Charity begins at home, ukitaka kujua nadharia ya mtu kwenye jamii na perception yake on what is right ni jinsi anavyowa-treat wale walio karibu yake na jinsi anavyoendesha mambo yake nyumbani kwake.
Iwapo wewe unaona sahihi mshahara wako uwe tsh/12mils na mwajiriwa wako anaekaa karibu na wewe anapata laki nne. isitoshe bado wewe una posho ambazo ni zaidi ya mara mbili ya mshahara wa huyo jamaa ambazo unapata kwa siku wakati wote mpo katika harakati za ukombozi; something is not right.
Ukiona kiongozi hana-time na kuwekeza kwenye misingi ya ofisi za chama na yuko tayari kuzunguka kwa malipo ya posho ujue hakuna prioirty za long term building foundation.
In short upinzani ulitakiwa kuonyesha culture tofauti kwanza within their own organization za value on 'needs and wants' za mtu kwa mishahara ambayo wanadhani ni sahihi kulingana na maisha ya mtanzania, uimarishaji wa taasisi zao kwanza kwenye majengo na jinsi wanavyo coordinate communication zao, walitakiwa kuwa mfano kuonyesha moral concerns walau kuhuduria misiba ya albino, walitakiwa waongelee sera za kuuza bidhaa zinazowakabili wakulima, walitakiwa wazungumzie swala la high density kwenye miji na uwezo wa service za serikari kwasasa na sio kupiga picha na kutumia kama kushindwa kwa serikari bila ya kutolea solution za ufafanuzi.
Kitu ambacho kwao cha kuongea ni katiba naaamini 100% katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 aikuwa na matatizo hata chembe, na kuna sheria luluki za usimamizi na serikari bora isipokuwa watu ndio tatizo. Sasa ukiona mtu anakwambia katiba ina matatizo na wewe uulizi kivipi unapiga kelele tu niwa kusikitikiwa tu, tatizo ninalo kubali ni madaraka ya raisi ni too much somehow hizo nguvu ziende usalama kwa mbinu za watu kuwekwa taasisi mbali mbali kama wakuregenzi na wafanya maamuzi lakini kwa raisi imezidi kwakweli.