Mkuu wa Mkoa Arusha aropoka mei mosi

Mkuu wa Mkoa Arusha aropoka mei mosi

Ina maana huyu jamaa bado tu hajafukuzwa kazi mpaka leo?! Ni hatari sana kuwa na viongozi wenye upeo mdogo namna hii.
 
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Mkuu martin jr weka ushahidi wa kutosha hapo kwenye red, vinginevyo unatuchochea wananchi tuichukie serikali bila sababu.
 
Last edited by a moderator:
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwa jinsi ambavyo huwa anapenda kutumia neno serikali, nina imani kabisa kuwa haelewi maana halisi ya neno serikali. Ni zuzu sana huyu wala hana mbele wala nyuma. Mwisho wake hauko mbali sana kisiasa.
 
Umri wake ndo shida hana hekima na busara za ki utu uzima
 
Baaaaaaaaasi kesi ishaisha, mana kwa aliyoyasema leo inadhihilisha na wanafunzi aliwasemea mbovu wakamtia. Waandishi kazi kwenu, kukubali bit au kufanya manbi kwa kadri taaluma inavyotaka utolewe meno na kucha kwa plaiz
 
Kwel jamaa anabit,ila usishangae kila siku anachezea makofi kutoka kwa mkewe...embu mjambisheni kama hatoki nduki.... Nadhani hiyo familia yake wanaishi kwa taabu sana, sidhani kama ana hata upendo kwa familia yake!
 
na bado ni mwanafunzi wa ESAMI Mkamateni huyo hivi anasoma course gani?
 
Ndo maana inatakiwa wateuliwa wote wafanyiwe interview!!!
 
Kwa kauli hii nachelea kusema Bwana Mulongo afikishwe kwenye vyombo vya Sheria kwani moja kwa moja ametishia uhai wa mwanadamu haswa alipohusisha roho za wanahabari.

Leo katika siku ya Mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wa habari wawe makini kuandika habari za Serikali vingenevyo wawe tayari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvu nyingi
 
I don't know kwanini mkoa makini kama huu umepata bahati mbaya ya kumpata mkuu wa mkoa kama huyu...Mr President should think twice and replace him immediate.

Hilo neno kumreplace ni rahisi mdomoni mwako, lkn as far as hatujui ni fadhila gani inalipwa kwa kile cheo kazi tunayo. Upo uwezekano ana siri fulani amemfichia na yeye kaamua kumtunuku kiti
 
Kweli sasa nimeanza kuamini huyu bwana ni mjinga kwani leo katika siku ya mei mosi Mkuu wa mkoa Arusha amesema waandishi wahabari wawe makini kuandika habari za serikali vingenevyo wawe tiyari kuweka roho zao rehani kwani serikali ina nguvuu nyingi [/QUOTE]

Kumbe Mkuu martin jr na wewe ulikuwepo!

Aisee...Nilidhani ni peke yangu nimemsikia vibaya!...Huyu jamaa analazimisha watu wamfanyie mambo yasiyofaa hapa Arusha!...Ni mambo gani hayo anayojua wanahabari watafanyiwa, au kutesa waandishi ni sera yao nini!
Magesa nakushauri unapokuwa kwenye Public pima maneno unayoongea, coz uongeaji wako sooner or later utakugharimu.

... Martin Jr asiwepo vipi sasa wakati ndo Rais wa jimbo mkuu? usiniambie hujui ID ya Mh. Lema (MB) JF
 
Jamani watanzania,wanajamii, tuna tatizo gani?tumerogwa? hivi kweli jamani mtu mwenye dhamana kama mkuu wa mkoa anatoa kauli ya kigaidi,ya ki halifu tena ya kihaini kama hiyo halafu watu tunachangia kiuwepesi kuwa 'hana akili' 'apewe mapumziko''...mjinga'!
Wazee hii kauli ni ya hatari kama ushahidi upo inatakiwa ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria na haki za uhuru wa habari.
Pia kama 'watadai' hakukusudia uhalifu watueleze alikuwa akimaanisha nini ?for the time being waandishi wa habari waweke kucha na meno yao mbali na mtu huyu!
 
Huyu anasumbuliwa na inferiority complex na hisia za umimi. Familia yake lazima inaishi kwa shida sana.
 
Ni mpango wa Mungu nami naamini kwani kupitia kwa Saul tutampta kiongozi mwenye hofu ya Mungu kama Daudi
 
Hahaahaaaa.....
Kwani aliwahi kuwa dereva wa malori!?
 
Mulongo Magesa nakushauri uombe uhamisho kwa JK haraka iwezekanavyo.

NB:
Nafurahi sana tunavyoizika ccm hapa arusha na kaburi ni ofisi ya mkuu huyu wa mkoa asiye na busara.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hilo sio jipya isiokuwa tuu kleo limesemwa na mjinga huyo.wapo wenye akili huko serikalini ambao pia wamewahi kusema hilo.
 
Back
Top Bottom