Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums