Kwa hili Jamaa yuko Sahhi Kabisaaa...Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
au ulimtafutia nanihii au nanihii wako alikuwa nanihii wake wakati fulani hadi ulipwe fadhila?kwani wewe ni ndugu yake au rafiki wa mtoto wake??
Huyu bila shaka atakuwa ni mfuasi wa Alshababy, mbona ana vitisho sana? Anazani hizi ni enzi za serkali kushika hatamu? Huyu dreva maroli hatumuelewi kabisa.
Huyu bila shaka atakuwa ni mfuasi wa Alshababy, mbona ana vitisho sana? Anazani hizi ni enzi za serkali kushika hatamu? Huyu dreva maroli hatumuelewi kabisa.
maskini ccm imekufa hapa arusha mapema kabla hatujatumia makombora yetu yale makubwa kabisa.
I don't know kwanini mkoa makini kama huu umepata bahati mbaya ya kumpata mkuu wa mkoa kama huyu...Mr President should think twice and replace him immediate.