Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Sijui Lumumba buku 7 wamepotelea wapi... Kweli chama kimekufa....
Kwenye ukweli wongo ujitenga wameamua kujitenga huku hakuna fisi hakutawafaa
Sijui Lumumba buku 7 wamepotelea wapi... Kweli chama kimekufa....
picha atoe wapi tarifa za kubumba? Gari 120 zmetoka wap?au kaunganisha na gari za abiria wa kahama.
Wakuu.
Leo unafanyika mkutano mkubwa wa hadhara kanda ya Serengeti hapa jimbo la Kahama. Ni mkutano ulioandaliwa na kanda ya Serengeti kabla ya kikao cha kamati tendaji ya kanda.
Kanda hii inaundwa na mikoa ya Mara, shinyanga na mkoa mpya wa simiyu.
Nitawajuza punde....
![]()
![]()
![]()
Kwenye ukweli wongo ujitenga wameamua kujitenga huku hakuna fisi hakutawafaa