Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Niende kwenye hoja Moja Kwa moja.
Hii stend itakuja kusababisha mauaji na viongoz kuanza kujitetea kwa kuleta sababu na matetezi.
Hizi ngaz kiunganishi cha vituo viwili vya daladala. Watakuja kufa watu. Mungu aepushie mbali. Mh charamila mkuu wetu wa DSM una viongozi wasiojali utu wa watu.
Kwa hakika ni suala la utambuzi tu. Lawama zielekee kwa.
1. Afisa mipango wa manispaa ya Ubungo.
2. Afsa usalama wa ukanda huu.
3. Mkuu wa wilaya hii.
Yaani Mh mkuu wa mkoa Hawa watu wanakutia aibu.
Kero zilizopo hapa ni
1. Kuzuia njia, hapa wamejaa wachuuzi... No sawa wanafanya jambo zuri tuu kutafuta riziki.. lkn sio kwa mpangilio.
2. Kuna msongamano sio mkubwa TU it's a huge group. Wamo wagonjwa, wajawazito, watoto wadogo, wazee lkn ghafla wakitokea watu wajiji wanapowafurumusha wachuuzi ni kuangshana na kuswagga meno. Hii haikubaliki hata kidg na si ustaarabu.
3. Yapo makundi makubwa yenye madhumuni tofauti hutumia ngazi zile. Wapo wanaokwenda kupanda daladala TU, na wapo wanaouza, wapo wanaonunua TU. Ni kero kubwa sana hapa. Na Kwa watu walioshuhudia DSM ya miaka ya enz hizo, ni zaidi ya mtaa wa Kongo.
Ushauri kwa
1. Viongozi angalieni hili. Anzisheni ngazi zingine hata zikiwa tatu kwa ujumla. Wekeni permanent security kwa mf askari.
2. Watuamiaji kama hununui kitu epuka kutumia ngaz zile. Utaumizwa.
Manispaa. Kitengo cha ustawi wa jamii ubungo manispaa wale wenzetu wenye mahitaji maalum (ulemavu) wasaidieni watoke pale. Wataumizwa wapate ulemavu mengine.
Wasomi na wanajamii wasamalia wema. Mnapoanzisha foundation hembu hapa naona kuna gape. Hawa wanatakiwa wapate misaada.
Mwisho anzisheni malipo ya kupita kule japo 200 Ili kupunguza wapitaji wasio na ulazima. Na Ndg Mkuu wa mkoa wa DSM hapa mbezi Luis stend ya daladala stend za kupanda na kushuka. Haya ndiyo yatakayokutia doa
Ni maoni yangu kama mwananchi
Hii stend itakuja kusababisha mauaji na viongoz kuanza kujitetea kwa kuleta sababu na matetezi.
Hizi ngaz kiunganishi cha vituo viwili vya daladala. Watakuja kufa watu. Mungu aepushie mbali. Mh charamila mkuu wetu wa DSM una viongozi wasiojali utu wa watu.
Kwa hakika ni suala la utambuzi tu. Lawama zielekee kwa.
1. Afisa mipango wa manispaa ya Ubungo.
2. Afsa usalama wa ukanda huu.
3. Mkuu wa wilaya hii.
Yaani Mh mkuu wa mkoa Hawa watu wanakutia aibu.
Kero zilizopo hapa ni
1. Kuzuia njia, hapa wamejaa wachuuzi... No sawa wanafanya jambo zuri tuu kutafuta riziki.. lkn sio kwa mpangilio.
2. Kuna msongamano sio mkubwa TU it's a huge group. Wamo wagonjwa, wajawazito, watoto wadogo, wazee lkn ghafla wakitokea watu wajiji wanapowafurumusha wachuuzi ni kuangshana na kuswagga meno. Hii haikubaliki hata kidg na si ustaarabu.
3. Yapo makundi makubwa yenye madhumuni tofauti hutumia ngazi zile. Wapo wanaokwenda kupanda daladala TU, na wapo wanaouza, wapo wanaonunua TU. Ni kero kubwa sana hapa. Na Kwa watu walioshuhudia DSM ya miaka ya enz hizo, ni zaidi ya mtaa wa Kongo.
Ushauri kwa
1. Viongozi angalieni hili. Anzisheni ngazi zingine hata zikiwa tatu kwa ujumla. Wekeni permanent security kwa mf askari.
2. Watuamiaji kama hununui kitu epuka kutumia ngaz zile. Utaumizwa.
Manispaa. Kitengo cha ustawi wa jamii ubungo manispaa wale wenzetu wenye mahitaji maalum (ulemavu) wasaidieni watoke pale. Wataumizwa wapate ulemavu mengine.
Wasomi na wanajamii wasamalia wema. Mnapoanzisha foundation hembu hapa naona kuna gape. Hawa wanatakiwa wapate misaada.
Mwisho anzisheni malipo ya kupita kule japo 200 Ili kupunguza wapitaji wasio na ulazima. Na Ndg Mkuu wa mkoa wa DSM hapa mbezi Luis stend ya daladala stend za kupanda na kushuka. Haya ndiyo yatakayokutia doa
Ni maoni yangu kama mwananchi