..lakini kwa sasa niseme huo utaratibu unaouelezea upo in papers kama zile posho 17 za askari police zilivyo kwenye PGOs lakini hawajawahi kuziona kwenye wallet
Pengine onaongea usiyoyajua mengi, lakini kwa kuwa ni forum huru unaweza ukaweka hata fikra kuwa sheria. Nakukumbusha kilichotokea mgodini Geita na malalamiko ya Mbunge na kilichotokea. Polisi na uongozi wake una busara pia pamoja na sheria zilizopo. Ni kosa la jinai kuharibu kesi ambayo inapelelezwa na Polisi. DC alitakiwa awe ndani na kwa maoni haya ninayotoa nadhani wakuu wa Polisi wataona na wanaweza kuomba kibali kwa Mheshiwa Rais kumkamata DC huyo hata kesho kwa kuwa taaluma ya upelelezi haifananishwi na siasa hata siku moja.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
Pengine onaongea usiyoyajua mengi, lakini kwa kuwa ni forum huru unaweza ukaweka hata fikra kuwa sheria. Nakukumbusha kilichotokea mgodini Geita na malalamiko ya Mbunge na kilichotokea. Polisi na uongozi wake una busara pia pamoja na sheria zilizopo. Ni kosa la jinai kuharibu kesi ambayo inapelelezwa na Polisi. DC alitakiwa awe ndani na kwa maoni haya ninayotoa nadhani wakuu wa Polisi wataona na wanaweza kuomba kibali kwa Mheshiwa Rais kumkamata DC huyo hata kesho kwa kuwa taaluma ya upelelezi haifananishwi na siasa hata siku moja.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
Nadhani sasa kidogo tunaelewana....kiufupi huo mchakato wa kumuomba Rais kibali cha kumkamata DC ndio unafanya Dc kumzidi mamlaka ocd ..hapa ndipo kuna mkanganyiko wa zile taratibu zote ulizozitaja juu, ni sheria zisizotekelezeka ni kama hazipo.
 
Nadhani sasa kidogo tunaelewana....kiufupi huo mchakato wa kumuomba Rais kibali cha kumkamata DC ndio unafanya Dc kumzidi mamlaka ocd ..hapa ndipo kuna mkanganyiko wa zile taratibu zote ulizozitaja juu, ni sheria zisizotekelezeka ni kama hazipo.
Kwani DC anaweza kumkamata OCD bila kibali cha IGP hata kama akikosea? Au unadhani DC anaweza kumhamisha au kumfukuza kazi OCD au hata Konstebo wa Polisi? Ni ustaarabu wa watanzania tu.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
Kwani DC anaweza kumkamata OCD bila kibali cha IGP hata kama akikosea? Au unadhani DC anaweza kumhamisha au kumfukuza kazi OCD au hata Konstebo wa Polisi? Ni ustaarabu wa watanzania tu.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
Rais ni boss wa IGP so kiuhalisia anaweza kumkamata kupitia kwa Rais moja kwa moja....mf.wale waliopanda vyeo walipitia kwa waziri mkuu
 
Rais ni boss wa IGP so kiuhalisia anaweza kumkamata kupitia kwa Rais moja kwa moja....mf.wale waliopanda vyeo walipitia kwa waziri mkuu
Usiongee kupanda vyeo ambavyo mchakato wake wa mapendekezo DC na RC hawahusiki. Tunaongelea mamlaka ya kukamata ya DC au RC bila kulishawishi Jeshi jinai iliyotendwa. Kama ulijui Jeshi la Polisi hutalijua milele, pata faida yangu ili mbele ya safari msianzw kuita ma-OCD kuwa watovu wa nidhamu wakitekeleza majukumu yao. DC kwenye hilo ni Accessory After the fact anastahili kwenda mahakamani akiunganishwa na watuhumiwa wa awali.

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom