Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,186
Na arekodiweKwann wasikamatwe hata wawili wafinywe waeleze aliyewatima
Na arekodiweKwann wasikamatwe hata wawili wafinywe waeleze aliyewatima
Yaani wawe na vijana walio fit kwa kutuliza wajinga. Wakipiga mawe kwa mbali wasijihusishe nao ila wakikaribia viongozi au ndani ya mkutano kuleta fujo wadhibitiwe kwa mujibu wa sheria za ubinadamuNaunga mkono hoja
Jamaa baada yakumpiga akajitikisa kama anamsubiria aje tena ampe ingine .😂😂😂 Jamaa baada yakupigwa fastta mkono mdomonAisee inachekesha lkn😂 kwenye hizo clip zilizotumwa Kuna jamaa hapo mwishoni kala ngumi yenye uzito
halafu mkifirwa muanze kuwasingizia polisi, mumewasha moto msituni subirini moto ukolee
Kuzuia mhalifu au tukio la uhalifu inahitaji ruhusa ya sheria? Ni Sheria ipi hiyo tufahamishe..Hawana huo uwezo kisheria
Wewe UMENENA! Tena masikini wapumbavu, wanadanganywa na ujinga Tu!Masikini wanauana kwa kutetea matajiri.
Subiri siku akichukuliwa ndugu yako ndio utajuaJeshi la polisi si hamliamini mnataka liwepo eneo la tukio kwaajili ya nini?
Kumekuchaaa.....NRNENchi imefika patamu sana
Basi matajiri ndio wauaji.....maana maskini hawana kawaida ya kuuana tena wanapendana.Wewe UMENENA! Tena masikini wapumbavu, wanadanganywa na ujinga Tu!
HahahahAisee inachekesha lkn😂 kwenye hizo clip zilizotumwa Kuna jamaa hapo mwishoni kala ngumi yenye uzito
Ukiwa manaccm automatically unakuwa mtu wa ajabu ajabu.Unatumikishwa hivi kuwajeruhi watu na bado upo kwenye wimbi la umasikini. Mtu mwenye kazi zake na kipato chake hawezi kutumwa kufanya upuuzi huu. Watanzania aisee, unatengenezewa life gumu ili uagizwe kufanya upuuzi kwa malipo ya vijisenti vya kula siku 1 huku kesho hujui utaimalizaje
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.
CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Hiyo si ndio michezo yenu mnayoipenda mnafanya fujo ili mkamatwe mkakutane na mabasha zenu PT .Unasema kama umeshindiliwa mpini huko matakoni! Hata kufahamu kuwa polisi ndiyo wamepewa kikatiba na kisheria kulinda wananchi hujui? Liambie Bunge litoe ruhusa watu kujilinda katika mikutano ya hadhara uone kama itashindikana!
Mnapenda sana kutekwa kumbe kuna michezo mnafanyiwa ndio maana mnashindwa kuvumilia uraianiUnasema kama umeshindiliwa mpini huko matakoni! Hata kufahamu kuwa polisi ndiyo wamepewa kikatiba na kisheria kulinda wananchi hujui? Liambie Bunge litoe ruhusa watu kujilinda katika mikutano ya hadhara uone kama itashindikana!
Inahusiana nini? Kwahiyo polisi ni muhimu kuwepo au hawana umuhimu kuwepo?Subiri siku akichukuliwa ndugu yako ndio utajua
SureYaani wawe na vijana walio fit kwa kutuliza wajinga. Wakipiga mawe kwa mbali wasijihusishe nao ila wakikaribia viongozi au ndani ya mkutano kuleta fujo wadhibitiwe kwa mujibu wa sheria za ubinadamu
Mbona naona chadema kwa chadema wanapiganaCHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.
CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.