Mzee
Platinum Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,867
Akaanze Lema kwanza.mimi naona akapimwe akili
Akaanze Lema kwanza.mimi naona akapimwe akili
Wanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha hawakukosea walipomzomea huyu jamaaKweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kaongea ukweli,Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi.
Akaanze Lema kwanza.
jamaa breakfast yake itakuwa ni kuberi
kwani wewe ni ndugu yake au rafiki wa mtoto wake??
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kuna tetesi kwamba RC wa Arusha anakula mchicha wa Arusha, vipi yawezekana ni kweli?
I don't know kwanini mkoa makini kama huu umepata bahati mbaya ya kumpata mkuu wa mkoa kama huyu...Mr President should think twice and replace him immediate.