Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,744
- 3,174
Mi nilipenda sana kazi za ulinzi na usalamanyuzi hz za maajeshi unazipenda kwl kila uzi upo
Mi nilipenda sana kazi za ulinzi na usalamanyuzi hz za maajeshi unazipenda kwl kila uzi upo
Sana sana inatakiwa DC ajipime mwenyewe
Ni hawa wakuu wa wilaya waliopewa meno na baba yao ya kumweka mtu korokoroni hata masaa 48...??? Nafikiri alitaka kumweka OCD korokoroni alipokumbuka kwamba amegawa vielelezo vya kesi akaishia tu kupiga mkwara kwa kuwatetea WANYONGWE kwamba hii nchi ni nchi ya AMANI ni siyo nchi ya MABOMU OCD afike ofisini kwa mahojiano zaidi...Stori ni hivi?
Baada ya jeshi la polisi kukamata mbolea ya ruzuku iliyokuwa inatoroshwa na wafanya biashara kwenda Malawi..Mkuu wa Wilaya akaamua kuzigawa kwa wananchi..
Kumbuka hyo mbolea ni kielelezo au ushahidi mahakamani unaohitajika kwenye kesi..Kikosi cha polisi kikatumwa kuzikamata tena hizo mbolea..Mkuu wa wilaya amekasirika ameamua kumuita kamanda wa polisi ofisini ajieleze..
Wajuzi hapa nani anakosa?
Wewe mshamba mkuu ila samahan kwa status niliyokupa! [emoji1] [emoji1]polisi sio jeshi,polisi ni idara
Kuwa Mwakilishi wa Rais hakumpi Absolutism kufikia kuharibu kesi! Pale yeyote anapovunja Sheria kwa Makusudi na HANA IMMUNITY AGAINST CRIMINAL CHARGES, lazima Dola imchukulie hatua!Hapo Polisi wana kosa la nidhamu na wanapaswa kuwajibishwa, Mkuu wa Wilaya ni sawa na raisi katika Wilaya, maamuzi yake OCD hapaswi kuyapinga hata kama kakosea. Huyo ni boss wake na anapaswa kutii pasipo kuhoji. OCD ni Mwakilishi wa IGP na DC ni Rais.
Duh mkuu wenzio foolish lakinPolisi siyo jeshi kama unavyoota ndoto,polisi ni raia kabisa kama raia wengne tofauti ni kwamba yeye anajua guu pande guu sawa ,
Polisi ni nanga tena wa demo ,mbona huyo mkuu wa wilaya hakumuita kamanda wa kikosi cha kambi ya jeshi hapo kwake atoe maelezo fooolish sana huyo mkuu wa wilaya na polisi wake
Asant kwa elimuNaomba uelewe kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ipo kwenye Sheria ya Tamisemi ambayo Polisi wanaingia kama washauri kupitia Polisi Jamii na sio vinginevyo. Polisi hawatakiwi kupewa amri za moja kwa moja au maelekezo toka kwa viongozi wasio askari wa Polisi. JESHI LA POLISI LINAONGOZWA NA POLICE GENERAL ORDERS AMBAZO HAITOI MAMLAKA YEYOTE OVER POLISI KWA MWANASIASA YOYOTE ZAIDI YA AMIRI JESHI MKUU. Ukiona Polisi wanapokea maelekezo ya wanasiasa wanafanya hivyo kistaarabu tu.
Haitatokea!!! Tena alitakiwa apate adhabu kubwaMkuu wa wilaya ndiye amirijeshi wa majeshi yote hapo wilayani,
askari kaonyesha utomvu wa nidhamu,
inabidi ahamishwe tu
Hebu tupe mfano mmoja na unalosema...undoa lesions binafsi / madaiKuwa Mwakilishi wa Rais hakumpi Absolutism kufikia kuharibu kesi! Pale yeyote anapovunja Sheria kwa Makusudi na HANA IMMUNITY AGAINST CRIMINAL CHARGES, lazima Dola imchukulie hatua!
hapana,polisi sio jeshi,polisi ni idara
hata mimi nakuunga mkono ingawa sihami chama haa ahaaaaaa....Hapo Polisi wana kosa la nidhamu na wanapaswa kuwajibishwa, Mkuu wa Wilaya ni sawa na raisi katika Wilaya, maamuzi yake OCD hapaswi kuyapinga hata kama kakosea. Huyo ni boss wake na anapaswa kutii pasipo kuhoji. OCD ni Mwakilishi wa IGP na DC ni Rais.
Fuatilia sana elimu za hao wanaodharau. Utapata shida hata kumlaumu. Cha msingi ni kumsamehe na kumuonea huruma!!!!hapana,
Polisi sio idara kwa muktadha huu,
Idara~Department
TPDF ~Tanzania People Defence Force
PT ~ Police Force Tanzania
Sasa apo unaanzaje kusema Polisi ni idara?? polisi sio idara labda uje unambie kitu kingine, aseee unadharau kinoma kwa jeshi letu linalotulinda aseee!!
Acha walinde mali zetu kwa amani!!
Ni kosa la jinai kuzuia utendaji wa maofisa wa Polisi, na pia ni kosa la jinai kuficha au kuharibu kielelezo cha kesi iliyopo mikononi mwa Polisi. Labda kuna jambo watu hawalioni hapo linaitwa contamination of evidence.Hebu tupe mfano mmoja na unalosema...undoa lesions binafsi / madai
Mkuu unajua ni nini,Fuatilia sana elimu za hao wanaodharau. Utapata shida hata kumlaumu. Cha msingi ni kumsamehe na kumuonea huruma!!!!
We ni mvivu sana kusoma ,,Polisi siyo jeshi kama unavyoota ndoto,polisi ni raia kabisa kama raia wengne tofauti ni kwamba yeye anajua guu pande guu sawa ,
Polisi ni nanga tena wa demo ,mbona huyo mkuu wa wilaya hakumuita kamanda wa kikosi cha kambi ya jeshi hapo kwake atoe maelezo fooolish sana huyo mkuu wa wilaya na polisi wake