Mkuu wa Mkoa Arusha aropoka mei mosi

Mkuu wa Mkoa Arusha aropoka mei mosi

Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Na umakini wenu wa kwanza uanze kwa kuiweka habari juu ya kitisho hicho cha RC kwenye front page ya magazeti yenu yote ya kesho
 
Huyu upumbavu ndiyo unamsumbua anahangaika kila kona hajui pa kukikimbilia.
 
I don't know kwanini mkoa makini kama huu umepata bahati mbaya ya kumpata mkuu wa mkoa kama huyu...Mr President should think twice and replace him immediate.

hana hata uhusiano mzuri na magamba wenzake.Hii kauli ni mbaya kutolewa na kiongozi.
 
Kwani hamkurekodi jamani. Msiache kurekodi chochote kitakachosemwa na huyu Mkuu. Tuwekeeni clip hiyo plz
 
Du siamini kama ni kweli amethubutu kufunguka namna hiyo. Naona Mungu anazidi kuweka madudu ya watawala hadharani. Waandishi wahabari mmeambiwa sasa acheni kumuumbua muone mtakavyobaki bila kucha, meno, na macho. chezea usalama wa taifa wewe
 
Kama kweli ametamka hayo maneno basi hana budi kukamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kutishia kuua. Hayo maneno angeyasema Mheshimiwa Lema saa hizi wangekuwa wanaizingira nyumba yake tayari kwa kumkamata!!
 
namuhurumia jana alikwenda kula pale 'makaburini' akazomewa...
 
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi [/QUOTE]

Kumbe Mkuu martin jr na wewe ulikuwepo!

Aisee...Nilidhani ni peke yangu nimemsikia vibaya!...Huyu jamaa analazimisha watu wamfanyie mambo yasiyofaa hapa Arusha!...Ni mambo gani hayo anayojua wanahabari watafanyiwa, au kutesa waandishi ni sera yao nini!
Magesa nakushauri unapokuwa kwenye Public pima maneno unayoongea, coz uongeaji wako sooner or later utakugharimu.
PJ,nadhani ni vema kama habari hii ikapewa kipaumbele katika vyombo vya habari hasa magazeti kesho. Na wahariri wasipolipa kipaumbele suala hili hakuna haja kuwatetea kwa nguvu yatakapowakuta kwani wao wanachangia kufichaficha haya maradhi kwa kujipendekeza
 
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi [/QUOTE]

Kumbe Mkuu martin jr na wewe ulikuwepo!

Aisee...Nilidhani ni peke yangu nimemsikia vibaya!...Huyu jamaa analazimisha watu wamfanyie mambo yasiyofaa hapa Arusha!...Ni mambo gani hayo anayojua wanahabari watafanyiwa, au kutesa waandishi ni sera yao nini!
Magesa nakushauri unapokuwa kwenye Public pima maneno unayoongea, coz uongeaji wako sooner or later utakugharimu.

Jameni hakuna wa kutuwekea hata clip ndogo tu! Wengine tuko makilomita .
 
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Aise huyu jamaa...Si ajifunze kwa viongozi wenzake hapohapo Arusha...Kuongea kistaarabu bila kuropoka kama alivyozungumza Nasari pale NMC..."tutaitenga kanda ya kaskazini raisi akija aje na passport" maneno ya kiungwana kabisa YAMEZUNGUMZWA na kiongozi...sio kuropoka...
 
Huyu mkuu wa mkoa wa Arusha kwa kweli ipo siku atakaa chini na kuanza kujuta kwa anachokifanya,ina maana yeye kila kitu anafanya basi anategemea madaraka??hayo madaraka hutokuwa nayo muda wote utakuwa peke yako siku ya siku utapewa mbata na watu wenye hasira kali mpaka ujute....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huyu R. C . sasa kafika mbali. Kwahiyo anatuambia kwamba TUTEGEMEE KUSIKIA VIFO/UTEKWAJI WAANDISHI WA HABARI ARUSHA na kwamba KIFO/UTEKWAJI wa mwandishi wa habari Arusha atakayeandika habari za serikali au zinazotofautiana/zinazoikosoa serikali basi yeye Mulongo(hb wa J. K) na Serikali yake watakuwa wanahusika.
Mulongo umenikumbusha yale yoote ya kina Dr. Ulimboka, Mwangosi, Kibanda na wengine wengi niamini kwamba Serikali ndiyo muhusika mkubwa ktk haya mambo ya mauaji na mateso kwa binadamu ambao ni raia wake wanaosema ukweli.
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA MJITAMBUE 'ROHO ZENU MMEWEKA REHANI' KTK KUANDIKA MASUALA YAIHUSUYO SERIKALI.
 
sasa mnapompa mpishi kuongoza mooa mnategemea nini

chake ni kibao na kisu tu jikoni... ameongeza saana kawasha moto na kuosha vyombo
 
Kinacho nifurahisha huyu jamaa anarahisisha kazi ya kuwatambua watesaji, wang'oa kucha na majambazi wa nchi hii.. hakuna nguvu kubwa kama kuwa na taarifa sahihi.
 
""waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi .

Kama ni kweli huyu mteule kaitoa kauli hiyo basi kwa wenye akili zetu za utambuzi wa mambo ya sirini, na tunaoweza kusoma ktk ya mistari (reading btn the lines) na pia kuziunganisha dot za nyuma, tunagundua kuwa; Mateso ya ndg zetu wawili Kibanda na Ulimboka asili yake ni ipi na ni nani aliyeko nyumba ya unyama huo.
 
Anataka kutuhakikishia kuwa mwangosi na kidanda serikali ilionyesha uwezo huo
 
Back
Top Bottom