Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,324
- 62,216
We unataka vipi kulindwa na polisi mnaosema ndo watekaji mnataka wawepo ili wawateke au?Kwani jeshi la polisi linatakiwa kuwepo kwa kuaminiwa au kama wajibu?
We unataka vipi kulindwa na polisi mnaosema ndo watekaji mnataka wawepo ili wawateke au?Kwani jeshi la polisi linatakiwa kuwepo kwa kuaminiwa au kama wajibu?
Akishapatikana mmoja na kuuliwa mtatia akili. Na itabidi iwe hivyo maana nyinyi ccm hamna uwezo wa kushindana kwa hoja bila ya kufanya vurugu na kutumia taasisi ili mbaki mlipo.Hao nyumbu wakishaishiwa hoja hawachokagi kusababisha uzushi.
Ukistaajabu ya Mussa , hawa jamaa nao kuna angle huwa hawaeleweki wanataka niniJeshi la polisi si hamliamini mnataka liwepo eneo la tukio kwaajili ya nini?
Wazee wa reform ni wakuhurumiwa tu maana hawajui hata nini wanataka, na hii ndo faida ya kutumia hasira badala akili.Hapo polisi wangekuwepo alafu hizo vurugu zingetokea wangesema polisi ndo wameleta vurugu
Wapo kama wajibu maana wanalipwa mshahara ambayo ni kodi zetu kwa kazi hiyo. Hatuwezi kukaa kimya kwa wao kushiriki uhalifu, ili watupe ulinzi kama hisani.We unataka vipi kulindwa na polisi mnaosema ndo watekaji mnataka wawepo ili wawateke au?
poleni wanachadema fisiemu dawa imewaingia sana hawana hoja ya kujibu no reforms no electionCHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.
CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Mbona hata CHAUMA mliwafanyia vurugu mara!!? Au nyie mna haki zote!!Hawa CCM ni kuwapiga haswa
Unasema kama umeshindiliwa mpini huko matakoni! Hata kufahamu kuwa polisi ndiyo wamepewa kikatiba na kisheria kulinda wananchi hujui? Liambie Bunge litoe ruhusa watu kujilinda katika mikutano ya hadhara uone kama itashindikana!Ukistaajabu ya Mussa , hawa jamaa nao kuna angle huwa hawaeleweki wanataka nini
Na lile genge la machadema lililowashambulia CHAUMA kule mara ni la nani??CCM ni genge la wahuni wanaoamini katika matumizi ya mabavu na umwagaji damu kwa vile wanalindwa na polisi .
Nyie si mnawaita policcm!! Mkaenda mbali zaidi mkasema eti mnajilinda wenyewe!! Kiko wapi?Unasema kama umeshindiliwa mpini huko matakoni! Hata kufahamu kuwa polisi ndiyo wamepewa kikatiba na kisheria kulinda wananchi hujui? Liambie Bunge litoe ruhusa watu kujilinda katika mikutano ya hadhara uone kama itashindikana!
Hawana huo uwezo kisheriaHapana!..tueleze kwa nini chadema haiwezi kuwa na maofisa wa chama wanatangulia eneo la mkutano na kufanya surveillance ili kubaini watu wenye nia ya kuleta fujo? Kwa hiyo kwenu ni vzr zaidi kutoa taarifa za watu kuumizwa badala ya kutoa taarifa ya kudhibiti wafanya fujo..?
Yaani unaakili timamu unatumwa kwenda kuvuruga mkutano na wewe unaenda.Hakuna mtu anaweza kuanzisha tu vurugu bila kutumwa na mtuCHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.
CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Kuna greencard mmoja amevaa t shirt nyekundu nimeona amekula ngumi na teke hadi kapoteza uelekeo nyambafu!!CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.
CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
halafu mkifirwa muanze kuwasingizia polisi, mumewasha moto msituni subirini moto ukoleeAkishapatikana mmoja na kuuliwa mtatia akili. Na itabidi iwe hivyo maana nyinyi ccm hamna uwezo wa kushindana kwa hoja bila ya kufanya vurugu na kutumia taasisi ili mbaki mlipo.