PreGE2025 Mkutano wa Heche washambuliwa Igunga, Tabora

PreGE2025 Mkutano wa Heche washambuliwa Igunga, Tabora

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Naona sindano za no reforms no election zimefanya kazi hadi chama cha majizi kimeanza kutumia vibaka kupoza mashambulizi.
 
CCM ni genge la wahuni wanaoamini katika matumizi ya mabavu na umwagaji damu kwa vile wanalindwa na polisi .
 
Halafu ndio viongozi wao wanahubiri amani majukwaani. Wanafiki sana hawa watu!
 
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.

CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Mnavunjana miguu wenyewe, mnasingizia watu, anyway , hao walioumia wakumbuke miaka ya nyuma kuna watu walipata ulemavu wa kudumu kwa ajili ya akina Lema, mwisho hawakusaidiwa chochote wao wenyewe wala familia zao! Akili za kuambiwa changanya na za kwako. Pole.
 
Hao nyumbu wakishaishiwa hoja hawachokagi kusababisha uzushi.
Kweli machadema wameishiwa hoja baada ya kushinda na hoja moja bila kueleza mipanga ya uzalishaji mali au maendeleo watafanya mbinu ipi kubadili maisha ya watu, wanaamuwa kutuma wenzao kujijeruhi wasingizie wengine! Hovyo kabisa hawa!
 
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.

CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Ni sirikali ya Nani iliyopo madarakani wakati haya matukii
 
Nchi imefika patamu sana
Hapana!..tueleze kwa nini chadema haiwezi kuwa na maofisa wa chama wanatangulia eneo la mkutano na kufanya surveillance ili kubaini watu wenye nia ya kuleta fujo? Kwa hiyo kwenu ni vzr zaidi kutoa taarifa za watu kuumizwa badala ya kutoa taarifa ya kudhibiti wafanya fujo..?
 
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.

CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Hawa wanaopewa agizo la kwenda kufanya fujo kwenye mkutano wanakuwa wamepewa na bangi si ndiyo? Mana unajua kabisa kule mnapoenda wapo wengi, nyie wachache, hivyo hatari ya kupigwa wachache ni kubwa sana, labda kana wanapelekwa wenye mafunzo ya ukomando!
 
Hapana!..tueleze kwa nini chadema haiwezi kuwa na maofisa wa chama wanatangulia eneo la mkutano na kufanya surveillance ili kubaini watu wenye nia ya kuleta fujo? Kwa hiyo kwenu ni vzr zaidi kutoa taarifa za watu kuumizwa badala ya kutoa taarifa ya kudhibiti wafanya fujo..?
Hawa tumewadhibiti na ndio maana Mapanga yao tumeyakamata
 
CHADEMA kupitia ukurasa wao wa X(Twitter) wamesema watu waliokuwa na mapanga na visu wamevamia mkutano wao maeneo ya Igunga mkoani Tabora, watu hao walianza kwa kurusha mawe msafara wa makamu mwenyekiti wa chama John Heche.

CHADEMA pia wamethibitisha kujeruhiwa kwa mlinzi wa makamu Mwenyekiti John Heche, aidha wakati hayo yanatokea jeshi la polisi halikuwepo eneo la tukio.
Baada ya hapo waliokuwa hawaambulii hata jero ya tonetone 😆 😆

Ndio maana Huwa siendi kwenye ujinga na nikienda lazima nikae mbali Mkoa wa Kona ya kusepa salama in case of varangati la Polisi au wengine
 
Jeshi la polisi si hamliamini mnataka liwepo eneo la tukio kwaajili ya nini?
Waanze kusema wamewateka hahah hawa jamaa akali kisoda. Chama kina wajinga haijawahi kutokea.
 
Hawa tumewadhibiti na ndio maana Mapanga yao tumeyakamata
Kazi nzuri km hiyo vyema ikasemwa kwanza kwa umma kuliko kuonyesha watu wanavuja damu..hizo hazina ujumbe mzuri kwa chama sabb itaonekana kwamba ni hatari kuhudhuria mikutano ya chadema..onyesheni picha za wahalifu walivyodhibitiwa zaidi kuliko majeruhi!
 
Waanze kusema wamewateka hahah hawa jamaa akali kisoda. Chama kina wajinga haijawahi kutokea.
Hapo polisi wangekuwepo alafu hizo vurugu zingetokea wangesema polisi ndo wameleta vurugu
 
Back
Top Bottom