Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,210
- 56,798
Imagine jamaa kaishia shule ya msingi tu,ila ana maakili ya kutafuta pesa na ushawishi. Kutoka kuuza Hot dog hadi kuwa karibu na Putin ,kuanzisha Wagner hadi kutawala Africa .Na jamaa inaonekana hapangiwi kitu hata akitaka kuvaa pensi na kutinga clemlin hakuna wa kumzuia..,hivi ndivyo alivyolipuka pamba wakati wa mkutano wa wawakilishi wa Africa mbele ya rais Putin View attachment 2701219