.......hivi JK mbona hazungumzii hii issue???
nashangaa sana tangu saga lianze yeye anajifanya kama ni raisi wa Malawi au nchi gani sijui....anajifanya hasikii kitu ina maana hajui linaloendelea?Hata mimi nimejiuliza hilo swali....na saa ingine huonekana kama vile tuna ma co-presidents!!
Ataunganisha na ya G20 ngoma juu kwa juu. Sisi ndio tutakao fill the blanks.........Ngoja arudi dar atatuambia ya london alipokuwa na Gordon.....
Ngoja arudi?????nashangaa sana tangu saga lianze yeye anajifanya kama ni raisi wa Malawi au nchi gani sijui....anajifanya hasikii kitu ina maana hajui linaloendelea?
......Ngoja arudi dar atatuambia ya london alipokuwa na Gordon.....
Ikiwa Lipumba yupo basi kuna muelekeo wa kufundishwa watu na sio mtu ,naona Mchumi wa kutegemewa duniani ameamua kuwaweka sawa mafisadi wajanja lazima atatoka na mahesabu ya kutegemewa ila watakaopoteza masilahi hawatakosa la kusema ,huyu jamaa namwaminia kabisa maana nilimuona akitoa mada kule ulaya mizungu yote inaandika notes kama haina akili vizuri ,na hawakuwa la kuuliza isipokuwa kumpongeza.
Of course, it doesn't make sense rais kuliongelea hilo jambo kwa wakati ambao hata haija-be-escallated kwa PPRA.
Jamani Mwakyembe ameongea yote nikamwelewa... lakini kuna moja sipendi kulisikia sana... watu wakikosea mambo yao ya kibiashara wana kawaida ya kututumia sisi wananchi kama ngao...
Ati mtu anasema kampuni ni la walala hoi kwa masilahi ya Taifa... well mimi nafahamu biashara yoyote ni kwa ajili ya kupata faida...
Mwakyembe alinikumbusha wakati mengi alipozidiwa kete na african media wale wa DTV kwenye world cup ya 1998... jamaa akasema ati anafanya kwa maslahi ya wananchi... ..nikasema du.... haya mzee... kwa sababu sisi wadanganyika tunakubali kila kitu!
Hata mimi nimejiuliza hilo swali....na saa ingine huonekana kama vile tuna ma co-presidents!!
Mwakyembe alinikumbusha wakati mengi alipozidiwa kete na african media wale wa DTV kwenye world cup ya 1998... jamaa akasema ati anafanya kwa maslahi ya wananchi... ..nikasema du.... haya mzee... kwa sababu sisi wadanganyika tunakubali kila kitu!
Tatizo ni kuwa hawa jamaa wana agenda nyingine kabisa!! Issue ni JK na "nasaba" zake, si utendaji wake!! Wasome vizuri utawaelewa siku moja......kaaazi kweli!!!
-TANESCO walishasema wamejitoa kwenye Dowans,
-Ngeleja alisema serikali haitanunua mitambo ya Dowans,bali wataagiza mingine ya MW 150,pia akasema ANAUFUNGA MJADALA WA DOWANS....
-Spika alisema TANESCO isije ikanunua mitambo ya Dowans,
-Thisday wameandika kuwa imeweka collateral,
-Kanuni za manunuzi ya umma haziruhusu ununuzi wa mitambo chakavu
-CHECHE imedokeza kuwa Portek haina hisa Dowans Tanzania Ltd
-TANESCO/Ngeleja wanasema hali ya maji ktk mabwawa unakozalishwa umeme.Hivyo udharura wa nchi kuingia gizani haupo.
Sasa sijui hawa wanataka kuzungumzia nini?Im confused!
Ikiwa Lipumba yupo basi kuna muelekeo wa kufundishwa watu na sio mtu ,naona Mchumi wa kutegemewa duniani ameamua kuwaweka sawa mafisadi wajanja lazima atatoka na mahesabu ya kutegemewa ila watakaopoteza masilahi hawatakosa la kusema ,huyu jamaa namwaminia kabisa maana nilimuona akitoa mada kule ulaya mizungu yote inaandika notes kama haina akili vizuri ,na hawakuwa la kuuliza isipokuwa kumpongeza.