Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
vita dhidi ya ufisadi karibu inaishia tena kwa kushindwa vibaya. Kinachoendelea sasa ni vita ya Rostam v's Mwakyembe, Zitto v's Mwakyembe, Rostam v's Sitta, Zitto v's Chadema national leaders, CCM (mafisadi) v's CCM (maadili), Lipumba + Zitto v's Upinzani, Rostam + Manji + CCM (mafisadi) v's Mengi nk.
Kati ya hawa mafahari kuna wenye dola, wenye madaraka kisiasa, wenye mapesa, wenye vyombo vya habari ... almost all resources. Hivyo Mhe. Rais Kikwete hana pressure tena ya kuwashughulikia mafisadi, anatulia kimyaaa huku Watanzania tukiwa washangiliaji katika kushindwa. LOL!
Kati ya hawa mafahari kuna wenye dola, wenye madaraka kisiasa, wenye mapesa, wenye vyombo vya habari ... almost all resources. Hivyo Mhe. Rais Kikwete hana pressure tena ya kuwashughulikia mafisadi, anatulia kimyaaa huku Watanzania tukiwa washangiliaji katika kushindwa. LOL!