Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

Kazi ya Mh. Mbowe ni ya kutukuka. Wananchi wamepata uelewa wa nchi yao inavyotafunwa na mafisadi wa ccm wahamu ya kuhudhuria mikutano ya Chadema kupata habari njema za ukombozi wa nchi yao.

Kahama leo wanapata neno la ukombozi kupitia kamanda wa anga. Patakuwa patamu na kibwagizo cha Mh. Salum NKMZ. Chadema mkombozi wetu hakika!
 
Ahsante kamanda Mtoi kwa picha zinazowatisha mafisadi na washirika wao wote.
 
Niko uwanjani watu wametokeza niwengi sana na watu wamekasirishwa sana naserekali yakifisadi

Cc. Chadema Kwanza, Molemo
 
Kamanda ebu litendee haki tukio kubwa kama hili basi, azima hata kamchina kwa mshikaji utupie japo vipicha viwili tu, ili wale wanaoota kuwa chama kimekufa eti kisa fulani fulani hawapo basi wazimie kabisa,..........
walichokiona leo waki na lembeli na mwenzake maige kimewaacha kinywa wazi kwa kweli mji ulisimama gafla mbowe alipoingia mjini watu ni wengi sana sasa ivi ndo tunaelekea uwanjani siditii!
 
Mkuu wewe tupia tu picha, sisi tutaandika maneno according picha zilivyo.... Tupia picha tu....ova.
niko uwanjani watu wametokeza niwengi sana na watu wamekasirishwa sana naserekali yakifisadi

cc. Chadema kwanza, molemo
 
Msalani, Faiza Foxy, Ritz, mwanadiwani, simiyu yetu, julianza shonza, n.k njoni huku. Hawa huku wanawatuk.ana.!
 
picha atoe wapi tarifa za kubumba? Gari 120 zmetoka wap?au kaunganisha na gari za abiria wa kahama.

Km huamini njoo Kahama ushuhudie. WanaNchi wenyewe wanajitoa kamili kabisa. Kwanini wacjitoe hali wameona ukombozi wao umefika.

Wafanyakazi wengine wa serikali watatoroka makazi waje wamsikilize Mh. Mbowe.
 
ccm wanasomba watu kwa kuwatongoza kwanza kuwa watawalipa pesa na chakula wakijitokeza kwenye uwanja wao wa mkutano.

Chadema ndio chama cha Watanzania. ccm wachakavu sana. wananchi wamewachoka mbaya sana.
 
WATU PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE......... KWELI CHAMA KIMEKUFA, Cc; Ritz, Laki Si Pesa, Mingoi, Simiyu Yetu, Juliana wa kufyonzwa, Mwamacotton, Wingu, Taswira, Pasco.., Vuta Ni Kuvute.. Lumumba buku 7 et al...[ QUOTE=Mohamedi Mtoi;12102048]Wakuu.

Leo unafanyika mkutano mkubwa wa hadhara kanda ya Serengeti hapa jimbo la Kahama. Ni mkutano ulioandaliwa na kanda ya Serengeti kabla ya kikao cha kamati tendaji ya kanda.

Kanda hii inaundwa na mikoa ya Mara, shinyanga na mkoa mpya wa simiyu.

Nitawajuza punde....



attachment.php

attachment.php

attachment.php
[/QUOTE]
 
mikutano ya chadema inahudhuriwa na wananchi mchanganyiko,wakati ya ccm inahudhuriwa na wanachama wao,how come watu wote wawe na sare??
 
Tena sasa hivi, wameana na kukusanya mafisi!. Hiki ccm ni chama cha wachawi na dio wanaoua ndugu zetu wenye albinism!.


ccm wanasomba watu kwa kuwatongoza kwanza kuwa watawalipa pesa na chakula wakijitokeza kwenye uwanja wao wa mkutano.

Chadema ndio chama cha Watanzania. ccm wachakavu sana. wananchi wamewachoka mbaya sana.
 
Sijui Lumumba buku 7 wamepotelea wapi... Kweli chama kimekufa....
 
Back
Top Bottom