Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,165
[/QUOTE]MKUU EBU ELEZA VIZURI, REJAO HATUKO NAYE TENA KWELI?? MMHH.. EBU FAFANUA VIZURI.. NI KITAMBO KWELI SIJAMUONA HUMU.. LABDA NIMUULIZE MZEE TUPA TUPA....?? MAANA YEYE NDIYE WAMEWANUNULIA TABLET PAMOJA NA KUTENGENEZA ID ZA VIJANA WOTE WA LUMUMBA WANAZOTUMIA HUMU....
Mkuu kwenye cc yako umemtaja Rejao? Kwani bado yuko hai huyu?
Hata mimi nilikuwa naulizia tu Mkuu maana zamani alivyokuwaga na kiherehere! Lakini sasa hivi nina miaka sijamsikia wala kumwona hapa JF! Sasa kama mtu uko hai utaachaje kuonekana hapa JF?