Mkuu usilalamike, kwani haikuwa bahati mbaya kwa Magesa Mulongo kuwa Mkuu wa Arusha. Ni mpango wa Mungu kutuonyesha rangi halisi ya Serikali ya ccm.
CCM ni majangili, majambazi, wauaji na mafisadi
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums