Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Watakuja na kuhalalisha ununuzi wa mitambo; To me.. watakuwa mashujaa kama watataka serikali itaifishe mitambo hiyo.
Sisi mjumbe wetu atakuwa eneo la tukio tangia saa 2 asubuhi
Watakuja na kuhalalisha ununuzi wa mitambo; To me.. watakuwa mashujaa kama watataka serikali itaifishe mitambo hiyo.
Mzee Mwanakijiji,
Hivi huyu Zitto kaingia wazimu au kitu gani?..haya huo mkutano wao wa kesho nani analipa Posho!..
Mzee Mwanakijiji,
Hivi huyu Zitto kaingia wazimu au kitu gani?..haya huo mkutano wao wa kesho nani analipa Posho!..
nashangaa sana tangu saga lianze yeye anajifanya kama ni raisi wa Malawi au nchi gani sijui....anajifanya hasikii kitu ina maana hajui linaloendelea?
......Ngoja arudi dar atatuambia ya london alipokuwa na Gordon.....
edited by Mkandara...
Naogopa
Mkuu,if you can't fight them......Mzee Mwanakijiji,
Hivi huyu Zitto kaingia wazimu au kitu gani?..haya huo mkutano wao wa kesho nani analipa Posho!..
Mhmm pagumu hapoo!! hahahahaMkuu,if you can't fight them......