UKAWA; UKAWA utakuwepo, utadumu na utashinda
Safi sana, Chadema ni mpango wa Mungu
picha atoe wapi tarifa za kubumba? Gari 120 zmetoka wap?au kaunganisha na gari za abiria wa kahama.
Mkuu Mzito Kabwela nipe hiyo Tarifa ya mkuu wa wilaya kiundaniMkuu POMPO nimezidi kuichukia CCM baada ya Mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kahama kuiba vijiko na Sukari na unga wa sembe wa wahanga.
[/QUOTE]MKUU NI YA KWELI HAYA??.. YAANI WALIUZA MAGODORO NA VYAKULA SASA WANAUZA HADI MAJANI YA CHAI?? DAAAHH HII SASA NI LAAANA.. KWA HESHIMA KUBWA TAARIFA HIZI ZIFIKE LUMUMBA kwa, Vuta Ni Kuvute...funza, dada Laki Si Pesa, mjepo, Ritz, Wingu, Juliana wa Kufyozwa, Faiza Foxy (kwenye dini yetu ile wizi unaruhusiwa??), taswira, Wingu, Rejao....eta all................[ QUOTE=Mzito Kabwela;12102977]Mkuu Crashwise, mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa CCM Kahama wameiba chumvi na blue band za wahanga wa Mafuriko.
Wakuu.
Leo unafanyika mkutano mkubwa wa hadhara kanda ya Serengeti hapa jimbo la Kahama. Ni mkutano ulioandaliwa na kanda ya Serengeti kabla ya kikao cha kamati tendaji ya kanda.
Kanda hii inaundwa na mikoa ya Mara, shinyanga na mkoa mpya wa simiyu.
Nitawajuza punde....
![]()
![]()
![]()
[/QUOTE]MKUU NI YA KWELI HAYA??.. YAANI WALIUZA MAGODORO NA VYAKULA SASA WANAUZA HADI MAJANI YA CHAI?? DAAAHH HII SASA NI LAAANA.. KWA HESHIMA KUBWA TAARIFA HIZI ZIFIKE LUMUMBA kwa, Vuta Ni Kuvute...funza, dada Laki Si Pesa, mjepo, Ritz, Wingu, Juliana wa Kufyozwa, Faiza Foxy (kwenye dini yetu ile wizi unaruhusiwa??), taswira, Wingu, Rejao....eta all................[ QUOTE=Mzito Kabwela;12102977]Mkuu Crashwise, mkuu wa Wilaya na Mwenyekiti wa CCM Kahama wameiba chumvi na blue band za wahanga wa Mafuriko.
kwakeli mkutano wa mwanza last Sunday bado unanishangaza kabisa
mi nafanyia shughuli hapa mjni kati lakini sikusikia gari ya matangazo ila nilienda uwanjani watu walijaa hadi pomoni nikabaki najuiliza walijuaje?
maana hata mi kama si jf singejua
picha atoe wapi tarifa za kubumba? Gari 120 zmetoka wap?au kaunganisha na gari za abiria wa kahama.
Amewataka wananchi wa Kanda ya Serengeti (imebadilishwa kutoka Ziwa Mashariki), kujiandaa kufanya Kama walivyofanya Makambako ambako wananchi walikuwa wanaamka usiku wa manane kupanga foleni kuwahi kujiandikisha
[/QUOTE]MKUU EBU ELEZA VIZURI, REJAO HATUKO NAYE TENA KWELI?? MMHH.. EBU FAFANUA VIZURI.. NI KITAMBO KWELI SIJAMUONA HUMU.. LABDA NIMUULIZE MZEE TUPA TUPA....?? MAANA YEYE NDIYE WAMEWANUNULIA TABLET PAMOJA NA KUTENGENEZA ID ZA VIJANA WOTE WA LUMUMBA WANAZOTUMIA HUMU....
Mkuu kwenye cc yako umemtaja Rejao? Kwani bado yuko hai huyu?