Mkuu wa Wilaya Kinondon ruhusun mchanga utoke Mto Kawe. Vinginevyo tujiandae na rambirambi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,153
Mkuu wangu kwanza nakupongeza kwa unavyokuwa karibu na watu wako

Pili nisisahau niombe tu najua umefika Mto Kawe maeneo ya makazi mapya umeona yale mateso ya Watuu na maafa yake

Mkuu wangu wa wilaya mchanga umejaa maji yanasimama yanasomba nyumba za watu

Maji yanahitaji njia, tukuombe watu wa kawe na makazi mapyaa najua kuna matatizo ya kutoa kibali kutoa ule mchanga sijajua shida na hii n kabla ya mvua

Niseme tu kabla ya.maafa uliyoyaona leo yalitokea maafa makubwa 2017

yalipotokea ndipo ikaletwa greda mchanga ukatokaa ukifwatana na pole na rambirambi

Tulisema huu mchanga mtaujutia mvua ikishuka ya maana

Nimeona watu wamekufa nyumba zimebomoka zimeshuka mtoni

Mkuu tunaomba wekeni pemben tofauti zenu tuletee gredaaa watoee ule mchanga

Hata mkipeleka kwa yatima ama sehemu ya huduma za.jamii vyema tu tunaomba msaada mtutolee ule mchanga n shidaa
Itakujaaleta maafa na kuanza kufululiza

Poleni
poleni
Poleni

Tusisubiri vifo tuanze kutuma rabbi rambi tusaidie wananchi kwanza mengineyoo yawebaadae

Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie.
 
Pdidy na GENTAMYCINE poleni sana kwa masaibu ya Mvua huko Kawe lkn hongereni sana kwa kuisemea KAWE kila mara. Naaamini sauti zenu zimetatua kero nyingi za Wananchi wa KAWE kupitia jukwaa hili na mengineyo.
Nadhani mnatuonyesha njia wengine tufanye kazi ya kujitanabaisha maeneo yetu na kerro za mtaani kwetu.
Kila lakheri.
 
Pdidy na GENTAMYCINE poleni sana kwa masaibu ya Mvua huko Kawe lkn hongereni sana kwa kuisemea KAWE kila mara. Naaamini sauti zenu zimetatua kero nyingi za Wananchi wa KAWE kupitia jukwaa hili na mengineyo.
Nadhani mnatuonyesha njia wengine tufanye kazi ya kujitanabaisha maeneo yetu na kerro za mtaani kwetu.
Kila lakheri.
Nakaribia kuihama mazima Kawe na sasa nitaanza kuwa naisemea zaidi Mapinga ya Kiaraka kunako Makazi mapya huku nikiwa nimezungukwa na Makazi ya Makonandoo wa JWTZ pamoja na Chuo chao ambacho hakiko mbali sana na ninakohamia.

Nimeshaipigania Kawe vya kutosha na sasa nawaachia Wengine nao waipiganie kwa nguvu zote kama ambavyo nilikuwa nikifanya japo wako Wapuuzi ( Matomaso ) waliokuwa wakinichukia na kutopenda Kuizungumzia Kawe na Kero zake ili zipatiwe Ufumbuzi.
 
Hayo maeneo sio kwamba watu wamejenga nyumba juu ya mkondo wa maji?

Kama ni ndio basi suluhiso la kudumu sio kuishia kutoa mchanga pekee bali kujenga mfereji mpana uwe kama artificial river uweze kubeba maji yote ya mvua na kuyaelekeza baharini...
 
Back
Top Bottom