witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,100
Wembe huu naoujua mimi?Msihangaike mkadhani kwamba kuna jipya la hasha, CCM ndo yenye kuunda Serikali na Mama Samia na Mpango wanatekeleza ilani ya CCM na msidhani kwamba watawatendea mabaya wateule wa Magufuli waliopa madarakani bali wembe ni ule ule