Elias Manyasi
Member
- Mar 19, 2015
- 9
- 18
Yajayo yanafurahisha! Wanajisogeza taratibu kuendana na upepo!
Pasi na shakaBado haijafahamika kisa cha Mh Chalamila kuanza kujieleza kwa kiwango kikubwa kiasi hiki , huku akiwa hajaulizwa na mtu yeyote .
Je anasukumwa na hofu ya upepo mpya unaovuma ?
Yule wa Hai sijui sabaya jina lake silijui vizuriHeri James tayari
Albert chalamila tayari
Who's next ?
Kwasababu wamepatwa na TASHWISHWI! kujikuta Enzi wasiyoitarajiaSijui kwanini watu wanapagawa!
Na viatu.Huyu jama fix sana, eti aliongea na Rais Magufuli akamwambia yupo imara na anachapa kazi two days before utangazwe msiba wake.
Kweli duniani kuna watu..........